Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Emu usinipambe ukanifanya nikose ofa za kwenda kukutana na matajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu kwa nn wanapenda sana kuita watu mlimani city? So ndio huko huwa wanapeanaga thirty thousands?[emoji23][emoji23]
 
Mwalimu wangu Carleen imekuaje yamekukuta haya mambo?!!
I think it's about time to quit JF now or go for a retreat.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijitetee mie?
Mie nilishamaliza kila kitu, since day mokoo naingia humu.

Niko winja winjaaa, aandae maokotoo ya kushato ktk mtoko huo.
Achana na huyo, antonnia ameniambia una graduate. Nikupatie nn kama zawadi?
 
Sema wanaume wa jf ht akiwa dada wa watu alikuwa mzuri basi tu atamsema vibaya mradi amchafulie jina

Wapuuzi sana, hao tucheke nao hapa hapa na kutaniana, kuonana wakaonane na wake zao uko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom