Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Ccm imechoka sana, hii nchi itaendelea tutaposifu taasisi nasio watu
 
1.Utekaji hamna
2.Kubambikia kesi wafanya biashara hamna
3.Kupoteza watu hamna
4.Kupiga risasi wapinzani hamna
5.nchi kutengwa na jumuiya ya kimataifa hamna
6.takwimu feki hamna
7.ukabila/ukanda na udini hamna
 
Wakati wewe unasema hayo wenzako mjini kunazidi kukucha
 
Bila shaka hujasoma gazeti la Mwananchi la Jana Dogo.
 
Hichi kiswahili kilichoandikwa mbn kama kiswahili Cha kisukuma?
 
Tofauti ya magu na bibi yetu.
1. Samia anafanya kile kitu ambacho hakirisk maisha yake
While magufuli alikuwa anajirisk maisha yake kwa ajili ya familia yake na ukoo wake na mkoa wa chato.

2. Samia nimtu ambaye anapenda kufanya yale anayoweza kufanya . While magufuli alikuwa anaweka amri kitu kifanyike hata kama hakiwezekani ili aonekane kafanya .

Mwisho hakuna mwanadamu anayeweza kumfaidisha mwanadamu mwenzake .

Tafuta hela tafuta maisha mazuri acha kulia lia haisadii . Mabadiliko yananza nawewe halafu ndio wengine
 
Linauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?!
Watu waliotekwa aliwahifadhi wapi ndugu NAZI
Lina piga watu risasi kwa kutumia silaha aina gani muda huo ukiwa wapi anafanya tukio hilo..?!
Huo uporaji wa fedha aliufanya kwenye nyumba ya nani...?
Unadhan kuwa kiongozi ni kupigiwa saluti na kutoa matamko tu????
 
Una umeme, maji nyumbani unao, nauli ya daladala? Mfumuko wa bei ni sahihi kwako, vipi kwa wajane, yatima, maskini wanaoibiwa ardhi, nyumba na mashamba yao? pensheni zao, haki zao?
Vipi wakinamama wanaripishwa kujifungua?

Maskini wanaozungushwa na polisi, mahakama unawaambia nini? Vipi kuuza misitu, Ngorongoro kwa maoni yako hivyo vitu ni sawa?

Uongozi ni nini? Kazi ya kiongozi ni nini? Kwanini tunawakabidhi watu wachache mamlaka, dhamana juu yetu? Wafanye kazi gani? Kutabasamu, kuwa wapole, kukimbia risk? Au kutatua changamoto zetu kubwa?
 
K nyoko. Unauhakika na ukisemacho Embicile wewe?..
 
Ukiona unaongea hivyo ujue unapanuliwa na kupakuliwa bhasi kenge wa maji chumvi wewe
 
Ukiona unaongea hivyo ujue unapanuliwa na kupakuliwa bhasi kenge wa maji chumvi wewe
Mwenyekiti wenu mama Samia aliwataka mjini hoja, muache vioja na vihoja. Cha ajabu ndiyo mmezidi kujenga vihoja na kuleta vioja.
 
Ubongo umejaa mavi hakuna kitu
 
mtu ulishajiita sexless unafikiri akili itakuwepo basi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…