Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Nyinyi mkipigwa mnaenda robo si ndio?
 
Ikitokea Mc Algiers akamfunga Tp Mazembe goli 2 au 3 kwake Yanga atatakiwa kushinda magoli mangapi mechi ya mwisho?
Mc Alger hata akimfunga Tp Mazembe magoli 9, Yanga anachotakiwa ni kushinda dhidi ya Al Hilal na dhidi ya Mc Alger hata ikiwa goli 1. Ila kama ikitokea kapata sare na Al Hilal hapo ni lazima Yanga ashinde goli 3 kwa 0 dhidi ya Mc Alger
 
Ili ufuzu lazima uwe na uwezo wa kuokota alama kwenye kila mchezo kadiri uwezavyo, kinyume na hapo mahesabu ya hivi lazima yahusike
 
Kwa sababu Mwasibu una gundu, utashangaa Yanga inafuzu eti!! Bora ungejinyamazia zako tu kimya.
 
Mc Alger hata akimfunga Tp Mazembe magoli 9, Yanga anachotakiwa ni kushinda dhidi ya Al Hilal na dhidi ya Mc Alger hata ikiwa goli 1. Ila kama ikitokea kapata sare na Al Hilal hapo ni lazima Yanga ashinde goli 3 kwa 0 dhidi ya Mc Alger
Endeleeni kupiga hesabu za vidole. Jumamos Al Hilal anamkanda uto anafikisha pointi 13 uto anabaki na point zake 4

MC Alger anamkanda TP Mazembe anafikisha pointi 8 .
Mechi ya mwisho hata uto akimkanda Mc Alger magoli 100 hayatamsaidia Maana atafikisha pointi 7 ambazo MC Alger tayari atakuwa ameshazivuka

Biashara inaishia hapo . Uto anarudi kwenye Kazi yake maalumu tuliyoizoea (KAMATI YA MAPOKEZI)
 
Ikitokea Mc Algiers akamfunga Tp Mazembe goli 2 au 3 kwake Yanga atatakiwa kushinda magoli mangapi mechi ya mwisho?
Yang akimfunga Al hilal basi game na MC Algiers anahitaj ushind wowote ule.

Maana Yanga atafikisha point 10

Algeriers atakuwa na point 8
 
Champions League Kama last game unacheza nyumban na Una nafas ya kufuzu hapo uhakika wa kufuzu ni zaidi ya 60%

Next week Yanga akimfunga Al Hilal nae Algiers akimfunga Mazembe basi mechi ya mwisha watakutana taifa wakat tofaut ya point kat ya Yanga na Algeriers ikiwa moja Tu. Yaani

1. Al hilal 10
2. MC Algiers 8
3. Yanga 7
4. Mazembe 2

Changamoto zilizopo ni kuwa Wakongo wanapenda Sana kupokea Rushwa wakat Waarabu wapo vizur Kwa kupenda kutoa Rushwa.

Al hilal kafuzu lakin anawezwa hongwa na Algiers ili amkazie Yanga.

Lakin pia changamoto nyingine kama

Mazembe ni Kama ana kinyongo Zaid na Yanga kuliko timu zingine hivyo game na Algeriers anaweza kumuachia Tu Algiers.

Vile vile Mazembe anajua kwamba mechi ngum aliyonayo ni dhid ya Algiers tu. Kwamba afanye juu chin amfunge Algiers na Al hilal amfunge Yanga. Last game amfunge ndugu yake Al hilal hapo wanafuzi Al hilal na Mazembe.

Hili kundi linaweza kuwa na upangaji wa matokeo. CAF wangeweka mechi zote siku moja na muda mmoja.
 
Kaka vipi Takwimu za Steve Mukwala na Ibrahim Bacca hazitii uchungu?
 
Mazembe hawezi kumwachia Mc Alger wakati hata hao Mazembe nao wana nafasi ya kufuzu
 
Nikirudi kuchangia maada Yanga anahitaji kushinda tu mechi zake bila kujali nani anafanya nini, bila shaka nyie ndio mlikuwepo kwenye mkutano wa Mzee Rage na siku analetwa Manzoki kwenye uchaguzi
Kwamba ni mbumbumbu au,
 
Mpira wa miguu huwa na maajabu

Tusishangae Yanga akashinda mechi zake zote mbili zilizobaki (Japo kumfunga Mwarabu kwao sitegemei likitokea)
Mwarabu anakuja kwa Mkapa na Msudani ndio tutamfata kwao ambako na yeye ni mgeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…