Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nimeona hiyo saa kuna kitu nimekumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Au basi
Umekumbuka nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona hiyo saa kuna kitu nimekumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Au basi
Maskini dada wa watuUmemsahau? Ndio yeye huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nguo ziko tayariii kwa mtokoo.Udugu ulikuwa wapi leo? Haya nguo ushaandaa za kwendea Mlimani city kesho? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hz picha unanikumbusha uzi wetu [emoji28]
Alafu kwa nn wanapenda sana kuita watu mlimani city? So ndio huko huwa wanapeanaga thirty thousands?[emoji23][emoji23]Emu usinipambe ukanifanya nikose ofa za kwenda kukutana na matajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijitetee mie?Mbona unajitetea sana?[emoji23]
Maskini dada wa watu
Sahivi naweka kanbi kwenye ule uzi wa wachawi Kuna vitu najifunza🤣🤣🤣🤣🤣Waturudishie uzi wetu mods [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kina sate ndo walizingua
Ile surprise [emoji1783][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Umekumbuka nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nguo ziko tayariii kwa mtokoo.
Achana na huyo, antonnia ameniambia una graduate. Nikupatie nn kama zawadi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijitetee mie?
Mie nilishamaliza kila kitu, since day mokoo naingia humu.
Niko winja winjaaa, aandae maokotoo ya kushato ktk mtoko huo.
Alafu kwa nn wanapenda sana kuita watu mlimani city? So ndio huko huwa wanapeanaga thirty thousands?[emoji23][emoji23]
Sahivi naweka kanbi kwenye ule uzi wa wachawi Kuna vitu najifunza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana na huyo, antonnia ameniambia una graduate. Nikupatie nn kama zawadi?
Sema wanaume wa jf ht akiwa dada wa watu alikuwa mzuri basi tu atamsema vibaya mradi amchafulie jina[emoji23][emoji23][emoji23] aliambiwa kachafua bmw afu juu mkubwa chini yupo km mswaki
[emoji23][emoji23] sema umechangia ile thread kufungwa, ulikua unasepa na kijiji kila sikuWaturudishie uzi wetu mods [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kina sate ndo walizingua
Kumbe unataka ngoja nitakutag....nahisi kuna mahali tutautumia shogaanguWapi uko tujifunze wote uchawi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wanaume wa jf ht akiwa dada wa watu alikuwa mzuri basi tu atamsema vibaya mradi amchafulie jina