Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Kazi ipo
 
Kila la heri
 
Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani, hebu tuache kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…