Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Nimecheka balaa tukalale mtu wangu kesho tugombanie daladala harufu ya ban inaanza kunukia hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli aisee wanatupotezea muda tu, sema sababu kesho ni jmosi bila hivyo ningewatema mapema tu
 
Tafuta pesa mkuu ujenge utoke kwenye Upangaji,Mimi nilijenga kwangu nikiwa nina miaka 27,leo nina miaka 34,unaona namna ninavyofurahia maisha!

Na siyo kujenga tu,bali ujenge nyumba kali ya viwango!.

Huu ni ushauri nakupatia mkuu!
Mm sijengi na hakuna kitu utafanya. Dunia njia, najengaje njiani?
 
Kwa huyo mzuri sana umepigwa, kwanza jajiunga sijui jana, hiyo ni ID mpya mtu kafungua. Mimi humu JF nina ID moja tu, nashangaa mtu anakuwa na ID nyingi za nini.
 
Kwa huyo mzuri sana umepigwa, kwanza jajiunga sijui jana, hiyo ni ID mpya mtu kafungua. Mimi humu JF nina ID moja tu, nashangaa mtu anakuwa na ID nyingi za nini.
Hizi joined 2023 wengi vilaza
 
Mm sijengi na hakuna kitu utafanya. Dunia njia, najengaje njiani?
Dunia ni njia ya kwenda wapi mkuu?

Nakuhurumia unavyoteseka na Kodi,hadi sometimes unawapiga watu mizinga ili ulipe kodi!
 
Kumbe unavuja damu na kuvaa pampas
Pole anti chale, tamaa zimekuponza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wanawake wenye wanaume na wenye akili timamu wamelala,ila kuna wewe sasa!
 
Hiyo akili ya kushauri umeipata lini?

Mm hata pesa ya kula tu sina, leo unaniletea story nijenge. Nijenge ili iweje?
Na ndiyo maana hapo mwanzo nilikwambia Tafuta pesa,acha kushinda hapa Mitandaoni na kutukana watu!,Huu muda ni heri ungelala ili asubuhi udamke kibaruani!

Wenzio kazi zetu zishatufanya usiku kulala muda umeenda!,Shauri yako!
 
Kwa huyo mzuri sana umepigwa, kwanza jajiunga sijui jana, hiyo ni ID mpya mtu kafungua. Mimi humu JF nina ID moja tu, nashangaa mtu anakuwa na ID nyingi za nini.
Mkuu we acha tu!
 
Na ndiyo maana hapo mwanzo nilikwambia Tafuta pesa,acha kushinda hapa Mitandaoni na kutukana watu!,Huu muda ni heri ungelala ili asubuhi udamke kibaruani!

Wenzio kazi zetu zishatufanya usiku kulala muda umeenda!,Shauri yako!
Mm sina issue yoyote mkuu, hapa nilipo hata pa kulala tabu. Bora muda uende tu kukuche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ