Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

dioniz malinzi kaka tajiri wa kutupwa mmiliki wa cargo star ..tajiri gsm akasome...
 
Bashiru 3 vs 0 Chawa na mama yao

Leta maji wacha blah blah.
 
Siyo kweli jamaa walikula tff siyo mchezo
 
Sahihh kbsaaa jpm kila zigo ofu wanamtisha
 
Siku zote nasema, Magu afe aoze, abaki mchanga
 
Kwa kanuni za FIFA, serikali iwakamate kiuonevu alafu wakae kimya? Tukubali sisi sote tuna mapungufu na hayo mapungufu ndio hutumika na adui pale anapokuta mlango upo wazi.
We unaongea nn?

Yaan utawala wa magu kwa jinsi ulivyokuwa huo ujasiri wa kuongea unautoa wapi? Au ulikuwa unataka yawatokee km ya akina lissu na ben saanane?
 
Tumesikia upande wako ,tusikie na upande mwingine ili tu balance story.
 
Kwaiyo kusudio lako Nini sasa?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Wenye mazuri yake waandike tu na Kwa ujinga wao wataishia kwenye flyover na ndege ambako nako tulipigwa.
JPM alikuwa mbaya kuliko neno lenyewe.
Kuna watu humu wanalazimisha kila mtu awe anamkumbuka JPM kwa mazuri tuu

Ukija kuzungumzia tu mabaya yake utaitwa majina ya kila aina wewe subili utaona
 
Wenye mazuri yake waandike tu na Kwa ujinga wao wataishia kwenye flyover na ndege ambako nako tulipigwa.
JPM alikuwa mbaya kuliko neno lenyewe.
Vyeti feki kwa ujingawenu hamtambui jinsi nchi iliyokuwa inaliwa 24/7.
Mnaishia kutetea wasaliti na vyeti feki.
 
Kwa kanuni za FIFA, serikali iwakamate kiuonevu alafu wakae kimya? Tukubali sisi sote tuna mapungufu na hayo mapungufu ndio hutumika na adui pale anapokuta mlango upo wazi.
Acha kuchanganya mambo...

Hao FIFA kuna kesi ambazo ndizo wanakuwa wakali... ni zile kesi ambazo purely ni za kisoka! Lakini kama mtu anatuhumiwa wizi, hiyo sio kesi ya kisoka na FIFA hawawezi kukukingia kifua...

Huwezi kuwa na tuhuma za ubakaji halafu FIFA watie fyoko fyoko wakati hizo ni kesi za jamhuri!
 
Hujui kitu wewe.
 
Vyeti feki kwa ujingawenu hamtambui jinsi nchi iliyokuwa inaliwa 24/7.
Mnaishia kutetea wasaliti na vyeti feki.
Hoja za kizembe kabisa hizi... eti vyeti fake!

Ni huyo huyo JPM ambae alitamka hadharani kuhusu sakata la Bashite kuingiza bidhaa kibao bandarini na kudai ni za walimu kumbe alikuwa na lengo la kukwepa kodi!!

Je, alimfanya nini Bashite kwa hiyo hatua yake ya kutaka kukwepa kodi?! Hivi unafahamu kwamba ukwepaji kodi inaingia kwenye uhujumu wa uchumi?

Ni JPM huyo huyo ndie aliongea hadharani kuhusu Mkataba wa Kifisadi ambao Jeshi la Zimamoto waliingia!! Akawataja pia Andengenye na Kangi Lugola kuhusika na ufisadi huo!

Je, aliwafanya nini hao akina Lugola?!

Si mnasema pale NSSF kulikuwa na ufisadi wa kutisha wakati wa Ramadhani Dau?

Je, JPM alimfanya nini Dau zaidi ya kumpa ubalozi aendelee kula mema ya nchi?!

Kwamba Rugemalila alihusika kwenye ufisadi mkubwa wa nchi?! Hivi mfanyabiashara unahusika vipi na ufisadi mkubwa bila kuhusisha viongozi wakubwa serikalini?! Ni akina nani kutoka serikalini waliunganishwa na kesi ya Ruge?!

Kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba ufisadi mkubwa nchi hii unawezeshwa na high profile politicians and top government executives.

Je, unaweza kunitajia ONLY ONE high profile politicians and ONLY ONE Top Government Executive ambae aliwahi kufanywa chochote na JPM?!

Ikiwa hata mbaya wake, Bernard Membe aliishia kumtaja kwa mafumbo tu kwamba "...kule Lindi watu wametafuna 20 BILLION"

Alimfanya nini?!
 
Fac
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…