Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Nimecheka sana mkuuNgoja usafi wa kina ufanyike Gaza then tuwaandikie historia kisha kina mzee Mohamed wa huko waanze kulalamika historia imekosewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana mkuuNgoja usafi wa kina ufanyike Gaza then tuwaandikie historia kisha kina mzee Mohamed wa huko waanze kulalamika historia imekosewa
So Hamas waliwaua waliokuwa wanawakwepaHamas wanatumika raia Kama Kinga. Sasa uwepo wa raia wengi Al Shifa utawasiadia wasilipuliww ndani ya jengo na IDF maana raia ni wengi na Dunia itapiga kelele Sana.
Kadanganya nini!?Kwa hivyo yule daktari wa Al Shifa ameidanganya Al Jazeera.
Nyama kidogo mkuu kwenye hili. Inamaana jamaa walianza kuwalamba Shaba wenzao?
Ok,tuzingoje...na mateka wetuacha kujifariji we gaidi wa kibiti subiri video zina kuja baada ya kusafisha ile underground complex mliyo weka chini ya hospital linapigwa bomu kuisambaratisha hosptl yote
So Hamas waliwaua waliokuwa wanawakwepa
mateka wenu mumeshawapata ?Hadi waseme POO
TruthWanakula maisha huku wenzao wakiwa kwenye mahandaki Kama panya. Inauma sana.
Ww jamaa una maneno mengi sana nadhani una uchungu na Israel kuliko hata Netanyau mwenyewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]maana sio kwa nguvu hizo unazo tumia kuisafisha.Al Shifa hospital ndio target ya mwisho. Sasa huko kwenye mahandaki ya Chini ndipo Viongozi waliosalia wa Hamas na inawezekana mateka, Sasa ili kuzuia IDF wasiingie , Hamas wakafunga geti la kutoka nje. Sasa anayejaribu kukimbia analimwa Shaba ili watu waogope kutimka.
Sasa Israel kashaingia huko ndani kuwashughulikia Hamas. Kaenda na madaktari na watafsiri wa kiarabu.
Furaha yangu ni ww kufurahiNimecheka sana mkuu
Acha uongo ushabiki mandazi unakufanya unaropoka tu.Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
hamas wanaua wapalestina kwa miaka na miakaWameuana wao kwa wao?
Hatutaki mateka tunataka magaidimateka wenu mumeshawapata ?
KURA BATAZZZ MPAKA KUKU WAONE WIVU (Kwa sauti ya Lemutuz [R.I.P])[emoji1787][emoji1787][emoji1787] HUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABUView attachment 2814389View attachment 2814390
Daah...! Ona sasa Hamas upumbavu wao?. Dunia iwaone. Wanajificha nyuma ya watoto na wanawake. Wamejichimbia handaki hospital ili ikifumuliwa na IDF,wanaanza kupiga kelele. Janja yao imegundulika mbwa hawa. Watapigwa wachakaeHamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Hamas wamewaletea balaa Wapalestina wanyonge ila Israel pia imeenda mbali mno maana raia wengi sana wa Gaza wamekufa mpaka sasa.Kila kitu kina mwisho wake, HAMAS waliofanya hospitali kuwa makao makuu yao ndio mwisho wao sasa, makomando wa Israel wameanza kuingia kiaina fulu mpambano....yaani movie.
Israel’s military has said it was carrying out a raid against Hamas in al-Shifa hospital early on Wednesday, conducting what it called a “precise and targeted operation against Hamas in a specified area” of the medical complex.
Less than an hour earlier, around 1am local time, a Gaza health ministry spokesperson said Israel had told officials in the territory that it would raid the hospital complex “in the coming minutes”. Al-Shifa is Gaza’s biggest hospital.
Dr Munir al-Bursh, director-general of the Gaza health ministry, told Al Jazeera television that Israeli forces had raided the western side of the sprawling site. “There are big explosions and dust entered the areas where we are. We believe an explosion occurred inside the hospital,” Bursh said.
![]()
Israeli soldiers raid al-Shifa hospital in escalation of Gaza offensive
Head of the World Health Organization calls decision to send troops into hospital ‘totally unacceptable’www.theguardian.com
Mkuu oktoba 7Hama's ndio adui mkuu wa Wapalestina.
Haya yote ni majibu ya upuuzi walioufanya September 7.
Inaonekana mwezi September unapendwa na magaidi wa kiislamu kuuwa watu wasiokuwa na hatia.
Hao wanawake pia itakuwa hamas.......maana kama yeye anajificha anategemea nini??Hamas hawataki watu waondoke maeneo ambayo wamejificha. Na wamekua wakishinda vita ya propaganda kwa kudai israel inaua raia. Yaani hamas wanataka dunianleo iamini hakuna askari wao hata mmoja ameuawa😂😂.
Wakati israel inaripoti hadi idadi ya askari wao waliouawa wao hamas wanaripoti wanawake na watoto tu yaani hata wanaume pale gaza hawajafa. Hao ndio hamas kwa sura yao halisi.