Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Alfu mbili nilikuwa na mika chini ya 7
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mwaka 1983 nilianza kazi Serekalini kwa mshahara al_maarufu enzi hizo; "Four Figures" Gross salary ilikuwa Tsh 1050. Baada ya makato ilikuwa inagota laki 9.... Mihela mingi tu wakati huo. 😂
laki tisa au shilingi mia tisa?

Wewe tuko age group moja mimi nilimaliza degree 1981
 
Chini ya miaka 10 ukavuka toka elfu 70 mpaka 1.6M

Hii inatakiwa initie moyo au inivunje moyo
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Mh mjumbe naomba nikae kimya...[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…