Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Haha chief pasua kichwa (may their souls continue to rest in perfect peace)Kuna kisa nitakusimulia ucheke, yaani yule mzee!! May his soul rest in eternal peace.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha chief pasua kichwa (may their souls continue to rest in perfect peace)Kuna kisa nitakusimulia ucheke, yaani yule mzee!! May his soul rest in eternal peace.
Na ndizi na kapilipiliSema tu, tuje lini? Usijali vijiko tunavyo.
Vina ubinafsi tehHivi hivi vitambi vya hapo navyo vina upendeleo eeeh!! Mbona mimi na wewe hatuna[emoji134] [emoji134]
Kabaki tu hako. Afu tukikuta mlenda ndo katatutia aibu kabisa, badala ya kuzungusha tonge katakata mlenda Kwa mkono. Hizi x-pozha sio za sport sportApitizer muhimu, yaani tukifika shughuli ni moja tu, kui sasa ndio atatupa shida maana kamezoea vitu laini laini, sijui tukaache tu!!!
Hata hatutohangaika nae, tunakuwa busy kama hatukaoni, maana katataka sijui uma na kisu, hivi unashibaje kula na vitu vya ajabu hivyo.Kabaki tu hako. Afu tukikuta mlenda ndo katatutia aibu kabisa, badala ya kuzungusha tonge katakata mlenda Kwa mkono. Hizi x-pozha sio za sport sport
Picha ya nini tena?..tupicha kadhaa tungeletapendeza
Aaaaah nimefuta urafiki na nyie aisee, kumbe ulishakwea pipa kubwa. Mie mpaka wangu ni Tunduma tu, kuanzia leo sitaki ushirikiano na wewe na kui khaaaHata hatutohangaika nae, tunakuwa busy kama hatukaoni, maana katataka sijui uma na kisu, hivi unashibaje kula na vitu vya ajabu hivyo.
Basi nimekumbuka tulikuwa na safari ya kishule ya kwenda Sweeden, mkuu akatupeleka hotelini kutufundisha table maners na matumizi ya ya uma,vijiko na glass mbalimbali, aisee ilikuwa full vicheko. Khaaaah!!! Mambo mengine kuchoshana tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Aaaaah nimefuta urafiki na nyie aisee, kumbe ulishakwea pipa kubwa. Mie mpaka wangu ni Tunduma tu, kuanzia leo sitaki ushirikiano na wewe na kui khaaa
Mmmh hapana, no more ushirikiano kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mama mi sikwenda bwana, khaaaah!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
..Ya kwako!Picha ya nini tena?
Aah angalia pale juu imewekwa..Ya kwako!
HahaaaaaaWe usinikuzie mtoto!!
Kwakweli bado siko tayari kuitwa bibi, tusizeeshane mapema hivi!!!
We!!![emoji123]