Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Ndio maana nikakuuliza kiongozi muovu yukoje? Jiamini eleza sio unakosa kujiamini na kuanza kusema kila mtu ana kipimo chake, we eleza kiongozi muovu huwa yupo hivi na vile.
Unachoshwa tu mijitu ya hovyo kwa hovyo mkuu
 
Ndio maana nikakuuliza kiongozi muovu yukoje? Jiamini eleza sio unakosa kujiamini na kuanza kusema kila mtu ana kipimo chake, we eleza kiongozi muovu huwa yupo hivi na vile.

Kama alivyokuwa Magufuli. Kipi huelewi hapo?
 
Mtajitetea sana. Aliyemuua Ben Sanane akadhani ataishi milele naye kamfuata huko bila kupenda. Mbowe kaajiri wanajeshi wastaafu kapewa kesi ya ugaidi. Ndio afanye ujinga huo si wangemfunga maisha tena kesi ingeendeshwa live TBC.
Aliyemuua ben saanane muulize wa kwenye avatar yako
Zito alishawaambia mfuateni aliko acheni kusumbua walio hai. Marehemu anatetewa ktkt nini wakati hawezi kujibu mashtaka yoyote yaliyo hapa duniani. Mna matatizo ya akili we ukiongoza. Kwa kuwa alikuwa rais maovu yake yataendelea kusemwa ili itoe funzo kwa walio hai. Km kina Adolf Hitler na Musolini wanajadiliwa bado sembuse mtu aliyefariki mwaka juzi tu hajafikisha hata miaka 2 kaburini? Alifanya mambo ya hovyo sana na angekuwa hai sijui leo tungekuwa wapi kuna watu wangeumia sana ndio maana watu wanasema Mungu ni fundi aliyajua yote hayo na ametuepusha nayo.

Km unampenda na umemmiss unaweza kuchukua hatua ukawahi kumfuata alipo vinginevyo subiri siku yako utamkuta tu usitusumbue sisi hatuna la kumkumbuka zaidi ya manyanyaso na ubaguzi uliokithiri. Hebu fikira watanzania waliomaliza vyuo mwaka 2015 mpaka leo wanadhalilika mitaani kisa kichaa moja tu wakati baba yetu Kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka na majina yalikuwa yanachukuliwa vyuoni bado utatukumbushia habari za binadamu mwenye roho mbaya km yule? Bado alivyoharibu miji mikubwa hasa majiji, utafikiri ni makambi ya wakimbizi.
Ye mbona hamfuati mama yake
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
Alikuwa Mtu na Nusu.
 
Unajuwa wahanga wa magufulification,watu wameumizwa watu wamegeuzwa wahanga wa mfumo kandamizi. Lakini huwezi kumlazimisha mtu na mtazamo wake
Hilo la kusema Magu ukatili ndio sifa yake iliyovuma sana mie nakataa, hata sasa ukiangalia wanaoeleza mabaya ya Magu utaona hutumia mafumbo sana huogopa kueleza wazi kwa sababu wanajua watu wengi huko mtaani hawamzungumzii sana Magu kwa mabaya, kwahiyo utaona ni kama inatumika jitahada kuwaonyesha watu kuwa Magu hakuwa hivyo mnavyomdhania hasa humu mitandaoni ndio watu hutumia nguvu kueleza hayo mabaya ili ijulikane kwamba Magu hakuwa mtu mzuri.
 
Shetani inaeleweka hakuwa mwanadamu, na ana nguvu za kiroho hata katika kutokuonekana kwake.

Tueleze: imewezekanaje kwa mwanadamu, tena ambaye anachafuliwa na mkuu wa serikali, chawa wake, mabeberu na vibaraka wao?

PS: Ben Saanane hana watetezi wengi kama JPM.
Ushetani wa Jiwe ulikuwa nguvu za taasisi ya urais pamoja lundo la chawa na jamii ya wajinga wasiojitambu ambao wote wanaendelea kuhaha kwa namna zote kusafisha madhambi yake ambayo hayasafishiki, hakuna mtu anayejimbua ambaye anatetea udhalimu wa lile zimwi-mtu.
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
Ushenzi aliofanya lazima usemwe,uuaji,utekaji,kubambikia watu kesi,uporaji wa mabilioni ya plea bargain na mengine mengi
 
Poleni nyote kwa Huzuni.

Maharamia wamekosa kazi,yaani waliofikiri wanawatetea na....

....kuwashauri hawana habari nao. Hawana jinsi, wanaHuzunika.

Nina uhakika, nyie ambao kila kukicha mnatumia jina Lake kwenye nyuzi zenu, mnafaidika kwa fedha. Ipo siku mtatapika kwa uchungu, mtatubu.

Amani
 
Acha uongo taarifa gani ya kweli iliyokuwa inatolewa awamu ya Magu, hata waliodiriki kutuhabarisha ukweli waliishia kuwekwa ktk viroba kama si kipigwa risasi.
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
Hivi ule wimbo wa legacy ulizimikia wapi vile
 
Ushetani wa Jiwe ulikuwa nguvu za taasisi ya urais pamoja lundo la chawa na jamii ya wajinga wasiojitambu ambao wote wanaendelea kuhaha kwa namna zote kusafisha madhambi yake ambayo hayasafishiki, hakuna mtu anayejimbua ambaye anatetea udhalimu wa lile zimwi-mtu.
Sahivi hakuna chawa?
 
Back
Top Bottom