Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajaachana bado mkuu[emoji3][emoji3]hii kwangu ni fursa nipeni namba ya JOY ,Ile kitu haina makombo
Mkuu una hela ya kulipia 'bills' au unataka ukawe kupe kwake kama Kileo?hii kwangu ni fursa nipeni namba ya JOY ,Ile kitu haina makombo
Duh!haki ya Mungu,hii dunia ina mambo,bwana harusi ajianzishia uzi wa kujipongeza raia wameufukua kweli msema kweli ni muda/wakati
Hii nchi Vi-Wonder havitaishahaki ya Mungu,hii dunia ina mambo,bwana harusi ajianzishia uzi wa kujipongeza raia wameufukua kweli msema kweli ni muda/wakati
Kumbe ww dogo ni kichwa maji sasa hapo ndio umeandika nn?Yule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
Kuumbuana huku!! DahNadhani wakati anaandika hii comment alikuja kwa id tofauti ila baadae mods wakafanya yao.
Kumbe ww dogo ni kichwa maji sasa hapo ndio umeandika nn?
Hayawi hayawi....Tunangojea ya tatu.....na ya nne
Kilewo toka zamani hana hela alimuoa Joyce ili aleleweHili la kuolewa tena X2. Sasa mtu anaweza kuconnect Dots na video yake Istragram- Kujiweka public kuhusiana na Matatizo ndani ya Familia yake na hasa Kauli ya eti yeye ndiyo mlipaji wa ....( Maana yake anamsema mzazi mwenzie ni Mwanaume suruali)! Kama alikuwa ameamua kutoa nyongo yake angeishia kusema kupigwa kwakwe Tu. Hili la eti mimi ni ....ni kujianika kuwa yeye ni mwanamke wa aina Gani!