Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
 
Screenshot_20230201-113319.jpg
 
Mi mtu nikimuona anam Dis magu namuona kama kilema wa akili
Unajua kwanini kazi za wachungaji, mapadre na masheikh pamoja na kuzifanya kwa muda mrefu hapa duniani bado ni ngumu?
Sababu ni kuwa wapo wanadamu pamoja na kufundishwa ubaya wa Shetani wao bado wanamtetea na kuwa wafuasi wake.
Tafakari utaelewa
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu

Mzee wa pesa za china.
 
Mi mtu nikimuona anam Dis magu namuona kama kilema wa akili
waulize watu waliowekwa ndani kwa makosa ya kubambikiziwa kisha wakapolwa pesa zao na mali kwa kilichoitwa PLEA BARGAINING usikie maoni yao.
mtu anakutwa na dola lakii moja anaambiwa ametakatisha pesa? kivipi wakati pesa ipo kwenye account?
 
Hata Beni Saa nane alipotea zamani lkn bado ana watetezi mpaka sasa.... "Hata shetani ana chawa wake"
Shetani inaeleweka hakuwa mwanadamu, na ana nguvu za kiroho hata katika kutokuonekana kwake.

Tueleze: imewezekanaje kwa mwanadamu, tena ambaye anachafuliwa na mkuu wa serikali, chawa wake, mabeberu na vibaraka wao?

PS: Ben Saanane hana watetezi wengi kama JPM.
 
Unaweza ukawa wewe ndio kilema wa akili. Kulazimisha wote wamwabudu magufuli, mzee wa pesa za china.
Mnadundika na kila beat linalodunda, washamba kweli nyie, mkisikia China na nyie haoooo!!! Huko china Samia si anamandate ya kuwasiliana na ubalozi wafuatilie akija kwa wananchi arudi na majibu sio umbea umbea… shtukeni enyi walamba asali…Enzi za mwamba ingekuwa ni taarifa rasmi sio umbea.
 
Shetani inaeleweka hakuwa mwanadamu, na ana nguvu za kiroho hata katika kutokuonekana kwake.

Tueleze: imewezekanaje kwa mwanadamu, tena ambaye anachafuliwa na mkuu wa serikali, chawa wake, mabeberu na vibaraka wao?

PS: Ben Saanane hana watetezi wengi kama JPM.
Hili suala la Ben Saanane majibu anayo Mbowe, Bosi wake, iweje apotee Chacha Wangwe, atoweke Ben, Ashambuliwe Lisu na yeye ambaye ndio mwenye kondoo awepo imara kama simba? All roads lead to Machame.
 
Hata Beni Saa nane alipotea zamani lkn bado ana watetezi mpaka sasa.... "Hata shetani ana chawa wake"
Alipotea au yupo kajichimbia Ujerumani kama zile stori za kina Daudi Balali!!!

Siasa mchezo mchafu, Magu hakuzijua siasa, alijua kufanya kazi, ndio maana mnabebwa bado na kauli mbiu ya “Kazi”.
 
Mnadundika na kila beat linalodunda, washamba kweli nyie, mkisikia China na nyie haoooo!!! Huko china Samia si anamandate ya kuwasiliana na ubalozi wafuatilie akija kwa wananchi arudi na majibu sio umbea umbea… shtukeni enyi walamba asali…Enzi za mwamba ingekuwa ni taarifa rasmi sio umbea.

Mshamba mwenyewe usiye na haya. Imekuuma sana. Subiri mambo yawekwe wazi wezi nyie . Mnajifanya wakali kumbe wezi. Unaficha pesa za plea bargain china?
Umeiba Trilion 1.5 na bado ukaiiba pesa za tetememko bukoba na bado ukaiba kura 2020. Yule ibilisi bora aliondoka kabisa.
 
Back
Top Bottom