Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,

Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!

Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha

Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!

Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k

Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k

Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo

Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi

Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,

Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!

Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!

JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,

Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo

mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani

JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa

JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie

Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?

Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,

Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,

Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
Alikuwa anaafanya kazi ya kusikiliza simu zilizodukuliwa siku nzima
 
Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,

Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!

Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha

Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!

Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k

Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k

Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo

Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi

Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,

Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!

Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!

JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,

Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo

mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani

JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa

JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie

Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?

Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,

Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,

Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?

Unaonaje akipewa na utakatifu kabisa awe kwenye mchakato na Nyerere??
 
Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,

Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!

Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha

Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!

Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k

Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k

Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo

Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi

Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,

Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!

Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!

JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,

Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo

mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani

JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa

JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie

Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?

Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,

Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,

Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
akili zenu ninyi sukuma gang, huwa ni ndogo sana, no wonder miaka ya nyumba waliwaita mang'ombe. unafikiri kwanini masai ni wafugaji lakini hawajawahi kuitwa mangómbe? ni kwasababu wana akili. sukuma gang huwa hamnaga akili na hamtakaa mtawale tena hii nchi. never. tumeshajifunza kutokana na makosa.
 
Huwezi ukampenda Malaya ama mchepuko na familia yako ukaipenda,lazima ukomae sehemu moja ama usaliti pengine. The mastery of the craft
 
akili zenu ninyi sukuma gang, huwa ni ndogo sana, no wonder miaka ya nyumba waliwaita mang'ombe. unafikiri kwanini masai ni wafugaji lakini hawajawahi kuitwa mangómbe? ni kwasababu wana akili. sukuma gang huwa hamnaga akili na hamtakaa mtawale tena hii nchi. never. tumeshajifunza kutokana na makosa.
Pumbavu

Nitafutie majina ya ma professor 50 nchini, kama wengi wao sio wasukuma!

Vyuo vyote nchini, wengi wa wanafunzi kama sio wasukuma!

Pumbavu wewe mkabila mkubwa
 
Pumbavu

Nitafutie majina ya ma professor 50 nchini, kama wengi wao sio wasukuma!

Vyuo vyote nchini, wengi wa wanafunzi kama sio wasukuma!

Pumbavu wewe mkabila mkubwa
wewe ambaye unawafahamu ndio uwataje. mimi nijuavyo vyuo vingi vimejaa maprof wahaya, wachagga, wangoni n.k., wasukuma hawahawa ambao majority hawana hata dini (wapagani) wanaishi tu porini ndio unawasema au wengine? ndio maana you are too easy to control.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kuna mwenzio kama wewe alikuwa ndy wa kwanza kuvunja sanamu la Gadafi na kulitupa baharini,,

Leo anatamani Gadafi aamke amuombe radhi,,
Anatamani apige mbizi alirudishe sanamu la Gadafi lilipokuwa.,

Muda ni mwalimu mzr...
 
Kuna mwenzio kama wewe alikuwa ndy wa kwanza kuvunja sanamu la Gadafi na kulitupa baharini,,

Leo anatamani Gadafi aamke amuombe radhi,,
Anatamani apige mbizi alirudishe sanamu la Gadafi lilipokuwa.,

Muda ni mwalimu mzr...
Tehe tehe!

Kwamba ndoa anaongoza kulitafuta huko baharini?
 
Kuna mwenzio kama wewe alikuwa ndy wa kwanza kuvunja sanamu la Gadafi na kulitupa baharini,,

Leo anatamani Gadafi aamke amuombe radhi,,
Anatamani apige mbizi alirudishe sanamu la Gadafi lilipokuwa.,

Muda ni mwalimu mzr...

Thubutu, kwa taarifa yako hakuna mwenye hamu na Gaddafi regardless ya kinachoendelea. Hizo propaganda katafute wasiojua lolote.
 
Thubutu, kwa taarifa yako hakuna mwenye hamu na Gaddafi regardless ya kinachoendelea. Hizo propaganda katafute wasiojua lolote.
Na wale walibya wanaokimbizana kwenye maboti kukimbilia ulaya pia hawana hamu na Gadafi?
Maisha ya Libya y Sasa ni magumu wala hayajawahi tokea tangu libya iumbwe.

Hivi Libya ya Gadafi ndy Libya ya leo?

Basi kama ni hivyo siasa zenu ni za chuki na sio kuendeleza inchi.
 
Na wale walibya wanaokimbizana kwenye maboti kukimbilia ulaya pia hawana hamu na Gadafi?
Maisha ya Libya y Sasa ni magumu wala hayajawahi tokea tangu libya iumbwe.

Hivi Libya ya Gadafi ndy Libya ya leo?

Basi kama ni hivyo siasa zenu ni za chuki na sio kuendeleza inchi.

Hao wanaokimbia ni wale waliokuwa wanalia kivulini kipindi cha dictator Gaddafi.
 
Back
Top Bottom