Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hasira hizo πππOffer si kwa ajili ya madume.
Itashangaza kwa dume zima anayetaka kupewa offer na mwanaume mwenzie,itakuwa ajabu sana!
Kunywa maji mengi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira hizo πππOffer si kwa ajili ya madume.
Itashangaza kwa dume zima anayetaka kupewa offer na mwanaume mwenzie,itakuwa ajabu sana!
ππ HatariVisungura vishapanda kichwani?
Tena sio dume tu!! Ila dume la mbegu ntakukaza shauri yako ππππ
Ubebe na dume cdm kesho mwali sawa?
Saa ngapi utakuwa tayari eneo la tukio?
Anazingua huyu mzee wa bmw πππππ Hatari
Hasira za kitu gani?Hasira hizo πππ
Kunywa maji mengi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee!!
Wewe hatukujui chaajabu unataka kutujua kilazima!!! Kesho utokee Mlimani sasa sio umepiga visungura ukazima afu usitokee
Mkuu unaweza kunieleza Visungura ndo kitu gani?ππ Hatari
Una kichwa kigumu, hiyo kuja pm ni mpaka wawe na uhakika kwanzaNa ndiyo maana nilitaka wani-pm mapema ili tupange kwa pamoja muda wa kutoka kama ikiwezekana niwapitie ambao ningeweza na gari yangu halafu wengine wangekuja na Uber/Bolt,sasa unategemea mimi hapo ulitaka niwamainishe vipi bila kuzungumza nao?
Wizo si tumesema huwa hana kona kona[emoji23]Ukute wizo bichwa komwe anatuigizia hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu niambie,uhakika ulitaka niuweke vipi bila mawasiliano?Una kichwa kigumu, hiyo kuja pm ni mpaka wawe na uhakika kwanza
ππππHasira za kitu gani?
Wewe mwenyewe umesema na kuthibitisha ni dume,sasa unataka nini?,Au unataka nikutoe Out?
Ok!ππππ
Me ninavyojua jf wote majike dume Mello peke yake ndiye anafahamika yuko wazi
Hapo utajichosha hun, huyo mvuvi haramu πππUna kichwa kigumu, hiyo kuja pm ni mpaka wawe na uhakika kwanza
Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.nimeipenda hii,
kuhusu kumtja, ngoja ngoja kwanza
ππππ wizo analinda ndoaWizo si tumesema huwa hana kona kona[emoji23]
Umemzingua kijana wa watu mpaka ameingia woga kwa hofu ya kukandwa na dume la mbegu πππππππAnazingua huyu mzee wa bmw πππ
Unalalaje bila kujua kama.kesho mtoko upo[emoji23][emoji23]Boss naenda kulala natumai asubuhi nitayakuta maelezo hapa umeacha.
Na utokee kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe huyo yupo tayari na nguo ameshaandaa, nenda nae taratibu ukiweka ukali atajua haupo seriousSasa hata nikiweka hapa kila kitu kesho utafikaje eneo la tukio bila mawasiliano?,Kwanini wewe usiweke mawasiliano yako hapa ili iwe rahisi kesho kupatikana?
We mbona umemkomalia mshamba vipi?Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.
Sasa wewe umpendaye unamficha vipi? Na kama yeye hataki.umuweke wazi basi jua hakupendi na kuna watu wake wengi humu.
Mtaje mara nyingi uwezavyo yule umpendaye.
Hata hapa ikiwezekana mtag kabisa.
Lamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basiWewe nenda kapigwe na Mbu huku ukiamka asubuhi uanze kuumiza kichwa mchana utakula nini!,Dume wewe!
Ni vile vipombe gongo la kisasa smart gin vinapicha ya sungura mjanja.Mkuu unaweza kunieleza Visungura ndo kitu gani?