CAG aliuliza kuwa matumizi ya Tsh 1.5 hayaeleweki kwa kuwa hayakuwa kwenye mipango iliyoidhinishwa na Bunge. Sasa wewe tuambie kwenye hizo link hizo Tsh 1.5 zilitumika vipi?Wacha kuleta porojo. CAG ni taasisi siyo mtu mmoja anayelalamika kwa kukosa cheo cha kuongoza taasisi hiyo. Ripoti za CAG chini ya utawala wa Magufuli wakati hiyo mlalamikaji akiwa CAG ni hizi hapa, zisome niambie ni ipi inayosema trilioni 1.5 zimepotea.
Ripoti ipi; nimeweka ripoti zote hapa. Ukitaka nikusaidie tena, ni hizi hapa. Halafu iweje kuna upotevu mkubvwa kama huo ambao kamati zote za bunge hazikuoengelea, wakati kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilikuwa inaongozwa na Mbowe. Usipende kudandia na kuendekeza maneno ya mtaani. Ripoti za Ofisi ya CAG zilizosainiwa na Assad mwenyewe ni hizo hapo; usidhani kuwa CAG ni Assad bali nimtaasisis kubwa inayoongozwa na mtu mmoja; awepoe asiwepo wao kazi zao zinaendelea tu. Assad amewaaminisha malofa wengi kuwa yeye ndiye alikuwa mkaguzi asiyeyumbishwa kama vile ndiye aliyekuwa anakagua vitabu hivyo.CAG aliuliza kuwa matumizi ya Tsh 1.5 hayaeleweki kwa kuwa hayakuwa kwenye mipango iliyoidhinishwa na Bunge. Sasa wewe tuambie kwenye hizo link hizo Tsh 1.5 zilitumika vipi?
Ni kweli alikuwa mpigaji mwenye akili na mwenye roho nzuriMarehemu mwenyewe alikuwa mpigaji
Rais gani ambaye unafikiri success yako ni kuwaua watangulizi wako. Alimuua mkapa na next target ilikuwa jk sema jk kwa sababu ni mtoto wa mjini akakikwepa kikombe kile Mana mpaka Sasa jk angekuwa marehemu. Yule baba alikuwa katili Sana na kifo chake kila mtu kakifurahia mmi tu nilikunya cret ya bia siku hiyo
Siyo Zitto Ni CAGYeye anawekaje ushahidi? Kwani ripoti ya CAG inajadiliwa na kujibiwa na Rais. Hii inaonesha dhahiri ulivyo mpumbavu usiejua chochote bendera fuata upepo. Kama JPM ameiba hizo hela atakua amezificha wapi? Ana utajiri aliouacha kutokana na hizo fedha? Amekufa Sasa, si ingekua vizuri hizo pesa zikachukuliwa au Mali zake zitaifishwe kwa maslahi ya taifa. Haya maswali mbona hamuwaulizi majuha wenzenu kina zitto waliozusha uongo huu.
Hakufunga mirija ndugu usidanganywe fungua akiri. Alichokifanya ni kuua watu asiowapenda na kuwasingizia eti Ni mafisadi bila ushahidi ndo Mana dpp amefuta kesi zote zilizoachwa na jpm Mana hajuna ushahidi. Akikuchukia tu alikuwa anakubambika kesi. Yule alikuwa wa visasi tuHivi, CCM ile aliyoicha kikwete kwa jinsi ilivyokuwa imeoza na kunuka kwa rushwa, wizi,ujangili uliokuwa ukifanywa na viongozi na wanachama haohao unategemea wangempenda mtu aliyeingia madarakani na kuanza kufunga mirija na kuwafukuza?
Watanzania tu wasahaulifu sana aisee!
Kumbuka UONGO ni DHAMBI wewe ulikuwa Moyo wa Magufuli mpaka ukajua hivyo?Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake
Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Sasa mkuu watu walikuwa wanahangaika kujastfy kitu gani maana hata Polepole nae akaaa MHASIBU [emoji1787][emoji28]Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa
National Audit office of Tanzania (NAOT)
The National Audit Office (NAO) is an independent Parliamentary body in Tanzania which is responsible for auditing central government departments, government agencies and non-departmental public bodieswww.nao.go.tz
Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,
Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.
Ohooo usisemeee ndugu....kumbe alikuwa amewapanga hvyo only to eliminate them all....sasa ilikuwaje Mission ikawa impossible?Rais gani ambaye unafikiri success yako ni kuwaua watangulizi wako. Alimuua mkapa na next target ilikuwa jk sema jk kwa sababu ni mtoto wa mjini akakikwepa kikombe kile Mana mpaka Sasa jk angekuwa marehemu. Yule baba alikuwa katili Sana na kifo chake kila mtu kakifurahia mmi tu nilikunya cret ya bia siku hiyo
Well said....JPM mafisadi na watumishi wa umma ndio walimkataa kbsa....ila serikali kuu walikuwa nae mnoombona mi nauponda ujamaa wa Nyerere? mbona wengine wanamponda JK na Mkapa? JPM anapondwa na mafisadi tu
Wazee wa ligecy😁Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake
Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Oppps jamaa kwani NAPE still anamtukana MAGUFULI??....MM NIONA ATLEAST NAPE kidogo hasemi sana ila kuna watu kama 4 hvi bila kuisema ADMINISTRATION iliyopita hotuba zao wanaona kama zimechachaMagufuli alimpa Nape uwaziri kamili kwa nn bado unamtukana unataka karma ikutafune? Nape badilika umepata uwaziri lkn kila kukicha unamtukana Magufuli lkn haya yote yana mwisho wake
kwa ushahidi upi? malofa na watu wasiojielewa ndio walikuwa nyuma yake maana hayajui nini kinandelea duniani, lumpen proletariat, peasants and the likeWell said....JPM mafisadi na watumishi wa umma ndio walimkataa kbsa....ila serikali kuu walikuwa nae mnoo
MnoooShetani lazima akemewe sana
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23]watz kila kitu wanajua ndio tatizo....wakati hata hyo document hajawai iona....Watanzania wanapenda kusikia kuliko kusoma na kuujua uhalisia sitoshangaa ulivyompa credible sources ila bado ataendelea kukubishia.
Tuwekee pdf hizo tujisomee wenyewe inaonesha unajua zaidi kuliko assad 😁Unasumbuliwa na uzushi tu. Kila anaytamka hapa 1.5 trilioni huwa ni mzushi.Let ripoti ya CAG yeyote inyoonyesha kuwa Magufuli alipoteza 1.5 trilioni, hata Assada ambaye anamchukia sana Magufuli hawajawahi kusema kuwa Magufuli alipoteza au alijinufaiasha 1.5 triliono za umma. Ripoti zote za Cag ziko hapa
National Audit office of Tanzania (NAOT)
The National Audit Office (NAO) is an independent Parliamentary body in Tanzania which is responsible for auditing central government departments, government agencies and non-departmental public bodieswww.nao.go.tz
Mimi nimesoma ripotie zote zile, hakuna inayoonyesha serikali kupoteza au kufanya ubadhilifu wa trilion 1.5. Kabla ya kudakia mambo, jipe muda kujitafutia ukweli kuliko kudakia maneno ya watu wengine hata wasiojua wanaongea nini,
Nimekupa link ila ukishindwa kupata PDF reports zenyewe niambie mimi ninazo zote nitakutumia.
Ni kweli hapo JPM ndio ulikuwa upungufu ake...Mbona mi siyo fisadi lakini namponda Sana. Aliendesha nchi kwa uongo Sana kila kitu ni fix tu
[emoji23][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji23]kama ni ktk boxing umempiga TKO moja matata sanaHizi habari ndio Magufuli alikwambia?