Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Unajielewa kweli, ulisema kafa kifo cha aibu, nimekuuliza kuna kifo cha aibu zaidi ya kile cha Yesu kusurubiwa uchi? Unahamisha magoli.Shujaa wa kupeleka pesa china?. Tena pesa zenyewe zilihamishwa baada ya kuvamia ofisi na kuiba computer yenye taarifa zote.
Marehemu anaweza vipi kuiba komputa kuhamisha fedha kwenda uchina? Kikulacho ki nguoni mwako.