Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dhihaka kwa Mungu wewe
Bila shaka wewe ni mzaliwa au unaishi "Ruangwa" eeeeeeeeeeeeeeeeeNa ikimpendeza Baba YEHOVA atende apendalo
Alizaliwa hospitali/zahanati gani hapo Chato?Wadau,
President Magufuli is now 60 years old.
Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long
Tamaduni za kimagharibi hizo, neno lenyewe ni lugha ya kibeberuUnajua maana ya birthday au unakariri kaka?
Kinachofanywa na Serikali anayoiongoza ya awamu ya tano kinaonekana. Kuna uimarikaji mkubwa wa nidhamu na uchapakazi kwenye utumishi wa umma; vita yenye mafanikio ya ufisadi na wizi wa Mali za umma.
Ungeanza wewe kuonesha mfano kwa kuichunia.Hizi thread Zenu za happy birthday zinajaza sever tu
Leo naona umeamka vizuri!!!!
Live loong magufuli live loong.Wadau,
President Magufuli is now 60 years old.
Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long