Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

A game in death?. Hakuna aliyekamatwa, hakuna upelelezi, hakuna mshitakiwa etc? Ukweli unajulikana nani mhusika
BIG alikufa USA hakuna aliyekamatwa , tupac hakuna aliyekamatwa, Bob Marley alipigwa risasi hakuna aliyekamatwa… unashangaa Tanzania like seriously! Kuna movement ukizianzisha ushishangazwe na matokeo maana hujui adui amekalia upande gani, wakati mwingine unaweza tupwa kwenye shimo na ndugu zako kama stori ya Yusuph wakiona unang’ara kuliko wakubwa zako… mimi hata sishangai na siamini mtu hasa wakaribu yangu, maana wana file langu mkononi…..

Vipi kama wale walinzi walilipwa waondoke getini na mpaka leo hawajulikani walipo kama dereva wa Lisu? “Trust nobody” - Tupac
 
Unajua kwanini kazi za wachungaji, mapadre na masheikh pamoja na kuzifanya kwa muda mrefu hapa duniani bado ni ngumu?
Sababu ni kuwa wapo wanadamu pamoja na kufundishwa ubaya wa Shetani wao bado wanamtetea na kuwa wafuasi wake.
Tafakari utaelewa
Shetani yupo hai hajafa bado anafanya kazi zake hivyo sio ajabu kuwa na wafuasi.
 
Ni kipi kinakuaminisha zumbukuku wewe kuwa Mbowe na Lisu wakiingia ikulu hawataficha fedha nje, au wao watakuwa ni viongozi wa kizungu!
Sijajua kama hii ndio kujibu hoja kwa hoja.
Kuhusu Mbowe na Lissu kuingia ikulu, mimi sijasema.
Wewe unafikiri kina Mbowe wakiingia ikulu nao watakuja wezi. Ni mawazo yako, sawa. Lakini bado hawajaingia. Je sasa tubariki wizi uliokwisha fanywa kwa vile tunafikiri hata watakaofuata watakuja kuwa wezi?
 
Hata Beni Saa nane alipotea zamani lkn bado ana watetezi mpaka sasa.... "Hata shetani ana chawa wake"
BenSaa8 ana watetezi wa nini au wanamtetea kwenye lipi? Nachojua Ben huwa anatajwa pale tu watu wanapozungumzia wale waliyoahughulikiwa na Magufuli basi.
 
Hata Beni Saa nane alipotea zamani lkn bado ana watetezi mpaka sasa.... "Hata shetani ana chawa wake"
Mkuu?
tokea uzaliwe ulishawahi kufeel uwepo wa shetani?

Au unaweza kutuambia hapa Shetani ametufanyia nin sisi watanzania?
NATANGULIZA SHUKURANI.
 
Tumia akili alibana uhuru wa kuongea na waliothubutu aliwapoteza sasa hayupo aliyoyafanya gizani yanawekwa wazi!
Hivi sasa ukiondoa huu uhuru wa humu mitandaoni je, ni wapi tena kuna uhuru watu kukosoa serikali? Mikutano ya kisiasa ndio kwanza imeruhusiwa juzi kati tu toka serikali hii awamu ya tano iwe madarakani.
 
Sijajua kama hii ndio kujibu hoja kwa hoja.
Kuhusu Mbowe na Lissu kuingia ikulu, mimi sijasema.
Wewe unafikiri kina Mbowe wakiingia ikulu nao watakuja wezi. Ni mawazo yako, sawa. Lakini bado hawajaingia. Je sasa tubariki wizi uliokwisha fanywa kwa vile tunafikiri hata watakaofuata watakuja kuwa wezi?
Wizi uliofanywa wapi? Hizo bado ni siasa. Kinachoniuma ni kwamba ngoma zimeletwa na CCM, kuwahusu CCM na bado wanaocheza ngoma hizo ngoma ni Chadema na ACT… hapo ndipo nnapokosa matumaini kabisa ya kuujua ukweli kwenye hii dunia ya Mungu vitu vya mzungu…

Sitaki kuamini kuwa kwenye nchi ya square kilometres zaidi ya laki tisa, wanachama wa CCM zaidi ya milioni tano, serikali nzima, usalama wa taifa, majeshi yote kuanzia mgambo mpaka CDF walishikwa na mtu mmoja, tena msukuma kutoka Chato wakawachezea zaidi ya Messi. Kama ni kweli basi maneno ya Trump yalikuwa na ujumbe mijarabu kwa waafrika.
 
Kiongozi muovu lazima watu watammdiss.
Kiongozi muovu ndio yukoje au kwa Tanzania kiongozi muovu ni wa awamu ya tano tu ila hao wengine wote chini ya ccm ni viongozi safi?
 
BIG alikufa USA hakuna aliyekamatwa , tupac hakuna aliyekamatwa, Bob Marley alipigwa risasi hakuna aliyekamatwa… unashangaa Tanzania like seriously! Kuna movement ukizianzisha ushishangazwe na matokeo maana hujui adui amekalia upande gani, wakati mwingine unaweza tupwa kwenye shimo na ndugu zako kama stori ya Yusuph wakiona unang’ara kuliko wakubwa zako… mimi hata sishangai na siamini mtu hasa wakaribu yangu, maana wana file langu mkononi…..

Vipi kama wale walinzi walilipwa waondoke getini na mpaka leo hawajulikani walipo kama dereva wa Lisu? “Trust nobody” - Tupac
Halafu kwanini Lissu alitaka ahakikishiwe usalama wake na Rais akija Tanzania?
 
BIG alikufa USA hakuna aliyekamatwa , tupac hakuna aliyekamatwa, Bob Marley alipigwa risasi hakuna aliyekamatwa… unashangaa Tanzania like seriously! Kuna movement ukizianzisha ushishangazwe na matokeo maana hujui adui amekalia upande gani, wakati mwingine unaweza tupwa kwenye shimo na ndugu zako kama stori ya Yusuph wakiona unang’ara kuliko wakubwa zako… mimi hata sishangai na siamini mtu hasa wakaribu yangu, maana wana file langu mkononi…..

Vipi kama wale walinzi walilipwa waondoke getini na mpaka leo hawajulikani walipo kama dereva wa Lisu? “Trust nobody” - Tupac
Kuna Malcolm x kuna martin luther, rais kennedy wote, rais Franklin wote wameuliwa hakuna waliokamatwa
 
Halafu kwanini Lissu alitaka ahakikishiwe usalama wake na Rais akija Tanzania?
Lisu ni mwanasiasa, kila hatua na kauli yake ipo kisiasa…he has sold his soul to the game. sioni cha ajabu hapo.

Pia enzi za Magufuli kuna wale kina mama wa mabango walikuwa wakiomba kuhakikishiwa usalama wao toka kwa raisi baada ya ya kuwaanika watu fulani fulani, serikali ina mkono mrefu ukitambua mamlaka yao utakuwa salama. Ipo hivyo dunia nzima.

USA raisi alikwenda kinyume na matakwa ya serikali na akamwagwa damu hadharani.
 
Angalia picha hapo juu akiwa na biswalo mganga wakikagua ripoti ya pesa na usisahau binamu alikuwa mkuu wa hazina so kuhamisha pesa kwake ilikuwa kawaida. Ila Tangu Magu apige pesa za tetemeko Kagera , simuamini Magu tena. Pesa alikuwa anaficha kwenye begi mwenyewe.
Pesa kapiga ikaenda wapi?

Uliona miundombinu ilitengenezwa faster na hata shule na hospital zilitengenezwa. hiyo ilikuwa aina ya utawala wake.
 
Mshamba mwenyewe usiye na haya. Imekuuma sana. Subiri mambo yawekwe wazi wezi nyie . Mnajifanya wakali kumbe wezi. Unaficha pesa za plea bargain china?
Umeiba Trilion 1.5 na bado ukaiiba pesa za tetememko bukoba na bado ukaiba kura 2020. Yule ibilisi bora aliondoka kabisa.
Huo umaskini wako tu, kama ni rahisi na wewe nenda kafiche
 
Zito alishawaambia mfuateni aliko acheni kusumbua walio hai. Marehemu anatetewa ktkt nini wakati hawezi kujibu mashtaka yoyote yaliyo hapa duniani. Mna matatizo ya akili we ukiongoza. Kwa kuwa alikuwa rais maovu yake yataendelea kusemwa ili itoe funzo kwa walio hai. Km kina Adolf Hitler na Musolini wanajadiliwa bado sembuse mtu aliyefariki mwaka juzi tu hajafikisha hata miaka 2 kaburini? Alifanya mambo ya hovyo sana na angekuwa hai sijui leo tungekuwa wapi kuna watu wangeumia sana ndio maana watu wanasema Mungu ni fundi aliyajua yote hayo na ametuepusha nayo.

Km unampenda na umemmiss unaweza kuchukua hatua ukawahi kumfuata alipo vinginevyo subiri siku yako utamkuta tu usitusumbue sisi hatuna la kumkumbuka zaidi ya manyanyaso na ubaguzi uliokithiri. Hebu fikira watanzania waliomaliza vyuo mwaka 2015 mpaka leo wanadhalilika mitaani kisa kichaa moja tu wakati baba yetu Kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka na majina yalikuwa yanachukuliwa vyuoni bado utatukumbushia habari za binadamu mwenye roho mbaya km yule? Bado alivyoharibu miji mikubwa hasa majiji, utafikiri ni makambi ya wakimbizi.
Povu lote hili ni sababu ya umaskini tu. Hakuna tajiri anaweza andika povu hili
 
Pesa kapiga ikaenda wapi?

Uliona miundombinu ilitengenezwa faster na hata shule na hospital zilitengenezwa. hiyo ilikuwa aina ya utawala wake.
Hakuna pesa iliyopelekwa China, raisi wetu mama samia Kuna watu wanamshauri vibaya
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
Yqpo mambo mawili yatakayo kufanya usisahaulike duniani,mema uliyoyafanya yatazungumzwa kama sehemu ya urithi ulioacha ambao jamii inapaswa kuiga toka kwako (legacy). Jambo la pili ubaya ulioutengeneza utazungumzwa kama tahadhali kwa mabaya yasiyo ipendeza jamii,Magu ana sura mbili unyenyekevu na ukatili lakini ukatili umevuma sana kuliko unyenyekevu kwa msingi huu,alitumia nguvu kubwa kudhibiti sauti ya watu walio nyikani,akiyatumia mamlaka kimabavu,na unyenyekevu ulitumika kama silaha kuficha ubaya uliokithiri. Kwa mantiki hiyo utaona sura zote mbili zilimtengeneza katika umbile gani.
 
Back
Top Bottom