Mhaiki2022
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 132
- 187
Una stress si bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiligusa na kupiga penyeweChuma kile!
Kilema ni yeye taahira kulazimisha Kila ampende yule shetaniUnaweza ukawa wewe ndio kilema wa akili. Kulazimisha wote wamwabudu magufuli, mzee wa pesa za china.
Hili suala la Ben Saanane majibu anayo Mbowe, Bosi wake, iweje apotee Chacha Wangwe, atoweke Ben, Ashambuliwe Lisu na yeye ambaye ndio mwenye kondoo awepo imara kama simba? All roads lead to Machame.
Mshamba ni wewe unayeibiwa mchana kweupe na bado umezubaa, saizi unaibiwa kupitia buyu la asali na bado unajifariji… mnachezewa na wanasiasa kama mwanaselele hadi raha… Taifa la wajinga hili.Mshamba mwenyewe usiye na haya. Imekuuma sana. Subiri mambo yawekwe wazi wezi nyie . Mnajifanya wakali kumbe wezi. Unaficha pesa za plea bargain china?
Umeiba Trilion 1.5 na bado ukaiiba pesa za tetememko bukoba na bado ukaiba kura 2020. Yule ibilisi bora aliondoka kabisa.
Mbowe ni kibaraka wa baadhi ya wanaCCM ambao ndio wapo mjengoni awamu hii kwa upande wa pili, kwenda magereza ilikuwa geresha…. Endeleeni kuwaamini hao.Mtajitetea sana. Aliyemuua Ben Sanane akadhani ataishi milele naye kamfuata huko bila kupenda. Mbowe kaajiri wanajeshi wastaafu kapewa kesi ya ugaidi. Ndio afanye ujinga huo si wangemfunga maisha tena kesi ingeendeshwa live TBC.
Alipotea au yupo kajichimbia Ujerumani kama zile stori za kina Daudi Balali!!!
Siasa mchezo mchafu, Magu hakuzijua siasa, alijua kufanya kazi, ndio maana mnabebwa bado na kauli mbiu ya “Kazi”.
JPM kawaweka mtu kati. Laziam wafanye kazi usiku mchana kwa sababu ya nguvu ya JPM.
WATETEA MAOVU HAOHayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu
Hahahahaahaaa!!!! Unajua kifo cha Yesu alikufaje? Mashujaa hufa hivyo boss…
Neno Moja kwa Hawa majiziHayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu
Nchi imeoza yote kuanzia vyuo, vyama vya siasa, mfumo wa elimu, polisi, tuma za chaguzi ila cha ajabu mpumbavu mmoja anakuambia tatizo ni Magufuli… mtu mmoja ndio kashika majeshi, usalama, na kila kitu kweli!Tatizo la watanzania hamna ubinadamu. Mnaendekeza uchama na kusahau ben sanane alikuwa mtanzania, kisa chadema unaona ben sanane alikuwa hana haki ya kuishi?. Eti ujerumani, ulimpeleka yeye. Magufuli kaiba phd thesis asiambiwe ukweli ndio amuue ben sanane?. Bora aliondoka yule ibilisi mwenye roho mbaya.
Mshamba ni wewe unayeibiwa mchana kweupe na bado umezubaa, saizi unaibiwa kupitia buyu la asali na bado unajifariji… mnachezewa na wanasiasa kama mwanaselele hadi raha… Taifa la wajinga hili.
Politics at its best, fool others who can’t read between the minds of politicians.
Mbowe ni kibaraka wa baadhi ya wanaCCM ambao ndio wapo mjengoni awamu hii kwa upande wa pili, kwenda magereza ilikuwa geresha…. Endeleeni kuwaamini hao.
Toa neno Moja kwa wakali wa plea bargain 😂😂Politics at its best, fool others who can’t read between the minds of politicians.
Hao jamaa ndio waliokuwa wanaoongoza mapambano dhidi ya mafisadi ?...Toa neno Moja kwa wakali wa plea bargain 😂😂
Ujue China sio Arusha, Kilimanjaro, Mwanza au Kigoma. Kule wana sheria zao. Je una hakika mamlaka za huko zinaweza kuingilia akaunti za watu benki? Inajulikana duniani kote viongozi wa Afrika wanaiba utajiri wa nchi zao na kficha nje. Wakati wote imekuwa vigumu kuzirejesha pesa walizoiba. Pili, tusaidie: zile pesa za 'plea bargain' ziko wapi? Maana kinara amedokeza nyingine zimefichwa China. Wewe unakanusha?Mnadundika na kila beat linalodunda, washamba kweli nyie, mkisikia China na nyie haoooo!!! Huko china Samia si anamandate ya kuwasiliana na ubalozi wafuatilie akija kwa wananchi arudi na majibu sio umbea umbea… shtukeni enyi walamba asali…Enzi za mwamba ingekuwa ni taarifa rasmi sio umbea.