Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Sasa babu mengine nashindwa kukwambia ila nasikiaga Diamond kavua kofia kwa mtoto wa Bi Khadija, sio mchezo!
 
Hayo mambo ya kuonja onja hata yakitukuta sisi Wazee ndiyo mwanzo wa kumkabidhi Binti wa elfu 2 kadi na password ya Benki akajichotee Pension yote

Kuja kutahamaki unajikuta pension imeenda 🙌
mjomba ali muoa mkewe, ila mwanzoni ali ona mkewe ni mbwa mbea ila pisi.

aka sema nipige nisepe, Cha kushangaza ni aunt yangu Sasa hivi😃😂
 
Hiyo ni NDOA YA UJI, Baada ya Ramadhan inavunjika, ni aibu sana kwa Wasanii kuoana ili kukidhi matakwa ya Ramadhan
 
Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.

Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
Hapa tumekubaliana.
 
Diamond anamuoa king’ang’anizi wake, huku Zuchu akiolewa na matatizo yake.

HUMJUI DIAMOND WEWE.

HUYO KIJANA AMETUMWA PESA KWELI KWELI..

APO ANATAKA ATINGISHE NCHI KWA KUTREND KILA SEHEMU ILI APIGE HELA SEHEMU

BIASHARA YA ENTERTAINMENT INATAKA UWE NA HEKA HEKA ZA KUTEKA INDUSTRY KILA BAADA YA MUDA FULANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…