Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Wale wakimbizi wa mchongo?, mzee ngurumo anasumbuliwa na strees za kimaisha na kifamilia,kama hata familia yake imemshinda,
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Wale wakimbizi wa mchongo?, mzee ngurumo anasumbuliwa na strees za kimaisha na kifamilia,kama hata familia yake imemshinda,
 
Hakuna mtu anayechukiwa bila sababu. Yanayochukiwa ni matendo juu ya wengine hasa unapovunka sheria.hata zingejengwa barabara ngapi lakini wazazi wa
Anzory gwanda
Ben sanane
Amwilin
Na Tundu lisu mwenyewe
Hawatalisamehe dubwasha lile
Hao.walijiteka wenyewe na kujiua wenyewe ili waonekane mashujaa,kumbe wenzao wanapita mlago wa nyuma kutafta maridhiano huku wameshika Buyu la Asali.
 
Hakuna mtu anayechukiwa bila sababu. Yanayochukiwa ni matendo juu ya wengine hasa unapovunka sheria.hata zingejengwa barabara ngapi lakini wazazi wa
Anzory gwanda
Ben sanane
Amwilin
Na Tundu lisu mwenyewe
Hawatalisamehe dubwasha lile
Unaweza kudhibitisha pasi na shaka kuwa tundu lissu alipigwa risasi na magufuli? Au ni yale maneno yenu ya kijiweni?
 
Africa na sadistic ni pua na mdomo. Ukiwa sadist, lazima umuone JPM shujaa.
Hata ukiwa mwizi,mpigaji,mzembe,muuza ng'anda,mkwepa kodi na waliofoji woote,ni lazima umwone jpm ni dikteta.lkn mtu mwadilifu,mchapa kazi na anae this sheria,ni lazima amwone jpm ni mkombozi.
 
Magufuli hajafa walai yani anashindana kabisa na watu walio hai humu ndani na wanatoka droo
 
Wa Malawi wanafiki Sana walisema amekufa kwa Corona Leo wanaandika vingine au balozi amewabadilisha?
 
Nawe jamaa nawe! Kwa hiyo kati ya huyo Mnyasaland na sisi wabongo nani ameteswa sana na wasiojulikana? Hicho kitabu kimegusia ni kwa nini Lissu alipigwa risasi ktk utawala wa huyo mtu wako?
Kitanda usichikilalia hujui kunguni wake. Over.
Acheni porojo mna ushahidi wa kuteswa ?
 
Nawe jamaa nawe! Kwa hiyo kati ya huyo Mnyasaland na sisi wabongo nani ameteswa sana na wasiojulikana? Hicho kitabu kimegusia ni kwa nini Lissu alipigwa risasi ktk utawala wa huyo mtu wako?
Kitanda usichikilalia hujui kunguni wake. Over.
Wewe una elewa nani walimpiga risasi lissu ?una ushahidi ?
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Hicho soma weye
 
Samia akimaliza kuzindua miladi aliyoiacha Magufuli na Mimi nitaandika kitabu
 
Sidhani kama kuna jipya ambalo hatulifafamu kwa kitakacho kuwamo kwenye hicho kitabu zaidi ya taarifa ambayo mwandishi alikuwa anaokoteza kutoka kwenye hotuba za upande mmoja wa Magufuli.

Huyo profesa atakuwa ni mhanga wa UWONGO ambao Magufuli aliutengeneza kwa miaka 5. Kwa mfano Magufuli alikuwa anasema anajenga miundombinu kwa fedha za ndani. Wakati kiukweli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya biashara ya nje kama Credit Suisse, Stanchart na AfDB.

Huyo mtunzi hawezi kujua namna Magufuli alivyoiba uchaguzi wa S/mitaa wa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 kisha kuweka wabunge mamluki ambao alitaka waje watumike kubadili katiba mwaka 2025 ili kumfanya aendelee kutawala.

Hicho kitabu kitabakia ni mkusanyiko wa karatasi tu za kumpamba hayari dikteta.
Tatizo mna amini sana vitu vya kuambiwa bila ushahidi wowote ,uliambiwa kuna hela china-zimerudishwa ? Tatizo la Tanzania mtu hata asome sana uwezo wake wa kufikiri unabaki kuwa chini .mkiambiwa vitu muwe mnafikirisha ubongo na elimu mnazopata ziwakomboe kifikra pia .
 
Ongelea mataifa yenye akili. Should not think as low as the ones you are reference is. Understand?!

Bro, siyo nchi ndiyo imeandika kitabu. It's a scholar who did that. And the only PanAf scholar who can dare to do that.
Fuatilia hiyo pia ili uone jinsi hawa watu walivyo hatari kwa viongozi wa kusini wanaojitambua.

 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Hakuna mwanadamu anaependa kukosolewa! Hapo tunatofautiana kwenye kiwango cha uvumilivu tu
 
Back
Top Bottom