Hayati Magufuli amekukosea nini kila mara unamkosoa kimafumbo kwa watu mbalimbali?

Hivi ilikuwaje ukammanulia hiyo papa yako mwishowe akakuachia kovu lisilopona?
 
Hakuna Rais aliyesema wengine Kama Magufuli, kwa Nini na yeye alikubali kuwa kwenye serikali ya Mkapa na Kikwete?
 
Hao Ni Wakulima au wazururaji wa Mjini?

Sasa ulime mwenyewe afu ulale njaa? Inaingia akilini?

Ukilima weka chakula ziada uza
Wewe nilishakuambiaga huna akili na huu uchawa wako hata huyo mamako anashangaa sana!

Wakulima wenyewe ndio hao ambao kwa sasa wanagombania mahindi ya msaada?

Hivi mmejaza mimavi humo vichwani mwenu?

Mwambieni ukweli huyu mamaenu kwamba hali ni mbaya!
 
Umesema kweli tupu Aisee!
 
Aisee! Mbona mnawapa watu msongo wa Mawazo?
 
Wana CCM wanaamini mpaka Mwenezi ana Bwana wake kabisa huko Pemba 😃😃😃
 
ni fear phobia,anafanya reference ili aonekane anafanya kazi,nimeshamwambia haina haya ya kujipromote ndo uonekane unafanya kazi
 
Mama km kweli alikua pro west maximum angejiuzuru kuliko kuendelea kubaki madarakani.wakati 80% hawakuendana.
Halafu Leo unakwenda kuzuru kaburi ili iweje?
Kupitia huyo mbaya Kuna wengine walipata haki zao za kielimu na hata umiliki wa Mali zilizoporwa na wakubwa.
Kuna watu walikaa na cheo kimoja miaka kumi na kitu kupitia huyonjuyo mbaya fasta watu waliwjibishwa na mtu kapata stahili zake
Mm naamin siasa za mipasho zina wagharimu wenyewe huko mbele kuliko wanavyofikiri.
Mfano pamoja na uchafu wa mji angalia kuhusu rumbesa,tozo na Kodi mbali mbali,uhuru wa wafanya biashara wadogo halafu linganisha na mambo mengine mwite mwananchi akupigie kura uone kipi ni kipi utajua uhalisia..
Kwa Sasa lazima twende na biti ili tufaidi mema ya nchi maana mpiga zumaru ndio anachagua nyimbo.
Kuendelea kumsema mtu ambaye hawezi kukujibu unajishushia hadhi,
Pia alipaswa achukue ya baba mazuri,ya kaka yake mazuri ,ya mshahuri wake mkuu mazuri aunganishe na yake ili na yeye. Akimaliza ajue alisimamia wapi na kwa nn?
Unaweza ukawa unauZA Kenya au kongo gunia. La mahindi laki na nusu je ni kweli iyo laki na nusu kapewa mkulima au mfanya biashara?utakuta mkulima kapewa. 40 elfu Tena ya mkopo wakati akipambania kupalilia mahindi ili yakuwe ajikim,awamu ya Mwingine akawa anauza dar guniai elfu themanini
na mkulima akapewa 50.
Unadhani huyu mkulima atamuona nani Bora?
Mbona hayazungumzii ya msoga mabaya na yupo hai na anaweza kujibu kwani msoga yote yalikua mema?inawezekana aliepotea enzi za chato ni binamu yako lakini aliepotea enzi za msoga ni binamu wa mwingine..
 
♨️
 
"Basi kuwachoma moto vifaranga ni nzuri kabisa"
Ule ulikuwa unyama wa hali ya juu kabisa.
 
Proved :- wapo binadamu hawana ubongo wa kufikiri na kupima uzito wa mambo mbalimbali.
 
Wewe ndio huna akili,wapi wanagimbania mahindi ya msaada?
 
Kipanya pana kitu anamaanisha hapa...
 

Attachments

  • IMG-20221126-WA0021.jpg
    49.8 KB · Views: 4
  • IMG-20221126-WA0022.jpg
    54.7 KB · Views: 3
Magufuli alikua shetani ana haki ya kumchukia hivi unajua mwendazake aliwahi kuwatuma watu wakamtilie sumu bi mkubwa au unaongea tu....
 
"Basi kuwachoma moto vifaranga ni nzuri kabisa"
Ule ulikuwa unyama wa hali ya juu kabisa.
Yaani uteketezaji wa vifaranga,au mimea au hata siraha zilizopatikana kinyume na sheria ya nchi ni kwa mujibu wa sheria zetu na mikataba mbali mbali ya kuzuia uhalifu na magonjwa.
Km angekua anaona mbali basi angeenda kubadili sheria ili km ikitokea siku ingine iwe na mbadala wake mfano badala ya kuteketeza siraha zilizokamatwa basi tuzisajili tuzitumie kwa kua siraha. Hazina hatia mwenye hatia ni binadam.
Kuendelea kulaumu kosa bila kubadili sheria mbovu au kandamizi na upo kwenye mamlaka ya kuweza kufanya au kuanzisha mchakato wa kubadili sheria ni ujuha mwingine.
Yaani rais analalamika mtendaji wa serikali analalamika mbunge analalamika diwani pia analalamika na mkulimaa nae analalamika Sasa si tutakuwa nchi ya wenda wazimu?
 
Happy hamnangi Magufuli peke Bali pia anamsema Luhaga Mpina baada ya vidonge vyake kumuingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…