Itabidi ujiulize kwanini nguvu kubwa inatumiaka kumsemea marehemu. Wafanye Mambo mazuri ili wasifiwe waachane na kumsemea vibaya marehemu ambaye hawezi kuzungumzaHata yeye hakuweka ushahidi kukanusha alichoandika cag. Hivyo hela aliipiga. Rais ambaye alikuwa msafi Ni mmoja tu naye ni Nyerere ndo Mana hasemwi. Rais anayeongoza kusemwa vibaya ni jpm pekee
Hivyo vyeo alivyowapa ilikuwa ni vya kuwaziba midimo wasimkosoe?Magufuli alimpa nape uwaziri kamili kwa nn bado unamtukana unataka karma ikutafune? Nape badilika umepata uwaziri lkn kila kukicha unamtukana Magufuli lkn haya yote yana mwisho wake
Aliua watu wengi Sana ndo Mana hataisha midomoni mwa watuItabidi ujiulize kwanini nguvu kubwa inatumiaka kumsemea marehemu. Wafanye Mambo mazuri ili wasifiwe waachane na kumsemea vibaya marehemu ambaye hawezi kuzungumza
Watanzania wanapenda kusikia kuliko kusoma na kuujua uhalisia sitoshangaa ulivyompa credible sources ila bado ataendelea kukubishia.Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilion...
Mbona mi siyo fisadi lakini namponda Sana. Aliendesha nchi kwa uongo Sana kila kitu ni fix tumbona mi nauponda ujamaa wa Nyerere? mbona wengine wanamponda JK na Mkapa? JPM anapondwa na mafisadi tu
Hizi habari ndio Magufuli alikwambia?Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake...
CAG kumbe alikuwa chadema?yule ni mzalendo sema mlikosea kumpa kile cheo mkidhani fisi mwenzenu.Je!
Uliwekwa ushahidi wa hiyo hela au kupitia chadema na kwingineko, au stori za vijiweni kwenu mkisubiri kujaribu tena 2025?
MUNGU fundi ukiwazuia "the innocents" kuzungumza kisa una bunduki nawe kifo ndio itakuwa limitation yako.Itabidi ujiulize kwanini nguvu kubwa inatumiaka kumsemea marehemu. Wafanye Mambo mazuri ili wasifiwe waachane na kumsemea vibaya marehemu ambaye hawezi kuzungumza
Zile pesa zilizochukuliwa zile sehemu za kubadilishia pesa ziko wapi mkuu?Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni...
Mavumbini alienda Yesu na mitume na manabii ije kuwa jiwe ndio asiende ? Yesu kafa akiwa kijana mdogo kabisa kwenye Miaka 30 je hapa Napo tuseme Yesu alikuwa muovu hivo Mungu akaingilia Kati ?Na Mungu akaamua Nape huyuhuyu awe waziri wa habari na Bwana yule arejee mavumbini.
Mipango ya Mungu haina makosa
Kuna mwingine hapo juu anamsifia Samia eti sahivi hata ukimtukana Samia hukamatwi, So wanataka tuwe na Taifa la matusi Kila Kona.Watanzania wanapenda kusikia kuliko kusoma na kuujua uhalisia sitoshangaa ulivyompa credible sources ila bado ataendelea kukubishia.
Na wewe ungevikoromea vidudu vya corona vikushughulikie kama mwendazake. Ungededi kifo chema kabisaMavumbini alienda Yesu na mitume na manabii ije kuwa jiwe ndio asiende ? Yesu kafa akiwa kijana mdogo kabisa kwenye Miaka 30 je hapa Napo tuseme Yesu alikuwa muovu hivo Mungu akaingilia Kati...
Nape yuko smart sana. Yeye kafika hapo kwa juhudi zake mwenyewe. I can assure you Magufuli hana mchango wowote kwenye political status ya Nape. Ila Nape anaweza kufuta huo ujinga wenu mliopandikizwa na DIKTETA Magufuli kwa propaganda zakeNape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake
Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Ulimsikia Ex CAG Assad alivyofafanua kuhusu hii 1.5 Trillioni?Ikiashazungumza 1.5 trilioni tu, basi unakosa credibility katika arguments zako zote bali unajitangaza kama mfuata mkumbo wa maneno ya Zitto tu.
Tuambie wewe Tsh 1.5 Trillion zilitumikajeUnasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa
National Audit office of Tanzania (NAOT)
The National Audit Office (NAO) is an independent Parliamentary body in Tanzania which is responsible for auditing central government departments, government agencies and non-departmental public bodieswww.nao.go.tz
Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,
Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.