Yani hiki kikundi kidogo cha wahuni kinacholipwa pesa kuichafua legacy ya mwamba wa dunia JPM hapa JF ndiyo uamini kuwa ana mabaya? Utakuwa hauko makini na una matumizi mabaya sana na ubongo wako.
Flyovers(Ubungo)
Umeme wa bwawa,
Mahospitali,
Reli ya kisasa ya umeme (SGR)
Barabara tena za kisasa (Ubungo hadi Mbezi mwisho),
Kuifikisha TZ uchumi wa kati.
Kutumbua vyeti feki,
Kubana matumizi yasiyo na ulazima(kusafiri nnje ya nchi)
Kuboresha mikataba upya ya madini (Barrick company),
Kulinda rasilimali zisitoroshwe nnje ya nchi (Twiga, ndovu)
Kupunguza na kuzuia madawa ya kulevya,
Kuboresha bandari zote (za maji na kavu),
Kujenga viwanja vya ndege (Terminal 3),
Kununua ndege za kisasa 11,
Kudhibiti mifumuko ya bei,
Kujenga stendi za kisasa za mabasi,
Nimechoka kuandika, lakini mwenye akili na mwenye macho haambiwi "ONA".
JPM "Hata kama hamniamini mimi basi aminini kazi zangu"