Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Magufuli aliyetuma usalama wa mchongo amtolee Nape bastola ndiye aliyekuwa anampenda nape [emoji847]
Mnalazimisha Legance kwanguvu ya gongo....
 
Rais gani ambaye unafikiri success yako ni kuwaua watangulizi wako. Alimuua mkapa na next target ilikuwa jk sema jk kwa sababu ni mtoto wa mjini akakikwepa kikombe kile Mana mpaka Sasa jk angekuwa marehemu. Yule baba alikuwa katili Sana na kifo chake kila mtu kakifurahia mmi tu nilikunya cret ya bia siku hiyo
mmeanza kuhamisha upepo,ama kweli laana hii itawafilimba.

hakuna jicho la mmoja wenu litaishi kwa amani[emoji28][emoji28][emoji28].
 
Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa


Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,

Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.
Je!
Uliwekwa ushahidi wa hiyo hela au kupitia chadema na kwingineko, au stori za vijiweni kwenu mkisubiri kujaribu tena 2025?
Msikilize aliyeibua hiyo shida, sema wafuasi wa mwendazake mpo kama vipofu hata CAG wote mnawashambulia,hata aliyeteuliwa na Magufuli

 
unafiki ni moja ya tabia anakuwa nayo mtu ktk DNA,watu aina ya nape ni hatari sana bahati mbaya mama haoni kitu.
 
Magufuli alimpa nape uwaziri kamili kwa nn bado unamtukana unataka karma ikutafune? Nape badilika umepata uwaziri lkn kila kukicha unamtukana Magufuli lkn haya yote yana mwisho wake
Lazima historia ya nchi ijadiliwe..ambao hawajifunzi kutoka kwenye history wapo hatarini kurudia makosa
 
Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Alipopokonywa uwaziri, Nape alikaa akajitathmini, na baadaye akaamua kwenda kuomba radhi kwa Magufuli. Magufuli mwenyewe alisema hadharani kwamba alikuwa akipokea maombi mengi tu kwamba Nape anataka kuja kumuomba radhi. Siku ya siku kibali kikatoka; tukamuona Nape akitembea kipande kirefu tu ndani ya Ikulu kwenda kumuona Rais. Akamwambia mimi ni kijana tu, nilipotoka na sasa nimeona makosa yangu. Naomba unisamehe. Rais akasema kukosea ni ubinadamu. Maadam umeona uliyokosea na unaomba msamaha, mimi ninakusamehe.
Leo hii, Nape anarusha ndogondogo kwamba Magufuli alikuwa mbaya sana. Sasa huo msamaha ulioomba ulikuwa wa nini? Hypocrisy tu? Hata huko kumsifia Samia unakofanya hivi sasa, tutajuaje kama utaendelea hivyo hivyo hata baada ya Samia kutokuwa madarakani? Baada ya kuona uliyomfanyia Magufuli, siwezi kuwa na imani na wewe.
 
Ni siasa tu hizo kiongozi. Wanasiasa wako tayari kufanya chochote bila kujali kama afanyalo linamuumiza au kumkera mtu au umma. Si wote wako hivyo ila tu recently hapa kwetu nimeona hii tabia imeota mizizi. Unamnanga fulani kumsifia au kumfurahisha fulani. Hatuhitaji hayo sisi. Tunahitaji wanasiasa wetu waje na action plans za matatizo yetu!
 
Alipopokonywa uwaziri, Nape alikaa akajitathmini, na baadaye akaamua kwenda kuomba radhi kwa Magufuli. Magufuli mwenyewe alisema hadharani kwamba alikuwa akipokea maombi mengi tu kwamba Nape anataka kuja kumuomba radhi. Siku ya siku kibali kikatoka; tukamuona Nape akitembea kipande kirefu tu ndani ya Ikulu kwenda kumuona Rais. Akamwambia mimi ni kijana tu, nilipotoka na sasa nimeona makosa yangu. Naomba unisamehe. Rais akasema kukosea ni ubinadamu. Maadam umeona uliyokosea na unaomba msamaha, mimi ninakusamehe.
Leo hii, Nape anarusha ndogondogo kwamba Magufuli alikuwa mbaya sana. Sasa huo msamaha ulioomba ulikuwa wa nini? Hypocrisy tu? Hata huko kumsifia Samia unakofanya hivi sasa, tutajuaje kama utaendelea hivyo hivyo hata baada ya Samia kutokuwa madarakani? Baada ya kuona uliyomfanyia Magufuli, siwezi kuwa na imani na wewe.
Kwa nini ssa alimrekodi kuanzia Getini hadi anaingia Ikulu? Magufuli alikuwa takataka tu, ile siyo kitu ya kufanywa na Rais na kutuonyesha wananchi!!

Muache waendelee kumdhalilisha ndiyo zamu yake sasa hata kama amekufa. Shetani mkubwa yule
 
Msikilize aliyeibua hiyo shida, sema wafuasi wa mwendazake mpo kama vipofu hata CAG wote mnawashambulia,hata aliyeteuliwa na Magufuli


Wacha kuleta porojo. CAG ni taasisi siyo mtu mmoja anayelalamika kwa kukosa cheo cha kuongoza taasisi hiyo. Ripoti za CAG chini ya utawala wa Magufuli wakati hiyo mlalamikaji akiwa CAG ni hizi hapa, zisome niambie ni ipi inayosema trilioni 1.5 zimepotea.
 

Attachments

Wacha kuleta porojo. CAG ni taasisi siyo mtu mmoja anayelalamika kwa kukosa cheo cha kuongoza taasisi hiyo. Ripoti za CAG chini ya utawala wa Magufuli wakati hiyo mlalamikaji akiwa CAG ni hizi hapa, zisome niambie ni ipi inayosema trilioni 1.5 zimepotea.
hiyo taarifa aliitoa kipindi kile kabla hajatumbuliwa,
 
Je!
Uliwekwa ushahidi wa hiyo hela au kupitia chadema na kwingineko, au stori za vijiweni kwenu mkisubiri kujaribu tena 2025?

Ushahidi ungewekwa na nani wakati alikuwa na kundi lake la watu wasiojulikana, waliokuwa wakiteka watu wanaonika ukweli mchungu wa serikali yake? Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
hiyo taarifa aliitoa kipindi kile kabla hajatumbuliwa,
Elewa kuwa CAG ni taasisi yenwe watu wengi sana. CAG siyo Assag tu. Unataka kusema kuwa kabla hajatumuliwa alikuwa hajui hizo 1.5 Trilion ila baada ya kutumbuliwa nipo akazigundua? Na Je Zito yeye aliztowa wapi kkabla Assad hajatumbuliwa? Acha udakiaji wa mambo na kuendekeza uwongo.
 
Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa


Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,

Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.

Huyo CAG si mpaka alivuliwa uCAG kwasababu hiyo? Au kwakuwa ukweli huo unafichwa unadhani ukweli huo haufahamiki?
 
Elewa kuwa CAG ni taasisi yenwe watu wengi sana. CAG siyo Assag tu. Unataka kusema kuwa kabla hajatumuliwa alikuwa hajui hizo 1.5 Trilion ila baada ya kutumbuliwa nipo akazigundua? Na Je Zito yeye aliztowa wapi kkabla Assad hajatumbuliwa? Acha udakiaji wa mambo na kuendekeza uwongo.

Kupanick hakuondoi ukweli. Na vitisho vilivyoendelea kuhusu fedha hizo tuliuona.
 
Magufuli alimpa Nape uwaziri kamili kwa nn bado unamtukana unataka karma ikutafune? Nape badilika umepata uwaziri lkn kila kukicha unamtukana Magufuli lkn haya yote yana mwisho wake

Shetani lazima atukanwe maana hiyo ndio stahiki yake.
 
Back
Top Bottom