Hebu tuache utani, hivi inawezekanaje CCM na Serikali wakaupotezea msiba wa mtu muhimu sana kwa Taifa kama Profesa Sarungi?

Hebu tuache utani, hivi inawezekanaje CCM na Serikali wakaupotezea msiba wa mtu muhimu sana kwa Taifa kama Profesa Sarungi?

Watoto wa Sarungi wana haki ya kuamua msiba wao uweje.

Wewe si mtoto wa Sarungi, huna haki hiyo.

Unataka kuwaibia wafiwa msiba wao uufanye wako?

Huelewi wapi?
Mimi sijawaamulia msiba uwe wapi , rudia kusoma maandishi yangu.

Mimi nawashangaa watoto wake walioshindwa kuja kumzika baba yao.
 
Mimi sijawaamulia msiba uwe wapi , rudia kusoma maandishi yangu.

Mimi nawashangaa watoto wake walioshindwa kuja kumzika baba yao.
Kwani wapi nimesema umewaamulia msiba uwe wapi?

Ukishashangaa watoto wa Sarungi hawajaja (sio wameshindwa kuja) kimzika baba yao, umeweka exowctations juwa ni lqzima waje.

Haki ya kuweka expectations katika msiba ambao si wako unaitoa wapi?

Huoni kwamba hapo ushawaamulia kuwa ni lazima waje?

Unaelewa kuwa si kila mtu ana falsafa na tamaduni kama zako za maisha?

Unaelewa kuwa kwenye msiba kila mtu anatakiwa aachiwe space ya kuomboleza anavyotaka?
 
Kwani wapi nimesema umewaamukia msiba uwe wapi?

Ukishashangaa watoto wa Sarungi hawajaja (sio wameshindwa kuja) kimzika baba yao, umeweka exowctations juwa ni lqzima waje.

Haki ya kuweka expectations katika msiba ambao si wako unaitoa wapi?

Huoni kwamba hapo ushawaamulia kuwa ni lazima waje?

Unaelewa kuwa si kila mtu ana falsafa na tamaduni kama zako za maisha?
Wewe upstairs haiko sawa, perception yangu inahitaji kibali cha mtu? Mbona wewe umeona sawa watoto wa Sarungi kutokuja kumzija baba yao. Kwa nini uone kushangaa kwangu ni kuwaingilia?
 
Wewe upstairs haiko sawa, perception yangu inahitaji kibali cha mtu? Mbona wewe umeona sawa watoto wa Sarungi kutokuja kumzija baba yao. Kwa nini uone kushangaa kwangu ni kuwaingilia?
Kwani wapi nimesema perception yako inahitaji kibali cha mtu?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
CV ya Profesa haihitaji kuelezewa sana.
Huyu ni mtu, msomi wa mwanzoni kabisa wa nchi yetu, cream of the cream.
Mtu aliyehudumia nchi yetu na wananchi, kwa moyo, vipaji na kwa nyadhifa kubwa kubwa.

Mtu ambaye ni muasisi wa Kitengo cha MoI. Leo ukisikia maelfu ya vijana wanaopata ajali za bodaboda wakapelekwa MOI , tujue tu kuwa hiyo Taasisi ni brainchild ya Profesa Sarungi.

Mtu aliyehadhiri nchi hii na kusaidia kutengeneza mamia ya wataalamu wa tiba nchini

Mtu ambaye ameshakuwa na dhamana ya majeshi yetu kama waziri wa Ulinzi. Huyu bila shaka kwa nafasi hiyo amehudumu kwa uzalendo mkubwa, na hata leo rais anapojihisi ufahari wa kuwa na majeshi yanayomtii ajue tu amevikuta vinaelea lakini vimeundwa. Na Sarungi kachangia

Mtu ambaye amekuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na serikali yake eti Leo anasusiwa Msiba na CCM na Mwenyekiti wake!

Kwa kweli hii imeniogopesha, kumbe kuna watu wakigombana na Mtoto wanachukia hadi wazazi!

Hatari sana hii!
Kama Maria Sarungi alifikiri ataitukana Serikali halafu ategemee Serikali hiyo hiyo imsaidie kuhudumia msiba wa babaake basi mwambieni afikirie tena.

Na bahati mbaya kamkumbatia Mhuni Lissu ambaye alienda tu kutoa pole na hakutoa hata buku la rambirambi halafu huyo akatimkia Angola bila kuzika na Angola kwa watu wenye akili wakamfukuza! She...i taipu!!!
 
CV ya Profesa haihitaji kuelezewa sana.
Huyu ni mtu, msomi wa mwanzoni kabisa wa nchi yetu, cream of the cream.
Mtu aliyehudumia nchi yetu na wananchi, kwa moyo, vipaji na kwa nyadhifa kubwa kubwa.

Mtu ambaye ni muasisi wa Kitengo cha MoI. Leo ukisikia maelfu ya vijana wanaopata ajali za bodaboda wakapelekwa MOI , tujue tu kuwa hiyo Taasisi ni brainchild ya Profesa Sarungi.

Mtu aliyehadhiri nchi hii na kusaidia kutengeneza mamia ya wataalamu wa tiba nchini

Mtu ambaye ameshakuwa na dhamana ya majeshi yetu kama waziri wa Ulinzi. Huyu bila shaka kwa nafasi hiyo amehudumu kwa uzalendo mkubwa, na hata leo rais anapojihisi ufahari wa kuwa na majeshi yanayomtii ajue tu amevikuta vinaelea lakini vimeundwa. Na Sarungi kachangia

Mtu ambaye amekuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na serikali yake eti Leo anasusiwa Msiba na CCM na Mwenyekiti wake!

Kwa kweli hii imeniogopesha, kumbe kuna watu wakigombana na Mtoto wanachukia hadi wazazi!

Hatari sana hii!
Tuaoñgozwa na mswahili mwenye Uswahili wa mitaani. Maneno kwenye kanga, taarab na vijora ndio sera zake
 
Makamu mwenyekiti CCM Mzee Wasira, Rais Mstaafu Kikwete, Waziri Ridhiwani na viongozi wengine wa chama na serikali walifika msibani, je hao hawatoshi? Tatizo lenu ni upumbavu wa kutaka Rais aende.
..hawatoshi ndio nini mpumbavu wewe, nenda msibani kwa niaba yako mwenyewe.
 
Mtu ambaye amekuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na serikali yake eti Leo anasusiwa Msiba na CCM na Mwenyekiti wake!

Kwa kweli hii imeniogopesha, kumbe kuna watu wakigombana na Mtoto wanachukia hadi wazazi!

Hatari sana hii!
Hakususiwa bali imetokea bahati mbaya ratiba za msiba Dar zimegongana na ratiba za vikao muhimu vya Chama Dodoma.
P
 
Siku hizi umeanza kuwa mweupe kichwani au uzee
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem logical fallacy happens when someone does not address the points being raised in a discussion, and instead attacks the person raising the points.

Usually, this fallacy is used by people who do not know how to follow the logic of the points raised and are intellectually too lazy to discuss the issues.

They end up mucracking and talking malarkey about personalities instead of discussing the points raised logically.
 
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem logical fallacy happens when someone does not address the points being raised in a discussion, and instead attacks the person raising the points.

Usually, this fallacy is used by people who do not know how to follow the logic of the points raised and are intellectually too lazy to discuss the issues.

They end up mucracking and talking malarkey about personalities instead of discussing the points raised logically.
Sawa,,,Ila ..
 
Umeelewa nilichoandika?

Au unakubali tu bila kuelewa?

Wewe mwenyewe huwezi kuandika unachotaka kuandika.

Mimi nakusaidiaje sasa?
Kira we ni bwamdogo kwangu have been challenging u since 2010 bado unakaza fuvu
 
Kira we ni bwamdogo kwangu have been challenging u since 2010 bado unakaza fuvu
Umeelewa ad hominem fallacy ni nini?

Naona unairudia hata hapa ninapokunukuu.

Are you OK?
 
Back
Top Bottom