Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #121
Mkuu, generally speaking, unaliongeleaje hili suala la Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni?...walifika ukumbini baada ya watu kuwa wameshaanza kula na kukuta foleni ya chakula ikiwa imekatika, wakajua kuwa chakula tayari kimeshaisha, ila Mc alipochukua jukumu la kuwatangazia watu kwamba chakula bado kipo, ndiyo wakajua kuwa chakula kumbe bado kipo na hivyo nao wakaamua sasa kwenda kuchukua kwa mara ya kwanza ili waweze kula, vinginevyo wasingekula kwa sababu hapo awali hawakuwa wamekula
Mkuu, generally speaking, unaliongeleaje hili suala la Busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni?Mimi kiujumla naenda kuongeza mzigo...hata ikiwa dunia nzima itaenda tofauti na Mimi........point to take:Kama sio mtu wa mazoezi kula chakula kingi usiku ni ulafi
Ukiona uzi unatumia nguvu nyingi sana kuutetea, jua kwamba kuna kitu mahali fulani hakijaenda sawa. Kwa sababu mimi ninavyokuona wewe ulivyo, hata kama ungekuwa umekaa nao meza moja, ilikuwa siyo rahisi uwe attention na ratiba yao ya chakula, isipokuwa mambo mengine makubwa, yanayofana na wewe. Your brain is too big kiasii kwamba nina imani marginals huwa zinaendelea kwenye public places ambazo huwa unabahatika kuwepo, completely without your notice, labda zitokee fujo ndiyo na wewe attention yako inaweza ikaonekana kuchotwa na kelele za watu, vinginevyo huweziKaka mkubwa Makanyaga, nina uhakika huo kwa maana they were sitting just next to me. Few tables away from where I was...
Shemeji alikupa ushauri mwanana sana mkuu. Hii pia ndio kanuni yangu ya msingi katika maisha linapokuja suala zima la matumizi ya fedha...Kuna shemeji yangu mmoja, alishatangulia mbele ya haki, aliwahi kuniusia maneno fulani kipindi kirefu nyuma. Aliniambia kuwa: Shemeji, maisha haya tunayoishi ni magumu sana, na inabidi ujinyime sana kwenye kipata chako ili uweze kupata savings zitakazokuwezesha kufanya mambo mengine ya msingi katika maisha LAKINI, usijinyime kiasi cha kushindwa kula ukashiba. Hakikisha unakula na kushiba kwanza halafu ndiyo maswala ya kujinyima yaanzie pale, baada ya kuwa umekula na kushiba.
Hahahaaaaa mkuu, My brain is not that big. Let me challenge your assessment. Mimi ni kijana wa kawaida sana humu JF. I am just a normal guy...Your brain is too big
TABLE MANNERS haikukaa sawa kulingana na malezi niliyokulia mkuu...Ukiona uzi unatumia nguvu nyingi sana kuutetea, jua kwamba kuna kitu mahali fulani hakijaenda sawa.
Big brains huwa hazijijui, na wala huwa hazijioni, kuwa ziko big. This is just once again, another proof that your brain is big!Hahahaaaaa mkuu, My brain is not that big. Let me challenge your assessment. Mimi ni kijana wa kawaida sana humu JF. I am just a normal guy...
Eti, mambo mengine makubwa, yanayofana na wewe hahahaaaaaaaaa mkuu ndio unazidi kunifurahisha kaka yangu. Mimi usinichukulie serious sana. Mimi nina hulka ya kupenda sana kusoma kama mama yangu mzazi ambaye ni mwalimu ndio maana ninajua mambo kwa kiasi fulani. Ila mimi ni mtu wa kawaida saaaaana my dear brother.......mimi ninavyokuona wewe ulivyo, hata kama ungekuwa umekaa nao meza moja, ilikuwa siyo rahisi uwe attention na ratiba yao ya chakula, isipokuwa mambo mengine makubwa, yanayofana na wewe.
Tabia ta kukaa unasoma soma maana yake unapata ideas. Ideas ndiyo chakula cha great minds! I like your life styleEti, mambo mengine makubwa, yanayofana na wewe hahahaaaaaaaaa mkuu ndio unazidi kunifurahisha kaka yangu. Mimi usinichukulie serious sana. Mimi nina hulka ya kupenda sana kusoma kama mama yangu mzazi ambaye ni mwalimu ndio maana ninajua mambo kwa kiasi fulani. Ila mimi ni mtu wa kawaida saaaaana my dear brother.......
Akikujibu nishtue mkuumkuu vp rafiki ako wa mbezi umemtembelea siku za hiv karibun
Mhh. Hii statement ndio kwanza ninaisikia kutoka kwako mkuu.Big brains huwa hazijijui, na wala huwa hazijioni, kuwa ziko big. This is just once again, another proof that your brain is big!
Iko pande mbili...Kuna general perspective na personal perspective...asa ishu Kama kuongeza misosi sio kitu kibaya...na endapo mtu ata judge kwa kusema tabia mbaya Basi hayo ni maoni yake...Ila Kama kula chakula uku mtu anaongea ni tabia mbaya....kula uku unaangalia wenzako machoni....au kutafuna uku Domo liko wazi Kama nguruwe iyo ni tabia mbayaMkuu, generally speaking, unaliongeleaje hili suala la Busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni?
Iko pande mbili...Kuna general perspective na personal perspective...asa ishu Kama kuongeza misosi sio kitu kibaya...na endapo mtu ata judge kwa kusema tabia mbaya Basi hayo ni maoni yake...Ila Kama kula chakula uku mtu anaongea ni tabia mbaya....kula uku unaangalia wenzako machoni....au kutafuna uku Domo liko wazi Kama nguruwe iyo ni tabia mbayaMkuu, generally speaking, unaliongeleaje hili suala la Busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni?
Huwa hazijijui kwa maana ya kwamba, wanakuwepo watu wanaomwambia mtu husika kuwa yeye ni big brain, halafu akishasikia hivyo anaanza kushangaa, na wale wanaomwambia nao pia wanaanza kushangaa, kwa nini yeye hajui hilo wakati wao wanajua. Anakuwa anasikia tu kutoka kwa wengine, ila yeye ukimuuliza anasema hajui, sana sana atakwambia kuwa "nasikia watu wananisema hivyo"Mhh. Hii statement ndio kwanza ninaisikia kutoka kwako mkuu.
Vp kuhusu watu waliokuwa na vichwa vizuri hapa duniani kama vile Einstein, alikuwa hajifahamu kwamba yeye ni genius/bright upstairs?
All in all, thanks for the credit. Ngoja nitaanza kujichunguza kuanzia sasa mkuu.
Je, unafikiri ni jambo sahihi na busara mtu kuongeza chakula katika sherehe/msiba?
Kaka mkubwa, what do TABLE MENNERS honestly mean to you?...Kama wewe unaaibu mahali pasipostahili aibu basi usitake wengine wawe kama wewe kwa kusingizia Manners (adabu).
Poa mkuu...Kweli wewe ni last born na akili zako ni za ki last born.