Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Sawa.Kuna level ukifika, wewe ni kioo cha Taifa na kamwe hauwezi kuishi kama zamani/unavyojisikia. Kubali au kataa.
Lakini hilo halimaanishi kuwa utembee uchi kila mtu aone makende yako kwa sababu wewe ni malaya wa jamii.
Mtu yeyote, hata rais, anapaswa kuwa na uhuru wa kusema sitaki makamera kwenye msiba wangu, nataka kuzikwa na familia yangu in a private burial.
Na watu wengine wote wanatakiwa kuheshimu takwa hilo bila swali.
Tatizo nyie mshakariri msiba unatakiwa kuwa hivi bila hata kufikiria marehemu mwenyewe anataka nini.
Angalia Wamarekani wenzetu walivyoliweka hili, hata kwa marais.
Na hawa watu ndio tumeipata hiyo dhana ya urais kutoka kwao.
"While the US government offers state funerals for presidents, former presidents, and presidents-elect, the decision to hold a funeral and its specifics, including the burial location, ultimately rests with the family.
Here's a more detailed explanation:
State Funerals Offered:
The US government conducts state funerals for sitting or former presidents, presidents-elect, and other high government officials or civilians who have rendered distinguished service to the nation.
Family's Role:
The family of the deceased, upon invitation by the government, makes the key decisions regarding the funeral, including whether to hold a state funeral and how it should be conducted.
Examples of Family Choices:
Richard Nixon's family chose a simple service at the Nixon Library and Birthplace instead of a state funeral.
George Washington was buried in a modest, private ceremony at his Mt. Vernon estate, setting a precedent for private burials. "