Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bora hataAfadhali ya zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hataAfadhali ya zamani
Mfano wa kazi chafu ambazo hao walitakiwa kufanya ni zipi?Nadhani kwenye system yake alipanga kuwajaza wasomi wa vyuo vikuu, na watu wengine aliowainua toka jalalani.
Somehow the gaps have to be filled with the available human resources.
Akina Happy, Sabaya na Bashite ni kwa ajili ya kufanya 'dirty work' ambayo ni lazima iwepo wakati wa kuvunja mfumo wa zamani. Hauwezi kuwatuma wa jalalani kufanya kazi hizo
Yaani sijui itakuwaje, kwa sasa zile familia za kifalme zitajipanga na kuhakikisha makosa ya 2015 hayatokei tena. Wanakwenda kushika hatamu ndani ya chama na serikali.
KweliAlipaswa a-deal na "kurupt sistim" moja kwa moja bila athari kwa watazamaji/wananchi wengine.Badala yake vumbi la upupu na pilipili liliegemea zaidi kwa wananchi wa kawaida ambao hawakuwa ndani ya hiyo sistim!
Sahihi kabisa.Kwa sababu akiondoka tu muondoaji,waondolewa hujirudisha kwa mbinu "halali"!System haiondewi na mtu Bali katiba mpya.
Bora aliondoka mapema. Na ndiyo maana hakufanikiwa. Hao waliofanyiwa hizo "dirty work" wanajisikaje wakisoma hapa?Akina Happy, Sabaya na Bashite ni kwa ajili ya kufanya 'dirty work' ambayo ni lazima iwepo wakati wa kuvunja mfumo wa zamani. Hauwezi kuwatuma wa jalalani kufanya kazi hizo
Baba aliwahi kuniambia kuwa nijichunge sana hapa Tanzania, alisema hii serikali ya CCM ndiyo adui wa haki na kamwe hatutakuja kuendelea tukiwa chini yao.Ili Tanzania mpya izaliwe, ilikuwa ni lazima ile ya zamani ife. Hapa nazungumzia 'system' ya zamani. Yale makundi ya watu yaliyohodhi madaraka na mamlaka ya nchi, ambayo yanabadilishana tu kutoka kizazi kimoja hadi kingine...
INAFIKIRISHA SANA !!! Pamoja na mapungufu yaliyokuwepo lakini njia imeonyeshwa kwamba kumbe inawezekana ! Hata katika yale tuliyokuwa tukidhani hayawezekani ! Kinachotakiwa ni uzalendo na ujasiri !! ( even Rome was not built in one day )Ili Tanzania mpya izaliwe, ilikuwa ni lazima ile ya zamani ife. Hapa nazungumzia 'system' ya zamani. Yale makundi ya watu yaliyohodhi madaraka na mamlaka ya nchi, ambayo yanabadilishana tu kutoka kizazi kimoja hadi kingine...
Vyama vingi havikuanzishwa Tanzania ili siku moja vyama pinzani vishike madaraka.Njia pekee ili system iliyopo sasa ife, sharti upinzani uingie ikulu. Mbali na upinzani kuongoza ni kujidanganya tu.
CCM iwekwe pembeni ili ijivue gamba.Yaani sijui itakuwaje, kwa sasa zile familia za kifalme zitajipanga na kuhakikisha makosa ya 2015 hayatokei tena. Wanakwenda kushika hatamu ndani ya chama na serikali.
Mwinyi alikua anakwenda kupishana na urais wa JMT mwaka 2025.Mbona Magufuri kampeleka mwinyi Zanzibar?. Tena alijaza ndugu zake Kama doto James hazina na heri James uvccm. Mpaka kabula nyumba ndogo alipata ubunge viti Maalum.
Ukiona mtu ana msimamo kama wa kwako,ujue ni lile kundi la makupe,lkn raia ambae maisha yake yalikuwa yamenyooka,hawezi kumlalamikia jpm,System ya Magufuli ya upendeleo, utekaji nyara, ubambikaji kesi na kodi, wizi wa wazi kama tril 1.5, ukabila hadi kuhisi kuna Sukuma Gang.
System hiyo haiwezi kuwa endelevu popote duniani.
Yawezekana....Yawezekana,narudia yawezekana,ilikuwa nia fulani ambayo mbinu zilizotumika hazikuwa sawa wala si sahihi kabisa.
Ungejua Kazi anayopiga Mwinyi ZNZ usingeleta ujinga wako hapaHuyu huyu Magufuli ndiye aliyetuteulia akina Hussein Mwinyi kuwa wagombea Urais wa Zanzibar wakirithi viti vya baba zao na akampigia debe sana, huko sio kuendeleza ufalme?
Kama kutakua na nia ya kweli kujenga mfumo mpya kiutawala na mustakabali mzm wa maendeleo ya Taifa alipaswa kujenga taasisi imara kupitia katiba mpya!! Na sio kupitia individual.Ili Tanzania mpya izaliwe, ilikuwa ni lazima ile ya zamani ife. Hapa nazungumzia 'system' ya zamani. Yale makundi ya watu yaliyohodhi madaraka na mamlaka ya nchi, ambayo yanabadilishana tu kutoka kizazi kimoja hadi kingin...
Iwekwe pembeni na nani ? !!CCM iwekwe pembeni ili ijivue gamba.