Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Ongelea mataifa yenye akili. Should not think as low as the ones you are reference is. Understand?!
Kuongea kingereza hakuzuii kuonyesha upumbavu wako,upumbavu wako unabaki kwenye tabia na maumbile yako,ila ulichobadili ni kuamua kuwa mpumbavu wa kiingereza pia!
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish...
Na nyinyi nendeni mkamnunue huyo Msomi aandike kitabu cha Mbowe!
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kwamba huyo Profesa anamjua zaidi Magufuli kuliko sisi watanzania ? acheni utapeli wenu .

Ndio maana Watanzania walisherehekea Polepole kuondolewa Malawi

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kwani mbowe hana pesa ya kununua wanataluma wakaandiaka KILIMANJARO MBOWE and CHANGE
Hilo ndilo kosa alilofanya hata Magufuli katika uhai wake: kufikiri Mbowe ndiye adui yake huku akiwakumbatia maadui zake wa kiukweli ndani ya CCM. Crack you brain, jiulize, I am the State, sponsor ni nani, Mbowe?
 
Nadhani Cuba nao wataandika cha kwao kumhusu mwamba. Haters be like...........
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Sidhani kama kuna jipya ambalo hatulifafamu kwa kitakacho kuwamo kwenye hicho kitabu zaidi ya taarifa ambayo mwandishi alikuwa anaokoteza kutoka kwenye hotuba za upande mmoja wa Magufuli.

Huyo profesa atakuwa ni mhanga wa UWONGO ambao Magufuli aliutengeneza kwa miaka 5. Kwa mfano Magufuli alikuwa anasema anajenga miundombinu kwa fedha za ndani. Wakati kiukweli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya biashara ya nje kama Credit Suisse, Stanchart na AfDB.

Huyo mtunzi hawezi kujua namna Magufuli alivyoiba uchaguzi wa S/mitaa wa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 kisha kuweka wabunge mamluki ambao alitaka waje watumike kubadili katiba mwaka 2025 ili kumfanya aendelee kutawala.

Hicho kitabu kitabakia ni mkusanyiko wa karatasi tu za kumpamba hayari dikteta.
 
Huyo Magu kawafanyia nini hadi wamwandike?!
Ni project ya Humprey Polepole hiyo, baada ya mwaka pia tegemea mwananchi wa Cuba naye kuandika kitabu kingine kuhusu Magufuli
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kwahiyo ndo kazi polepole alienda kufanya hivyo hadi akatenguliwa Malawi na kupelekwa Cuba?

Yaani balozi nzima na akili zako unaenda malawi kushinikiza kiandikwe kitabu ili ionekane Kuwa mwendazake ni shujaa wa Africa nzima?

Ndo maana alibadilishwa fastaa akapelekwa Cuba sasa ngoja tuone huko Cuba kama ataenda kulazimishwa tena ajenda ya kumpublish mwendazake ili ionekane kuwa anakubalika hadi Cuba?

Bado wanahangaika hawa SukumaGang kumpa umaarufu huyo mfu ambaye hakua na faida yoyote kwa taifa!!Sijui ilikuaje yule mwehu akawa Rais wa nchi hii?

Yaani zile kiki za awamu ya 5 polepole ndo anadrive hadi kuandaa mipango kitabu kiandikwe huko malawi kwa mashinikizo ili eti mwendazake aonekane shujaa na alikua anakubalika kumbe ni kiki tu
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Kitabu cha kipumbav kina somwa na ??? , kimeandikwa na ?? ?
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kitanda usicholalia huwezi kujua kunguni wake.
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Basi sawa

Povu la nini? Wewe baki na kitabu chako kilichobuma, wengine tusoma hiki kipya..

Magufuli oye Magufuli oye
 
wasi wasi ni kwamba hicho kitabu kitapigwa marufuku kuingia nchini kama kile cha John Okelo. Lakini namkubali mwandishi ambaye ni msomi kitabu cha pages 800 sio mchezo kukiandika naamini hakuna pumba mle ndani au chuki binafsi. Nina hakika wasomi wengi wataandika juu ya huyu marehemu RIP
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Ungewataja waandishi sio kusema kimeandikwa na Watanzania
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Kwa hiyo wewe una akili ,??

Embu toa matope ulojaza kichwan mwako hapa
 
Mbowe hayupo kwenye kundi la wajingawajinga.
Ukiwa ni kibaraka, ina maana una ujinga ujinga.

Mbowe ni kibaraka na ana deni la kulipa.
Ujinga wake umepeleka Nchi yetu iingie kwenye janga na ugaidi.
 
Back
Top Bottom