Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Visungura vishapanda kichwani?
Tena sio dume tu!! Ila dume la mbegu ntakukaza shauri yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ubebe na dume cdm kesho mwali sawa?
Saa ngapi utakuwa tayari eneo la tukio?
πŸ˜€πŸ˜€ Hatari
 
Na ndiyo maana nilitaka wani-pm mapema ili tupange kwa pamoja muda wa kutoka kama ikiwezekana niwapitie ambao ningeweza na gari yangu halafu wengine wangekuja na Uber/Bolt,sasa unategemea mimi hapo ulitaka niwamainishe vipi bila kuzungumza nao?
Una kichwa kigumu, hiyo kuja pm ni mpaka wawe na uhakika kwanza
 
Hasira za kitu gani?

Wewe mwenyewe umesema na kuthibitisha ni dume,sasa unataka nini?,Au unataka nikutoe Out?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Me ninavyojua jf wote majike dume, ninayemfahamu km dume Mello peke yake nyie wengine samaleko
 
nimeipenda hii,

kuhusu kumtja, ngoja ngoja kwanza
Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.

Sasa wewe umpendaye unamficha vipi? Na kama yeye hataki.umuweke wazi basi jua hakupendi na kuna watu wake wengi humu.

Mtaje mara nyingi uwezavyo yule umpendaye.

Hata hapa ikiwezekana mtag kabisa.
 
Sasa hata nikiweka hapa kila kitu kesho utafikaje eneo la tukio bila mawasiliano?,Kwanini wewe usiweke mawasiliano yako hapa ili iwe rahisi kesho kupatikana?
Wewe huyo yupo tayari na nguo ameshaandaa, nenda nae taratibu ukiweka ukali atajua haupo serious
 
Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.

Sasa wewe umpendaye unamficha vipi? Na kama yeye hataki.umuweke wazi basi jua hakupendi na kuna watu wake wengi humu.

Mtaje mara nyingi uwezavyo yule umpendaye.

Hata hapa ikiwezekana mtag kabisa.
We mbona umemkomalia mshamba vipi?
Mwenyewe alishasema anampenda Miss eyes
Au kuna mtu unataka kumpa?
Kwanza muache shem wangu asije kupewa yutiai sugu bure na ngwengwe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe nenda kapigwe na Mbu huku ukiamka asubuhi uanze kuumiza kichwa mchana utakula nini!,Dume wewe!
Lamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basi

Hiyo BMW uliyonayo ni model ipi ili nikueleze yeye ana aina gani, alafu upime mwenyewe.
 
Back
Top Bottom