Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Huyo mrembo yupo ndoa ya ngapi?
Ye ni mwendo wa kuolewa tu

Mwanamke wa vile ni ngumu sana kuishi nae
Ujue ndoa zetu ni kama utawala flani hivi sasa mwanaume ni ngumu sana kuishi na mwanamke mjuaji kiasi kile vinginevyo utaishi nae kinyonge sana[emoji23][emoji23]
 
Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?
 
Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?
Mambo yao tuwaachie wenyewe 🤣
 
Mpe hongera sanaaa huyo katibu wa mkoa wa kinondoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
huo ni uchawa
 
Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?
Daah 🤣🤣🤣😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…