Zamani ATCL walikuwa hawataki makeup na surgery, naona sahv wanapaka tu na wanafanya.Hahaha kwaio bila makeup sahivi hutoboi.
Chama kipo hadi hapo utapeli utakapothibitika kukoma.
Ndio tununulie soda πKwahiyo wanawake wote leo mpo kwenye siku yenu?
Hahaha aya bana siwawezi na make up zenu, uwe na siku njema kama unapenda movies angalia 2037(Korean) ila ujiandae kulia.Zamani ATCL walikuwa hawataki makeup na surgery, naona sahv wanapaka tu na wanafanya.
Bahati niliacha, ila huku nilipo sasa, bila make up hutoboi
Au mnataka tutishe abiria mpaka marubani?
Halafu wala sio utapeli, kwani mnashikiwaga kisu kutoa pesa au kuoa?
Si mnatoa kwa hiari?
Na bado!!!
Ndio kwanza 8 March, mpaka ifike 31 December mko nyang'anyang'a kwa kuwatapeli.
Namgawia zangi zingine Qashy LilithHappy women day to all JF women in here ππΉπ
Mshangazi dot com leejay49 Mallerina RealMomy To yeye and 300 others women
Nawapenda sana kwa Moyo wa Agape barikiwa sana π€
Sawa, nawe nikutakie maandalizi mema ya kujiandaa na Derby (kama bado ipo)Hahaha aya bana siwawezi na make up zenu, uwe na siku njema kama unapenda movies angalia 2037(Korean) ila ujiandae kulia.
Her majesty MallerinaπHeri ya siku yenu pendwa nyote mlio na vulvas
Usijidanganye kubeba mimba ya mwanaume ndio atakuoa, maana kuna chama chetu pendwa kataa ndoa.
Mkiwezeshwa mnaweza sasa imefika muda wa kujiwezesha wenyewe miseleleko imetosha.
Mnaua viumbe mkumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha, ncha ni kali inakata.
Dedication song:
Zuchu - Napambana
Dedication movie:
BINTI
Cc: Qashy Lilith
I miss you
realMamy
Huu mwaka ni wa kuforce lazima wakuite boss
Your excellence Hon. Mallerina
Ugombee sasa upate hata viti maalum
Mshangazi dot com
Mpwa wako nasemaje naseeemaje nakukubali Jamvi lenu lizidi kusonga lakini kataa ndoa inadunda tu.
Madame B hatimae nimekuona ulikuwa mrembo enzi zako be blessed.
Wee em sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BICHWA KOMWE - cocastic nawaona mmenasa kwenye seng'enge [emoji1787][emoji1787]View attachment 3263312
haha unajipakulia minyamaAsante sana Aunty
β₯οΈβ₯οΈβ₯οΈNamgawia zangi zingine Qashy Lilith
πππ
Thank youHeri ya siku yenu pendwa nyote mlio na vulvas
Usijidanganye kubeba mimba ya mwanaume ndio atakuoa, maana kuna chama chetu pendwa kataa ndoa.
Mkiwezeshwa mnaweza sasa imefika muda wa kujiwezesha wenyewe miseleleko imetosha.
Mnaua viumbe mkumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha, ncha ni kali inakata.
Dedication song:
Zuchu - Napambana
Dedication movie:
BINTI
Cc: Qashy Lilith
I miss you
realMamy
Huu mwaka ni wa kuforce lazima wakuite boss
Your excellence Hon. Mallerina
Ugombee sasa upate hata viti maalum
Mshangazi dot com
Mpwa wako nasemaje naseeemaje nakukubali Jamvi lenu lizidi kusonga lakini kataa ndoa inadunda tu.
Madame B hatimae nimekuona ulikuwa mrembo enzi zako be blessed.
Haha hawa wajinga wanatuharibia siku.Sawa, nawe nikutakie maandalizi mema ya kujiandaa na Derby (kama bado ipo)
Hapa naangalia A wolf Man -2025
That's right πHer majesty Mallerina
Thank you dearest SophyLeo ni siku yetu β Siku ya Wanawake! Ni siku ya kutafakari juu ya safari yetu, nguvu zetu, na mchango wetu kwa jamii. Wewe ni shujaa, mwenye bidii, na mwenye thamani kubwa. Changamoto unazopitia ni ushahidi wa uvumilivu na uwezo wako wa kushinda kila hali.
Heri ya Siku ya Wanawake!
Mshangazi dot com Depal
Joanah Saint Anne Carleen
Lamomy binti kiziwi Joannah
Na wengine wote muwe na siku njema vipenzi πππ
Ila mbona sisi tumeambiwa twende uwanjani?Haha hawa wajinga wanatuharibia siku.