Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ila wakati huo nilikuwa bado mdogo ndio naanza kaziHizo zilikuwa nyingi sana Mkuu, maana kipindi hicho ardhi hekta moja ilipatikana kwa shs 10,000 ambapo kwa Sasa sehemu hizo zinauzwa kwa m80 - m 200
Niambie bro!Nimeanza kazi mwaka 1960, niliajiliwa Bodyguard wa Governor nilikuwa nalipwa USD 2000.
Nilikuwa namzidi baba yangu mshahara. Alikuwa ananishangaa sana.
🤣🤣🤣umeacha au bado akili hajakaa sawa150,000.
Nilikuwa nahonga sana nakumbuka.
Sorry sikukulewa swali lako picha jf ya siku hizi mara zifunguke mara zigome...of course ilikuwa lazima nianze na tgs.c1 ila haikuwa iyo yako ilikuwa inafika mpk 500kFafanua tenaView attachment 2691889
[emoji3578]
day work ghani iyo mkuu2020 nikilipwa $ 1500 2022 kibarua kikaota nyasi kwa sasa napiga day works kwa siku $20
DahPindi nilipomaliza shule tu nikasepa na mshahara wangu wa kwanza ulikuwa $900 mwaka 1980
😂😂😂 wenye 300K tunajiona takataka eti kuna walinzi humu wanalipwa mpka millionChai ni nyingi
Bila ya Shaka ni Arab countriesMkuu kama nilivyosema hapo juu nilitoka huko na kuhajiri nchi nyingine na hela ya huko iko juu sana kwa thamani yaani $3 ndio yao 1
The most valuable currency in the world hiyo mkuu na mpaka sasa
Wala sina elimu kihivyo bali ndio mshahara nilioanzia
Na uzuri ukioa mshahara unaongezeka na ukipata mtoto mshahara unaongezeka
Ukiongeza mke unacheka tu
Kuna jamaa zangu walikuwa na wake 3 watoto dozens
Ningekuwa petroleum engineer kwa sasa ningewekeza kwenye Gas huko kwa mishahara ilivyokuwa minono
Ila utakuwa ulifanikiwa kufanya mengi ya kimaendeleoIla wakati huo nilikuwa bado mdogo ndio naanza kazi
Bora weweNdio nazaliwa mkuu
Ya wamama Ntilie2003 nilikuwa mgambo. Mshahara siwatajii, ila misosi ya bure tumekula sana.
Uongo, Mimi nilianza Kazi 1981 kwa mshahara wa Tshs 650/= hakuna tofauti na mwaka 1980Pindi nilipomaliza shule tu nikasepa na mshahara wangu wa kwanza ulikuwa $900 mwaka 1980
Mimi mwenyewe miaka hiyo nilikuwa mdogo ila tayari nilishapevukq nilikuwa najua kinachondelea ,enzi hizo mji wa Dar iliishia Ubungo ,kimara- mbezi kulikuwa vichaka na vipori pori vingi.Mbezi beach sehemu kubwa ilikuwa vichaka vya kutisha ,wazee wa enzi hizo walikuwa wanawahi viwanja mikocheni na msasaniIla wakati huo nilikuwa bado mdogo ndio naanza kazi
Unaona akili yako ilivyokuwa na makamasiUongo, Mimi nilianza Kazi 1981 kwa mshahara wa Tshs 650/= hakuna tofauti na mwaka 1980
Ndio huko, sasa kuna mdau kakurupuka humuBila ya Shaka ni Arab countries
Saiv utakua unapata million 10 nadhanPindi nilipomaliza shule tu nikasepa na mshahara wangu wa kwanza ulikuwa $900 mwaka 1980