Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

CAG aliuliza kuwa matumizi ya Tsh 1.5 hayaeleweki kwa kuwa hayakuwa kwenye mipango iliyoidhinishwa na Bunge. Sasa wewe tuambie kwenye hizo link hizo Tsh 1.5 zilitumika vipi?
 
CAG aliuliza kuwa matumizi ya Tsh 1.5 hayaeleweki kwa kuwa hayakuwa kwenye mipango iliyoidhinishwa na Bunge. Sasa wewe tuambie kwenye hizo link hizo Tsh 1.5 zilitumika vipi?
Ripoti ipi; nimeweka ripoti zote hapa. Ukitaka nikusaidie tena, ni hizi hapa. Halafu iweje kuna upotevu mkubvwa kama huo ambao kamati zote za bunge hazikuoengelea, wakati kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilikuwa inaongozwa na Mbowe. Usipende kudandia na kuendekeza maneno ya mtaani. Ripoti za Ofisi ya CAG zilizosainiwa na Assad mwenyewe ni hizo hapo; usidhani kuwa CAG ni Assad bali nimtaasisis kubwa inayoongozwa na mtu mmoja; awepoe asiwepo wao kazi zao zinaendelea tu. Assad amewaaminisha malofa wengi kuwa yeye ndiye alikuwa mkaguzi asiyeyumbishwa kama vile ndiye aliyekuwa anakagua vitabu hivyo.
 

Attachments

Marehemu mwenyewe alikuwa mpigaji
Ni kweli alikuwa mpigaji mwenye akili na mwenye roho nzuri

1.mpigaji kajenga fly over
2.mpigaji kajenga SGR
3.mpigaji wa dili kajenga bwawa la umeme

4.mpigaji kajenga mahospitali ya rufaa,kanunua ma CT scan ,kasomesha watoa dawa za usingizi kila mkoa na wilaya,kapeleka watu kujifunza kuchimba mafuta na gesi etc
5.mpigaji kaleta nidhamu maofisi ya serikali

6.mpigaji kanunua ndege 5 kama siyo 6
Nikiendelea kuandika matendo mema ya huyo unayemwita mpigaji wino utaisha na makaratasi hayatatosheleza.
 
Una funza kichwani
 
Siyo Zitto Ni CAG
 
Hakufunga mirija ndugu usidanganywe fungua akiri. Alichokifanya ni kuua watu asiowapenda na kuwasingizia eti Ni mafisadi bila ushahidi ndo Mana dpp amefuta kesi zote zilizoachwa na jpm Mana hajuna ushahidi. Akikuchukia tu alikuwa anakubambika kesi. Yule alikuwa wa visasi tu
 
Kumbuka UONGO ni DHAMBI wewe ulikuwa Moyo wa Magufuli mpaka ukajua hivyo?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu watu walikuwa wanahangaika kujastfy kitu gani maana hata Polepole nae akaaa MHASIBU [emoji1787][emoji28]
 
Ohooo usisemeee ndugu....kumbe alikuwa amewapanga hvyo only to eliminate them all....sasa ilikuwaje Mission ikawa impossible?
 
mbona mi nauponda ujamaa wa Nyerere? mbona wengine wanamponda JK na Mkapa? JPM anapondwa na mafisadi tu
Well said....JPM mafisadi na watumishi wa umma ndio walimkataa kbsa....ila serikali kuu walikuwa nae mnoo
 
Wazee wa ligecy😁
 
Magufuli alimpa Nape uwaziri kamili kwa nn bado unamtukana unataka karma ikutafune? Nape badilika umepata uwaziri lkn kila kukicha unamtukana Magufuli lkn haya yote yana mwisho wake
Oppps jamaa kwani NAPE still anamtukana MAGUFULI??....MM NIONA ATLEAST NAPE kidogo hasemi sana ila kuna watu kama 4 hvi bila kuisema ADMINISTRATION iliyopita hotuba zao wanaona kama zimechacha
 
Well said....JPM mafisadi na watumishi wa umma ndio walimkataa kbsa....ila serikali kuu walikuwa nae mnoo
kwa ushahidi upi? malofa na watu wasiojielewa ndio walikuwa nyuma yake maana hayajui nini kinandelea duniani, lumpen proletariat, peasants and the like
 
Watanzania wanapenda kusikia kuliko kusoma na kuujua uhalisia sitoshangaa ulivyompa credible sources ila bado ataendelea kukubishia.
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23]watz kila kitu wanajua ndio tatizo....wakati hata hyo document hajawai iona....
 
Tuwekee pdf hizo tujisomee wenyewe inaonesha unajua zaidi kuliko assad 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…