Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Alisema kilewo akiwa mbunge shopping ποΈ Dubs πππEti alikosa pesa za matumizi, pia alikosa kuitwa mke wa mbunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema kilewo akiwa mbunge shopping ποΈ Dubs πππEti alikosa pesa za matumizi, pia alikosa kuitwa mke wa mbunge.
Alikabia kwa juu πΉπΉπΉNaona ulijipa ujiko hapa
Huko aliko akiwa ameboeka apitie uzi wake lazima achangamke kwa kucheka πππHAHAHAHAHHAHA itakuwa we mwenyewe unakufa mbavu na hii thread.
mana dah
Wanajipakulia minyama πΉπΉπΉπ€£πKumbe huwa mnajipogia promo humu
Acha basi ππππHappy anniversary
Itakuwa channel ya vichekesho mbinguni πΉπΉπΉDuh! JF kuna vituko sana[emoji28]
Unachekaaaa ehh πAcha basi ππππ
ππππ wanajipakulia minyama aiseee!!Jamani watu kumbe wanajifagiliaga wenyewe πππππ
ππππMsela alikua anategemea pesa za ubunge alipokosa bibie akaona hawezi kuendelea kufuga marioo. Fukuzia mbali
Naona umefukua kaburi.Itakuwa channel ya vichekesho mbinguni πΉπΉπΉ
Ila si alitumia Id halisi kujisifia? Au ilikuaje? Maana ukirudi mwanzo wa uzi ni id halisi.Haya mambo ya kujianika anika kwa mbwembwe mweeee 2011 ona uzi unatrend leo 2024..bado na wajukuu wao watausoma..23people are here ,π€£πππ
Kaburi zito sana hili πππNaona umefukua kaburi.
Huyu muungwana ni next level bonge la dramatic πππUnachekaaaa ehh π
Ndiyo mambo ya ndoa hayo
Oca
Mwamba alifungua uzi Kwa ID ya Kibacha ikimpamba Kilewo, VAR ya JF ikawanasa kama ndugu moyaHii tabia ipo sana humu, watu wanajifungulia nyuzi kujipamba π€£π€£π€£
Alitumia kibacha mwanzoni hata ukisoma katikati ya post yake,badae wakamuunganisha ile yake halisi hahaha maajabu sanaIla si alitumia Id halisi kujisifia? Au ilikuaje? Maana ukirudi mwanzo wa uzi ni id halisi.
Ndoa mkifunga kwa mbwembweHuyu muungwana ni next level bonge la dramatic πππ
Mods hizi sasa roho mbaya. HahahaAlitumia kibacha mwanzoni hata ukisoma katikati ya post yake,badae wakamuunganisha ile yake halisi hahaha maajabu sana
Acha bwana ni huyu makasifa tuItoshe kusema NGACHOKA nimecheka mpk machozi πππ
Wanaume wa kichaga mchinjwe xmas tuwanywe supu