sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
[emoji3]Kwa hiyo kibacha ndio mtoa mada ambaye ni bwana Kilewo! mambo ya multiple ID mod wakiamua kukuvua nguo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Kwa hiyo kibacha ndio mtoa mada ambaye ni bwana Kilewo! mambo ya multiple ID mod wakiamua kukuvua nguo!
Jf ni mji mzito.wote wako humu na lD tofauti tofauti. Kuna uzi mmoja alianzisha kisha akaja mtaraka wake wakaanza kuupa promo kwa kutumia ID mbili za pembeni
Unamaanisha Kileo ni mchagga na wachagga ni Marioo?Wachagga wamedandia umarioo kw kasi sana
EehHii ni harusi ya kwanza Joyce aliyofunga na huyo jamaa anaitwa Dj Nelly wa Clouds FM nafikiri harusi hii haikuchukua muda ndio wakaachana
Safi sana mkuuSiyo KILEO ni KILEWO ile ya marangu kiukweli kaka yetu anajua kuchagua na mtoto wao tulimuona
Umesomeka mkuuKwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
Siyo yote yang'aayo ni dhahabu!!!Siyo KILEO ni KILEWO ile ya marangu kiukweli kaka yetu anajua kuchagua na mtoto wao tulimuona
usitufokee..Kwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
Yaan ngachokaJF wanajua kudhalilisha, possibly alikuwa na multiple IDs, zikaunganishwa.
Yes yes asee[emoji848]Ukiangalia kwenye quote zake kabla hajawa verified alikuwa anaitwa "kibacha" hii ndio ile mtu anasema ndugu yangu anataka ushauri kumbe yeye mwenyewe
Hahhaahahah.Kumbe ulikuwa unajianzishia thread Chef. Mimi siku nikiverify hii account nitawaomba wafute thread zote nilizoanzisha,wafute comments zote. Si kwa aibu hii. 😂😂😂Yule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.
Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
Hongera sana Kamanda kwa Kufunga Ndoa na Joyce Kiria.Yule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.
Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
Hahahahaha kamanda uliandika huu Uzi ukiwa na fake ID Sasa ukabadili bila kuufuta huu UziWatu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
kumbe kaachika mara mbili au
Nadhani nilikua sijaja mjini..Nimeikumbuka party ya Joyce ya kupokea talaka ya Dj ili aolewe ndoa na kileo 🤣🤣🤣🤣🤣