KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
wadanganye wazeekee homeWadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadanganye wazeekee homeWadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Zarina hakustahili maana ni mkubwa wa Diamond na alishatotoa watoto kabla ya kukutana na DiamondTujiandae kuimbiwa ngwinjii🤣🤣🤣🤣
Ila Da Zuu kanifunza kitu, kama boifrendi kamng'ang'ania hivo hadi kimeeleweka mie ni nani nisimng'ang'anie huyu baba hadi tuzeeke wote🤣🤣🤣
Zarina sijui yu hali gani?🤣🤣🤣🤣
Kweli simjui ila hili la kuoa amefanya uamuzi wa dhati, ingekuwa kiki angeshaoa zamani!HUMJUI DIAMOND WEWE.
HUYO KIJANA AMETUMWA PESA KWELI KWELI..
APO ANATAKA ATINGISHE NCHI KWA KUTREND KILA SEHEMU ILI APIGE HELA SEHEMU
BIASHARA YA ENTERTAINMENT INATAKA UWE NA HEKA HEKA ZA KUTEKA INDUSTRY KILA BAADA YA MUDA FULANI
Zuchu anamiaka mingapi?Zuchu ni mkubwa kwa Tanasha. Tanasha hajafikisha 30, nadhani 27.
Aisee, itakuwa kweli kiongozi.Zuchu mzuri na bado mdogo mkuu, kama ni gari mashine bado standard haijachongwa kren shaft
Kususa ni kweli Zuchu amenuna baada ya issue ya kuchafuliwa na kina Juma Lokole ndio maana nimesema pengine ndio imesogeza karibu ndoa yao.Anaitwa stan bakola.......ni juzi kati tu hapa eti bidada kasusa
Una maana gani? D2, hebu decrypt hio code..Kweli bwana, imagine alisha lalamika kuwa alimla D2!
Kati ya 33 au 34.....kajua kutuwakilisha vema mishangazi🤣🤣🤣Zuchu anamiaka mingapi?
TopeUna maana gani? D2, hebu decrypt hio code..
Kachomoa mimba ngapi ?Wadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Huyo mtoto anaonekana lazima atakuwa fundiSasa babu mengine nashindwa kukwambia ila nasikiaga Diamond kavua kofia kwa mtoto wa Bi Khadija, sio mchezo!
Ukiachwa unaachika.Tanasha naye ni walewale tu, aliachwa wala sio kwa mapenzi yake.
Ndiyo Mjukuu, nina Mwaka wa 60 sasa tunadunda 🤗Kwa maana hiyo Babu umetulia na Bibi?