Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Yaan hawa mendr wamesahau ndege silaha nyingi zimetokea hukoo Israel kaziwanayoo
We mzee wa mafuta leo umenichekesha sana eti Neta..anajibu kwa moto🤣🤣🤣
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera
Nikajua viongozi wa CHADEMA
 
Nina hakika hi statement hata wewe mwenyewe huiamini
Sasa leo tu watu million 1 wamekimbilia kwenye shelter jiji la haifa ukiangalia si ni ukichaa au nini ?? Unatesa public interest na taifa na bado misile zinaland kila mahala na hii ni well calculated ukiangalia israel na Netanyahu ameshacheza kadi zake zote ameshastrike Dahiyeh ameshauwa makamnda wa hizbullah yeye bado hajalipiziwa kwa magnitude na hao anaopambana nao sio kama hawana uwezo wanaouwezo mzuri tu sema ndio hivyo self interest mbele national interest nyuma ndio ukichaa wenyewe sasa.
 
Nawaona tu wayahudi weusi wenye chuki na waarabu/Uislamu wakichekelea na kufurahia waislamu kuuawa, hawajui kuwa kuna maisha mengine baada ya haya
 
Neta kichaa tu anafurahia nini kila siku missile zinaland israel huu ni ujinga anahatarisha existence ya taifa lake huku akijali zaidi political carrier he choose to save himself than his people
Aliyekwambia anafurahia nani,yeye alishachokozwa wacha afanye retaliation kama kauli mbiu yenu ya jino kwa jino inavyoshadadiwa.Mtu yupo serious unamwambia habari za kucheka are u mad?
 
Sasa leo tu watu million 1 wamekimbilia kwenye shelter jiji la haifa ukiangalia si ni ukichaa au nini ?? Unatesa public interest na taifa na bado misile zinaland kila mahala na hii ni well calculated ukiangalia israel na Netanyahu ameshacheza kadi zake zote ameshastrike Dahiyeh ameshauwa makamnda wa hizbullah yeye bado hajalipiziwa kwa magnitude na hao anaopambana nao sio kama hawana uwezo wanaouwezo mzuri tu sema ndio hivyo self interest mbele national interest nyuma ndio ukichaa wenyewe sasa.
Shekh, kula ubwabwa unywe maji upumzike sasa. Pumzi ya moto hii shekh.
 
Sasa leo tu watu million 1 wamekimbilia kwenye shelter jiji la haifa ukiangalia si ni ukichaa au nini ?? Unatesa public interest na taifa na bado misile zinaland kila mahala na hii ni well calculated ukiangalia israel na Netanyahu ameshacheza kadi zake zote ameshastrike Dahiyeh ameshauwa makamnda wa hizbullah yeye bado hajalipiziwa kwa magnitude na hao anaopambana nao sio kama hawana uwezo wanaouwezo mzuri tu sema ndio hivyo self interest mbele national interest nyuma ndio ukichaa wenyewe sasa.
Kwahio wewe usie kichaa unaamini Israel kacheza karata zake zote? Lebanon itaishia kama Gaza hao hezbollah Wasikowska hapo.
 
Nawaona tu wayahudi weusi wenye chuki na waarabu/Uislamu wakichekelea na kufurahia waislamu kuuawa, hawajui kuwa kuna maisha mengine baada ya haya
Sijawahi kusikia muislam, akikemea WAKRISTO wanavyouwawa Sudan, Kongo, Nigeria, nk. Wala mauaji ya kikatili na uchokozi wa Hamas wa October 7, haujawahi kulaaniwa na muislam yeyote hata kwa bahati mbaya zaidi ya kupongezwa. Je sera, itikadi, dini, agenda ya waislam ni kuwafuta WAKRISTO duniani ? Nani alianza vita kumchokoza mwenzake ?
 
Sasa leo tu watu million 1 wamekimbilia kwenye shelter jiji la haifa ukiangalia si ni ukichaa au nini ?? Unatesa public interest na taifa na bado misile zinaland kila mahala na hii ni well calculated ukiangalia israel na Netanyahu ameshacheza kadi zake zote ameshastrike Dahiyeh ameshauwa makamnda wa hizbullah yeye bado hajalipiziwa kwa magnitude na hao anaopambana nao sio kama hawana uwezo wanaouwezo mzuri tu sema ndio hivyo self interest mbele national interest nyuma ndio ukichaa wenyewe sasa.
Narudia tena; haya ulioandika hata wewe huyaamini, hayatoki moyoni mwako wala akilini mwako. Kwamba Hezibollar na Hamas wanao uwezo wa kumpiga Israeli halafu wasifanye hivo? Halafu unaamini kabisa hivo bro? JF ni ya watu wazima, let us not kid each other
 
Kwahio wewe usie kichaa unaamini Israel kacheza karata zake zote? Lebanon itaishia kama Gaza hao hezbollah Wasikowska hapo.
Kacheza ndio kama kuua viongozi tayari kama kupiga Beirut tayari kama kuishake hizbullah kisaikolojia ila vijaa vimekaza na tayari kabakisha ground offence ambayo anaiita limited kwa kuwa hana uhakika anaenda kutest kikiwaka anarudi nyuma anatangaza victory ila akiingiza ground force akifaulu atapuyanga kote huyo na kudrop syori za limited incursion ila all in all muisrael amefanikiwa siku mbili tatu hizi na wiki kwenye kufanya strategic psychological warfare na amefanikiwa na kutuaminisha ana nguvu sana anaweza kumpiga yeyote ilhali missile zinazidi kubamiza soil yake na military base zake kila siku huu ni ukichaa wala sio victory ila kwa juu utaona kweli anashinda kumbe wapi mikwara mingi mingi na propaganda na psychoops kama zote ambazo hazina military strategy ya maana.
 
Nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. Hapo uislam umeingiaje?

Qur’an ilishamaliza kila kitu, yaliyosemwa ndio haya tuyaonayo kutoka kwenu, hamtakua radhi nasi mayahudi na Manaswara mpaka tufuate mila zenu n.k
 
Back
Top Bottom