Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Hayati Magufuli hayuko duniani lakini ana watetezi wengi kuliko wenye fedha walio hai

Uongozi wa awamu ya 6 umejaza chawa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kusifia kazi njema na sio jambo baya kwenye siasa.

Lakini wapi raisi a trend mitandaoni mpaka siku atakayopanda jukwaani na kumnanga Magufuli izuke mijadala. Yaani bila ya vijembe kwa awamu ya tano mheshimiwa aendi mjini.

Tukio la jana Ikulu watu awazungumzii tume iliyoundwa, weledi wake na wala mantiki ya kazi yao. Mjadala ni Magufuli tu.

Leo raisi sijui alikuwa wapi hakuna ata anaefuatilia, why? Huko hakutoa lawama kwa awamu ya tano.

Kama mimi ndio raisi ni muda wa kuangalia mbinu za propagandist wangu kama kazi wanaiweza, iweje siendi mjini kwa kazi zangu za maendeleo, nikitaka niongolewe mimi au mikutano yangu mpaka ninange awamu ya tano tu.
 
Ushiriki wake kivipi? Subiri siku DPP mstaafu atakapofika mahakamani. Umesahau Sabaya alivyojitetea kuwa yote aliyokuwa ananafanya kwa kuzunguka Arusha na Dar kufuatilia kodi alitumwa na Rais?. Sasa subili siku Mganga atakaposema walificha pesa nje kwa maelekezo ya rais.
Tehe tehe!
 
Ujue China sio Arusha, Kilimanjaro, Mwanza au Kigoma. Kule wana sheria zao. Je una hakika mamlaka za huko zinaweza kuingilia akaunti za watu benki? Inajulikana duniani kote viongozi wa Afrika wanaiba utajiri wa nchi zao na kficha nje. Wakati wote imekuwa vigumu kuzirejesha pesa walizoiba. Pili, tusaidie: zile pesa za 'plea bargain' ziko wapi? Maana kinara amedokeza nyingine zimefichwa China. Wewe unakanusha?
Ni kipi kinakuaminisha zumbukuku wewe kuwa Mbowe na Lisu wakiingia ikulu hawataficha fedha nje, au wao watakuwa ni viongozi wa kizungu!
Umeongea ukweli kwa sehemu. Sasa nani alaumiwe? Na tufanye nini?
Lawama ni kwa wanasiasa wote, ambao kiuhalisia kwa idadi yao wote ni wachache sana against watanzania wote. Imagine Lema kutishiwa maisha kakimbilia Canada, ni watanzania wangapi wanabambikiwa kesi na kutishiwa maisha mpaka wanakufa kabisa na hawana pa kukimbilia?

Kama kweli wapinzani wangekuwa serious wangekuwa na umoja na wangesimamia misimamo yao, 2015 watu wanaamini Lowasa alishinda akaibiwa, cha ajabu wabunge wakaendelea na kazi akiwemo Mbowe badala ya kuweka msimamo wa pamoja, matokeo yake Magufuli akaota mbawa… walitusaliti wanachi kwanza kwa kumleta Lowasa ambaye ni CCM asilia (Mafisadi) kwamba awe mtetezi wa wanyonge.

Nnachoweza kusema Tanzania wananchi hawana mtetezi bado, tuendelee kumgonja kama masiha…nukuu muhimu kutoka kwa zao la Chadema. “usiamini maneno ya mwanasiasa” - Zitto Kabwe.
 
Unauhakika na pesa za china? Au unafuata walamba asali.

Bahati nzuri mzee kafa hajawahi kufika huko china. Kwa hiyo tunawachora tu na uongo wenu huo.

Angalia picha hapo juu akiwa na biswalo mganga wakikagua ripoti ya pesa na usisahau binamu alikuwa mkuu wa hazina so kuhamisha pesa kwake ilikuwa kawaida. Ila Tangu Magu apige pesa za tetemeko Kagera , simuamini Magu tena. Pesa alikuwa anaficha kwenye begi mwenyewe.
 
Ufisadi ni jina tuu hata wewe unaweza kuitwa, lakini je ni kweli utakuwa fisadi?

Watu wameitwa tu mafisadi na hakuna hata aliye chini ya ulinzi

Yeye mbona aliita wengine mafisadi na hawakuwa mafisadi?. Apandacho mtu ndicho atakacho vuna.
 
Uongozi wa awamu ya 6 umejaza chawa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kusifia kazi njema na sio jambo baya kwenye siasa.

Lakini wapi raisi a trend mitandaoni mpaka siku atakayopanda jukwaani na kumnanga Magufuli izuke mijadala. Yaani bila ya vijembe kwa awamu ya tano mheshimiwa aendi mjini.

Tukio la jana Ikulu watu awazungumzii tume iliyoundwa, weledi wake na wala mantiki ya kazi yao. Mjadala ni Magufuli tu.

Leo raisi sijui alikuwa wapi hakuna ata anaefuatilia, why? Huko hakutoa lawama kwa awamu ya tano.

Kama mimi ndio raisi ni muda wa kuangalia mbinu za propagandist wangu kama kazi wanaiweza, iweje siendi mjini kwa kazi zangu za maendeleo, nikitaka niongolewe mimi au mikutano yangu mpaka ninange awamu ya tano tu.

Ila hili la kuficha pesa china likiachwa nitajua serikali yetu ni ya kifisadi.
 
Hao jamaa wanaamini kila wanachofundishwa bila kushirikisha halmashauri ya bongo zao, “slavery was a choice” - Kanye West.
Wewe umefundishwa mabaya ya hitler ila hujui mazuri yake.

Ni sawa na putin afe leo, au Gadafi alivyokufa.. Sijui kama unajua mazuri yao.
 
Wewe umefundishwa mabaya ya hitler ila hujui mazuri yake.

Ni sawa na putin afe leo, au Gadafi alivyokufa.. Sijui kama unajua mazuri yao.

Ukishakuwa muuaji, hauna uzuri wowote. Wewe ni mnyama tu.
 
Mbona unadandia gari kwa mbele mkuu?. Nilikuwa namjibu mtu mwingine, sio wewe. Kuja kwenye swali lako, kompyuta iliibiwa kipindi bado Magufuli bado ni rais, au umesahau mpaka maswi akahamishiwa nadhani mpanda kuwa Katibu Tawala.

Halafu kuhusu kifo cha aibu ni kwamba magufuli alitaka kumuua Lissu, ila Lissu akapona, Magufuli akaja kufa na kumuacha Lissu akiwa mzima wa afya. Yani wema ukaushinda ubaya.
Magufuli alikuwa sniper sio? Duh huyu mzee alikuwa na vipawa vingi sana…. Kwa style hii awezi sahaulika ka the great USA inayovuja damu za kiarabu, kijapani, kivietnam, kikongo….

Even shambulio la Lisu was a game.
 
Ni kipi kinakuaminisha zumbukuku wewe kuwa Mbowe na Lisu wakiingia ikulu hawataficha fedha nje, au wao watakuwa ni viongozi wa kizungu!

Lawama ni kwa wanasiasa wote, ambao kiuhalisia kwa idadi yao wote ni wachache sana against watanzania wote. Imagine Lema kutishiwa maisha kakimbilia Canada, ni watanzania wangapi wanabambikiwa kesi na kutishiwa maisha mpaka wanakufa kabisa na hawana pa kukimbilia?

Kama kweli wapinzani wangekuwa serious wangekuwa na umoja na wangesimamia misimamo yao, 2015 watu wanaamini Lowasa alishinda akaibiwa, cha ajabu wabunge wakaendelea na kazi akiwemo Mbowe badala ya kuweka msimamo wa pamoja, matokeo yake Magufuli akaota mbawa… walitusaliti wanachi kwanza kwa kumleta Lowasa ambaye ni CCM asilia (Mafisadi) kwamba awe mtetezi wa wanyonge.

Nnachoweza kusema Tanzania wananchi hawana mtetezi bado, tuendelee kumgonja kama masiha…nukuu muhimu kutoka kwa zao la Chadema. “usiamini maneno ya mwanasiasa” - Zitto Kabwe.

Umeeleweka vizuri mkuu.
 
Magufuli alikuwa sniper sio? Duh huyu mzee alikuwa na vipawa vingi sana…. Kwa style hii awezi sahaulika ka the great USA inayovuja damu za kiarabu, kijapani, kivietnam, kikongo….

Even shambulio la Lisu was a game.

A game in death?. Hakuna aliyekamatwa, hakuna upelelezi, hakuna mshitakiwa etc? Ukweli unajulikana nani mhusika
 
Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.

Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.

Nini sababu
Wanaomtetea ni vichaa wenzie kama tafiti zilivyoonyesha kuwa tz kuna vichaa wengi
 
Ila hili la kuficha pesa china likiachwa nitajua serikali yetu ni ya kifisadi.
Wachunguze tu kama kulikuwa na uporaji na kuna hela zilipotea katika mazingira tatanishi.

Kwanza ukiniuliza mimi nitasema ni wezi wa ovyo mno kama Hizo habari zina ukweli. Why record an entry halafu hela usipeleke hazina? Au hata kuzipangia matumizi ya kubuni kwenye admin work uzipoteze kwenye makusanyo.

Ina maana kulikuwa na syndicate ya uporaji halafu Dotto James katibu mkuu hazina ashirikishwi kuweka entry kama hela zote kazipata na ata huko zilizopokelewa hawana akili ya kupoteza hela kwa kuzipangia matumizi ya ovyo.

In short hiyo story does not make sense as yet. Either kuna logical explanation au hao walio zichoropoa na kutumia sababu za China are very stupid people.

Halafu mnapo nifaruhisha watanzania yaani watangulizi wake Magufuli na hata huyu aliyepo leo wajue mbinu za kuchota ma billioni ya TRA au hela za mikopo kimya, yeye ashindwe.

Yaani aangaike na sijui hela za matajiri wakati mpwa wake anasimamia trillions zinazokusanywa na TRA na wamepeleka $4 billion dollars banks kuu, Samia kakuta hizo hela wamezifyeka zote sasa hivi zimebaki mbili tu and decreasing.

Wakati mwingine huwa naona akili zenu zinawatosha wenyewe.
 
Back
Top Bottom