Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Pesa za kula na kunywa chochote umetoa wapi Kama wew siyo mla rushwa na fisadi

'in American there is no free lunch '
How came wew unawatoa watu wote free lunch ili ujue jinsia zao ?

Wahusika msijitokeze asilani
 
Hao bila kukomaa hawaji, ww komaa shikilia hapo hapo. Ukikaza wanakuja vizuri tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ khaaaaaaa!!
Mbona hataree hapo bado hujatuona shombo km zote!! Ukituona humu patatosha kweli??
Hamuwezi kutokea kwasababu mnajijua nyote ni wabovu wa sura mpaka maumbo!
 
Bro kamatia hapo hapo, soon utaona wanakuja pm. Bila kukomaa kama hivyo ni wasumbufu sana
 
Namba unapewa tulia mbona mipasho tena!! Au upo kumalija unakunywa visungura boss? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sungura tangu lini akanywewa?,au mi ndo mshamba?

Sihitaji namba zako kwasababu haziwezi nisaidia chochote!,Mi ndo nilitaka niwasaidie nyie ambao watu wanawatilia shaka hapa JF.
 
Sungura tangu lini akanywewa?,au mi ndo mshamba?

Sihitaji namba zako kwasababu haziwezi nisaidia chochote!,Mi ndo nilitaka niwasaidie nyie ambao watu wanawatilia shaka hapa JF.
Hao wanaotutilia shaka waambie na sie tunawatilia mashaka vile vile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hao nilowatag kila mmoja kaingia mitini,no pm,no contacts!,na wewe ndo walewale mademu wa JF,Juu umetuna kama umepigwa jeki halafu chini ni Mswaki!
Ukikomaa kama hivi, Nina uhakika Hadi kufikiakesho saa 4 asubuhi watakuwa wamekuja kukupa details mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…