Uchaguzi 2020 Hebu tutafakari sera zinavyonadiwa na mgombea wa CCM John Magufuli na yule wa CHADEMA Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Hebu tutafakari sera zinavyonadiwa na mgombea wa CCM John Magufuli na yule wa CHADEMA Tundu Lissu

Katiba hiyo hiyo ndiyo inayoestablish sheria za Ardhi.. kwa mujibu wa sheria ya Ardhi "makazi asilia" tu ndio yanapaswa kuheshimiwa na mipango mipya.. na Kama mwananchi alifanya Maendelezo (of which wengi waendeleza baada ya sheria kutungwa) anapaswa kufuata taratibu kama zilivyokua prescribed.

Huwezi kuniambia few unlawful officers wakimlikisha mtu eneo la ikulu.. halafu tukamyanganya..akienda mahakamani watakataa kumsikiliza!?

Nope watamsikiliza ... maana anazo nyaraka za serikali zinazotosha kufungua kesi.. Sasa mchakato wa kuwatambua culprits na kuwawajibisha kisheria unaweza kuchukua muda ila kamwe hatashinda hiyo kesi Ili alipwe au apewe ebeo...never! anachoweza ni kupata ushahidi alitapeliwa. Na hicho ndicho wakazi wa Kimara wanachoweza kupata. Basi.

Hata hivyo huyu anayekwenda kuanza Ujenzi kwenye eneo bila kufuata taratibu (squatting) naye anavunja chungu au!? Maana it's like katiba ni kwa ajili ya kundi hilli ila si kwa kundi lile. Hiyo double standard ni mbaya sana kwa ustawi wa jamii yetu. Believe me.



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo si hoja,hoja hapa ni STOP ORDER iliyotolewa na mahakama kuzuia ubomoaji hadi madai ya wananchi walalamikaji wanaopinga kuondolewa bila fidia shauri lao lisikilizwe.
Serikali ikakiuka amri hiyo.
Kilichofuata utafikiri ni vita ya kumuondoa Nduli Iddi Amin.
Lakini Kimara hawajasahau japo ni wanyonge.
 
Uhuru, Haki na Maendeleo ya wananchi.
VS
Ununuzi wa ndege.

Ipi sera nzuri hapo ya kumkwamua mwananchi kutoka kwenye lindi la umasikini unaomkabili?


Mwaka 2016 viongozi wa
@ChademaTz
hawakuhudhuria siku kuu ya wafanyakazi baada yakualikwa na TUCTA, pia kuanzia mwaka 2017 hadi sasa haijawahi kuhudhuria SASA HIZI MBWEMBWE za
@TunduALissu
kujidai kuwa anawatetea wafanyakazi wakati huu wa uchaguzi ni uhuni na utapeli wa kisiasa
 
1598875414605.png
 
Halafu Baba Mwenye Ghorofa aliyewalisha nyasi anakufa anamanlizia nyasi.. anawaachia grorofa mnaendelaje kula kuku mpaka mnazeeka... No pain No Gain.. iko hivyo toka Beginning of times.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuku mnakula toka wapi na ye kafa kawaachia mzigo wa lighorofa lake litakalowashinda kukarabati maana wakati analijenga hakukumbuka kuwekeza kwenu ili mje kuwa na uwezo wa kulisimamia,..hamsini moja hamsini majinuun,..mwisho wa siku tunaliuza tu maanà wa kulisimamia hayupo.
 
Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Mwanza kwanini kusiwe na malaria mkuu
unatumia akili za chama au zako
 
Back
Top Bottom