Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Daima alikuwa anamshirikisha MUNGU KWENYE MAOMBI NA SALA
 
Mkuu kwani Ni lazima Kiongozi aanzishe Si Hata Wakuu wa Madhehebu wanaweza Kuanzisha maombi kuombea Mvua,
Mfano Askofu wa Kanisa fulani au Mwenyekiti wa madhehebu si wana Umoja wao?
Wakaanzisha sala ikaanza
Nchi hupona haraka majanga Kama kiongozi wa nchi akianzisha maombi sio kiongozi wa dini mfano mzuri kwenye Biblia Ni Mfalme wa Ninawi .

Magufuli alikuwa Kama Mfalme wa Ninawi
 
Hakika hatutamsahau jiwe kwa kutuletea kupatwa kwa jua pale mbeya, Marais wote waliopita hawakuwahi kuleta hii kitu.
 
Kwa hiyo hao wanaofariki na umri mdogo hawana kheri sio? Usikariri maandiko mkuu! Kheri kuishi miaka michache ukaacha alama ya vizazi kuliko kuishi miaka mingi huku ukiwa mpumbavu!
SIYO KILA AITAYE BWANA BWANA ..........(ATAUONA UFALME WA MUNGU) PIA USIONE UKADHANI............,MAMLAKA ZOE ZINAWEKWA NA MUNGU VIONGOZI WOTE WANACHAGULIWA NA MUNGU Hata kama wanapigiwa kura ila anayeamua waongoze kwa muda gani MAMLAKA HIYO ANAYO MUNGU PEKE YAKE NA si maneno au mtzamo wa wanadamu.Sitaki kuendelea sana hapa naogopa NISIJE NIKAKUFURU...........................
Maana hata Biblia imeandika namna ya kuishi kwa Utii ili uwe na heri na miaka mingi Duniani wacha niishie hivyo.....................
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Ukame nchini umesababishwa na chama cha mapinduzi baada ya wao kutafuna pesa tulizopewa msaada ili tununue mvua.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Kwa nn wasikubishie Sasa [emoji38]
 
Msingi wa hoja hapa sijaelewa vizuri, ndio kusema Mzee ameondoka hatutakuwa tunapata tena mvua za kutosha au?!
Angalizo, binadamu yote tufanye ila tusianguke kwenye mtego wa kuanza kuabudu binadamu wenzetu.
 
Kwani Kwenye Ahadi Zangu Niliahidi Kuleta Tetemeko?
Huku Kagera Mmezidi, Mto Ngono Huku Huku
By Mzilankende
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Hawa waliopo hawataki kumpa Mungu utukufu na atawanyoosha.
Joto,ajali lukuki nk.
Mungu aliiponya nchi na Corona wao wanataka barakoa na chanjo zipate utukufu.
Mungu kawakomesha chanjo zimedoda,barakoa kabakia Hangaya tu,na wanaokula mezani pake.

Watavaa mibarakoa mpaka Yesu anarudi,huku wananchi wakidunda bila mibarakoa Kama mabakuli.

Usicheze na Mungu akiamua kukufedhehesa utahenya.
 
Back
Top Bottom