Wewe ulitakaje? Watu watekwe na kuuliwa halafu yeye acheke na wauaji kisa akiwagusa watarusha makombora. THUBUTUNeta kichaa tu anafurahia nini kila siku missile zinaland israel huu ni ujinga anahatarisha existence ya taifa lake huku akijali zaidi political carrier he choose to save himself than his people
Kwani Ngamia hawapo mpaka watumie baiskeli za miti?Kinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.
Sahihi. Huyo ndiye kinara anayefadhili makundi ya kigaidi. Akiondoka kwa kutumbuliwa na IDF au vinginevyo, basi hayo makundi habari yao itakuwa imeisha au mustakabali wa uwepo wao hapo middle East utatetereka sana.Na ndiye anayewindwa tangu 1979.
Wanafikiria kusoma Albadir sasa, na wanataka kuanza na Benjamin NetanyahuIran naona maneno mengiii kuliko vitendo,kila wakati wanabutuliwa tu, kiongozi wao mkuu Ayatollah kazi yake kulaani tu na kutishia bila vitendo
Nina hakika hi statement hata wewe mwenyewe huiaminiNeta kichaa tu anafurahia nini kila siku missile zinaland israel huu ni ujinga anahatarisha existence ya taifa lake huku akijali zaidi political carrier he choose to save himself than his people
Hiyo Albadir ingekuwa na nguvu, Palestinian wangekuwa tayari wameitumiaWanafikiria kusoma Albadir sasa, na wanataka kuanza na Benjamin Netanyahu
Kwahio pisi kama hio ya kushoto zinakuwa 70?!View attachment 3110509Hassan Nasrallah with 72 virgins in heaven😂
| Kupatwa Kwa Waarabu | Kupatwa Kwa Waarabu. | |||
| Kupatwa Kwa Waarabu | 5 | |||
| Kupatwa Kwa Waarabu. |
Umesema kweli aiseeee, naona. Kila dakika wanarudia video ya 7/10, kujipandishia mzuka/mori/hasira kama wamasai. Ne wengine wamejifungia maabara na vyumba vya IT kuratibu michongo na kufanya tafiti ngumu kijeshi.Jamaa wana vichaa wa kutosha huko kwenye bunkers wamewafungia wanawaonyesha video za October 7 tu😅
Bwana Netanhahu Maabikira hawatatosha hukoOhoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣Hivi huna kazi za kufanya kila dk na iran,israel,palestine,nk.
Lima hata bustani basi
Yes, procedure ++Kwahio pisi kama hio ya kushoto zinakuwa 70?!
Anajibu kwa????Mkuuu hataniwi yule ukimtania anajibu
Kwa moto
Sio kuuzidi upande uleHumu mbona km mnashabikia mauaji
Nawahurumia wale wajinga waliosusia hotuba sijui kama watakuwa salama siku za usoni🤣Netanyahuh mlimchokoza wa nini jamani.