Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Huyo CAG si mpaka alivuliwa uCAG kwasababu hiyo? Au kwakuwa ukweli huo unafichwa unadhani ukweli huo haufahamiki?
Hakuvuliwa UCAG, bali hakuteuliwa kipindi cha pili. Yeye aliteuliwa na Kikwete mwaka 2014 na kipindi chake cha kwanza kikatiba kilikuwa kinakwisha 2019. Baada ya hapo rais aliyeko Madarakani alikuwa anaweza kumteua tena kwa miaka mingine mitano au kuteua mwingine kuongoza taasisi hiyo. Yeye hakuteuliwa kipindi cha pili, katiba iko wazi kabisa kuhusu uteuzi wa CAG. Ni kama Katiba inayosema kuwa Rais atafanya kazi kwa miaka mitano, baada ya hapo anaweza kugomea na kuchaguliwa tena kwa miaka mingine mitano, ila haruhusiwi kuendelea kwa zaidi ya miaka kumi.

Miaka kumi siyo automatic.
 
Hakuvuliwa UCAG, bali hakuteuliwa kipindi cha pili. Yeye aliteuliwa na Kikwete mwaka 2014 na kipindi chake cha kwanza kikatiba kilikuwa kinakwisha 2019. Baada ya hapo rais aliyeko Madarakani alikuwa anaweza kumteua tena kwa miaka mingine mitano au kuteua mwingine kuongoza taasisi hiyo. Yeye hakuteuliwa kipindi cha pili, katiba iko wazi kabisa kuhusu uteuzi wa CAG. Ni kama Katiba inayosema kuwa Rais atafanya kazi kwa miaka mitano, baada ya hapo anaweza kugomea na kuchaguliwa tena kwa miaka mingine mitano, ila haruhusiwi kuendelea kwa zaidi ya miaka kumi.

Miaka kumi siyo automatic.

Wakati anavuliwa mpaka viatu bungeni ili kudhalilishwa tuliona. Hicho kipindi anamaliza muda wake alikuwa ameshadhalilishwa sana, na sababu ni kuweka wazi hiyo 1.5t. Huenda mnadhani ni zamani sana, kiasi kwamba tutakuwa tumesahau jinsi alivyokuwa anatendewa na bunge kwa maagizo ya Magufuli.
 
Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Kutolewa bastola hadharani na kudhalilishwa ndiyo sawa kwako?
 
Hivi yule msiba yuko wapi siku hizi? Au aliondoka na bwana yule?
 
Wacha kuleta porojo. CAG ni taasisi siyo mtu mmoja anayelalamika kwa kukosa cheo cha kuongoza taasisi hiyo. Ripoti za CAG chini ya utawala wa Magufuli wakati hiyo mlalamikaji akiwa CAG ni hizi hapa, zisome niambie ni ipi inayosema trilioni 1.5 zimepotea.
Kwanza hata hiyo clip ya Prof Assad aliyoiweka, kuanzia dk ya 13.31 Prof Assad anathibitisha ripoti yake na yeye mwenyewe hajawahi kusema kuna wizi wa trilioni 1.5, kilichokuwepo ni tatizo la reconciliation.
 
Na Mungu akaamua Nape huyuhuyu awe waziri wa habari na Bwana yule arejee mavumbini.

Mipango ya Mungu haina makosa
Aiseeh
 

Attachments

  • 20220530_112837.jpg
    20220530_112837.jpg
    57.9 KB · Views: 4
Hata yeye hakuweka ushahidi kukanusha alichoandika cag. Hivyo hela aliipiga. Rais ambaye alikuwa msafi Ni mmoja tu naye ni Nyerere ndo Mana hasemwi. Rais anayeongoza kusemwa vibaya ni jpm pekee
Hivi, CCM ile aliyoicha kikwete kwa jinsi ilivyokuwa imeoza na kunuka kwa rushwa, wizi,ujangili uliokuwa ukifanywa na viongozi na wanachama haohao unategemea wangempenda mtu aliyeingia madarakani na kuanza kufunga mirija na kuwafukuza?
Watanzania tu wasahaulifu sana aisee!
 
Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa


Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,

Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.
If a taarifa ya Kamati ya Bunge ya PAC ambao ndo wanaochambua ripoti za CAG imesema wazi hapakua na upotevu wa 1.5T
 
Hata yeye hakuweka ushahidi kukanusha alichoandika cag. Hivyo hela aliipiga. Rais ambaye alikuwa msafi Ni mmoja tu naye ni Nyerere ndo Mana hasemwi. Rais anayeongoza kusemwa vibaya ni jpm pekee
Yeye anawekaje ushahidi? Kwani ripoti ya CAG inajadiliwa na kujibiwa na Rais. Hii inaonesha dhahiri ulivyo mpumbavu usiejua chochote bendera fuata upepo. Kama JPM ameiba hizo hela atakua amezificha wapi? Ana utajiri aliouacha kutokana na hizo fedha? Amekufa Sasa, si ingekua vizuri hizo pesa zikachukuliwa au Mali zake zitaifishwe kwa maslahi ya taifa. Haya maswali mbona hamuwaulizi majuha wenzenu kina zitto waliozusha uongo huu.
 
Mavumbini alienda Yesu na mitume na manabii ije kuwa jiwe ndio asiende ? Yesu kafa akiwa kijana mdogo kabisa kwenye Miaka 30 je hapa Napo tuseme Yesu alikuwa muovu hivo Mungu akaingilia Kati ?

Hoja za kifo ni wendawazimu,sikumkubali Jiwe lakini kumsema kisa kifo ni wehu,yeye kafia kitandani peaceful na aliungama,je wewe utafia wapi ?

Mimi natamani Mungu anipe kifo Kama Cha jiwe unakufa huku ukipata muda wa kutubu dhambi ,Jiwe alitesa watu lakini alimuomba msamaha Mungu wake
Ukipata nafasi ya kutubu dhambi zako kabla ya kifo chako, hiyo ni ishara ya kuwa mtu mwema wachache sana hupata nafasi hii.
 
If a taarifa ya Kamati ya Bunge ya PAC ambao ndo wanaochambua ripoti za CAG imesema wazi hapakua na upotevu wa 1.5T
Ni watanzania wachache tu wanaokubaliana na huo uwongo wa Zitto kuhusu hiyo 1.5t ambao unatokana na chiki zake binafsi dhidi ya Magufuli.
 
Rais gani ambaye unafikiri success yako ni kuwaua watangulizi wako. Alimuua mkapa na next target ilikuwa jk sema jk kwa sababu ni mtoto wa mjini akakikwepa kikombe kile Mana mpaka Sasa jk angekuwa marehemu. Yule baba alikuwa katili Sana na kifo chake kila mtu kakifurahia mmi tu nilikunya cret ya bia siku hiyo
Ulikunya creti ya bia au ulitaga creti ya bia?
 
Hivi, CCM ile aliyoicha kikwete kwa jinsi ilivyokuwa imeoza na kunuka kwa rushwa, wizi,ujangili uliokuwa ukifanywa na viongozi na wanachama haohao unategemea wangempenda mtu aliyeingia madarakani na kuanza kufunga mirija na kuwafukuza?
Watanzania tu wasahaulifu sana aisee!
Umesahau kuwa awamu ya Kikwete ndiyo awamu pekee iliyowafunga mpaka mawaziri kwa ufisadi?

Tanzania hatujapata Rais bora na mwenye muono mpana na aliyeibadilisha Tanzania kama Kikwete.

Nyingi ya "tuhuma" kwa Kikwete ni uongo mtupu na propaganda za majitaka tu.

Tunasubiri sasa wale wale waanzishe shutuma kwa Mama. Tunawaona mitandaoni humu wakijitahidi kurusha uongo uleule wa propaganda za kijinga. Wenye kufikiri tunafahamu yanaanzia wapi hayo.
 
Back
Top Bottom