Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Naona ulijipa ujiko hapa
 
AHAHAHAHAH
so ulianzisha uzi bw shemeeej kwa Id nyingine.
mara paap ikawa verified !
hahhahahhahahha dah!
Mitandaoooo hiiii
 
πŸ€£πŸ˜‚Kumbe huwa mnajipogia promo humu
 
Asee hii ndo Own Goal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…