Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, hivyo kuwaelimisha wana jf na mitandao ya kijamii, kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote, lakini ni lazima aheshimiwe na wote kwasababu mtu akiishakuwa rais wa nchi, hapo hapo ana assume dual personality, yaani wanakuwa ni watu wawili in one!, hivyo rais wa nchi ni lazima aheshimiwe kwa heshima ya lazima ya kimamlaka, akosolewe kwa lugha ya staha, asitukanwe wala asitusiwe!.

Hoja hii ni kufuatia mjadala mingi kwenye mitandao ya jamii kwenye issue ya Bandari yetu na DPW, kuna watu wamevuka mipaka na kumkosea heshima Rais Samia na kumkosoa kwa lugha kali, kumtweza, kumkashifu na wengine kuvuka mipaka kwa kumtukana hadi matusi ya nguoni!, this is not right!.

Angalizo la Uzalendo Uchawa Vs Uzalendo Halisi!.

Kufuatia kuibuka kwa dhana ya uchawa, kuna watu wanajiita kabisa chawa wa Mama, hivyo mtu kama mimi nikijitokeza kutaka Rais Samia aheshimiwe wote, watu wenye akili fupi hawachelewi kuniona chawa!. Mimi sio chawa na hili sio bandiko la uchawa! ni bandiko la kukumbushana heshima ya kiasili ya Kiafrika ya heshima kitu cha bure, mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, heshima kwa wote.

Declaration ya Kutosaka Uteuzi.
Kumezuka mtindo wa sisi waandishi wa habari na watu wa media, tukiusifu utawala kwa mazuri au tukisifu viongozi, tunaonekana kuwa tunasaka uteuzi, naomba niwahakikishie tena Paskali hasaki uteuzi wowote na hili Paskali aliisha mueleza mteuzi mwenyewe face to face Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

The Duality of President. heshima ya lazima ya kimamlaka!, Akosolewe kwa Staha na Asitukanwe!.
Duality ni kanuni ya mtu mmoja ku na personalities mbili kwa wakati mmoja.
Rais wa nchi ni dual personality ana personalities mbili ambazo ni duality but they exist in one!. Yaani ni mtu mmoja mwenye two personalities ambazo zina exist in one and at the same time.

Kanuni hii ya double personalities au dual personality imezungumzwa vizuri na Mwana Saikolojia mahiri wa Marekani, Dr. Segmund Freud katika kukichambua kitabu cha Dr. Jekyll and Mr. Hyde, kilichoandikwa na Dr. Robert Luis Stevenson aliyeandika pia kitabu cha Kisiwa chenye Hazina, Treasure Island, ambapo mtu mmoja mwenye double personality mchana yuko vingine na usiku yuko vingine kama watu wawili tofauti.

Hii duality ipo sana kwa binadamu wote, yaani nafsi na roho, au me & I. mambo kama ya de javu, third eye, physical body na astra body, mambo ya ying na yang, vyote hivi vinatumia kanuni ya duality.

Wanawake wengi wanalelewa kwa kuandaliwa kuwa wife materials, ili kupata mchumba hivyo katika kusaka ndoa anakuwa na one personality na akiisha pata ndoa na kuolewa, ana change na ku show her true colours!.

Jamii zetu nyingi za kiasili za Kiafrika kina watu wanaishi double life mfano mzuri ni wanga, wachawi na washirikina, ukiwaona mchana ni watu wa kawaida, lakini usiku ni watu wengine kabisa!.

Na kwenye siasa ndio usiseme!.

Persnality ya kwanza ya Rais wa nchi ni human personality, yaani rais ni binadamu, a human being kama binadamu mwingine yoyote wa kawaida anayestahili mahitaji tote ya kibinadamu, hivyo rais wetu Samia ni mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, Huyu ni human being, she has all human needs including feelings, love and compassion na ana mahitaji mengine yote ya kibinaadamu ikiwemo kupenda, kupendwa na heshima, love and dignity and can make mistakes just like any other human beings. Hivyo huyu Samia ambaye she is only a human, unaweza kumpenda au usimpende, unaweza usimkubali, unaweza kumbeza, unaweza kumtukana na kumdhalilisha au kusema chochote kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan na hakuna tatizo!. Mfano mzuri wa hili ni huyu mtu niliyemzungumzia hapa Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? bandiko kama hili liliwezekana kupandishwa kwasababu she is just a human na enzi hizo alikuwa na single personality, sasa with dual personality bandiko kama hili haliwezi kupanda.

Jee ni lazima kumpenda Rais?.
Kumpenda mtu yoyote ni person preferences, mtu yoyote anaweza kumpenda mtu mwingine yeyote, kwa sababu zozote au bila sababu, au unaweza usimpende kwa sababu zozote, au bila sababu, na hakuna kosa lolote kutompenda yeyote lakini hata ikitokea mtu fulani humpendi, bado una wajibu wa kumheshimu na kuulinda utu wake.

Hivyo watu wako huru kumpenda Rais Samia ama kutompenda, it's an option lakini kumheshimu is not an option ni wajibu ndio maana kumtukana mtu ni kosa.

Personality ya pili ya Rais Samia, ni rais wa nchi, hivyo huyu binadamu anaitwa Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwa ni rais wa nchi ana, assume kitu kinachoitwa presidential personality, huyu sasa sio mtu binadamu, ni mtu taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ndani ya JMT, hivyo rais wa nchi kwa personality yake ya urais, ni lazima aheshimiwe, utii kwa mamlaka, huwezi kumtukana, huwezi kumdhalilisha, itakuwa ni kuitukana taasisi ya urais. Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka, iwe ni mamlaka halali au haramu, una wajibu wa kutii mamlaka, ndio maana hata enzi za yule Blaza wangu, kabla hajagombea urais, toka ile 2014 nilipoambiwa ni yeye, nilileta angalizo humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli baada tuu ya kushinda nikatoa ushauri huu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na pia nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Hivyo despite all the odds heshima na utii kwa mamlaka ni jambo la wajibu!.

Rais Samia kama taasisi ya urais, huhitaji kumpenda lakini ni lazima kumheshimu!. Rais Samia kama taasisi ya urais, she is not human, hawezi kufanya makosa ndio maana hawezi kushitakiwa!.

Wito kama huu niliwahi kuutoa enzi za utawala wa JK, Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na wakati wa Magufuli pia nilishauri Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Hivyo sasa tuko na Samia, tunaweza tusimpende lakini lazima tumuheshimu na ukitokea ukosoaji, tumkosoe kwa lugha ya staha na sio kumtukana na kumdhalilisha.

Niliwahi kushauri humu kuwa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda unaweza usimpende lakini ni lazima kumheshimu.

Hitimisho
Rais Samia ni rais wetu, tumpende, tumheshimu, tumsuport, na hata ikitokea, kuna sehemu anakosea tumkosoe kwa heshima na staha.
Kwa sisi wengine ambao tunamkubali Samia kama Mama, mzazi wako, hata akukosee vipi, kamwe huwezi kumtukana!. Samia ni Mama wa Taifa, tumheshimu.

Namalizia kwa msisitizo huu

Heshima Kitu cha Bure, Rais Samia, ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe!.​

Paskali
Nitamshauri mama, akuone huruma unazeeka na depression, akupe TU u RC ,jaman
 
Nitamshauri mama, akuone huruma unazeeka na depression, akupe TU u RC ,jaman
Mayalla ananishangaza sana, amehangaikia uwakili miaka yote mpaka akaupata uzeeni, sasa baada ya kuupata badala autumie positively kwa manufaa yake, ameamua kujiegemeza kwenye uchawa kwa kupotosha makusudi kupitia taaluma aliyoipatia uzeeni.
 
"Rais Samia kama taasisi ya urais siyo binadamu hawezi kufanya makosa ndiyo maana hawezi kushitakiwa"

"Rais Samia siyo malaika ni binadamu anaweza kukosea"

Tukianza na Samia kama taasisi
Ni kweli hapaswi kufanya makosa kwa kuwa ana kila nyenzo kuhakikisha kwamba anafanya mambo kwa usahihi wake

Lakini haya makosa yanatoka wapi sasa?

sisi kama wananchi hiyo inatuumiza sana
Kuona kwamba tumekupatia kila kitu ili kufanya mambo kwa usahihi lakini bado unafanya makosa jibu ni kwamba hiyo nafasi haikufai kwa sababu hatuna tena cha kukupa

Hiyo imepelekea sisi kukosoa kwa uchungu mkubwa kwa kuonyesha hisia zetu za maumivu tunayopitia kutokana na makosa yanayofanywa na hii taasisi

Rais kama binadamu
Hakuna mtanzania mwenye tatizo nae
Ukiweka tabia hasi za mtu ambazo anaweza kuwa nazo hapa Samia kama binadamu lazima anazo na haziko kwenye mijadala
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, hivyo kuwaelimisha wana jf na mitandao ya kijamii, kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote, lakini ni lazima aheshimiwe na wote kwasababu mtu akiishakuwa rais wa nchi, hapo hapo ana assume dual personality, yaani wanakuwa ni watu wawili in one!, hivyo rais wa nchi ni lazima aheshimiwe kwa heshima ya lazima ya kimamlaka, akosolewe kwa lugha ya staha, asitukanwe wala asitusiwe!.

Hoja hii ni kufuatia mjadala mingi kwenye mitandao ya jamii kwenye issue ya Bandari yetu na DPW, kuna watu wamevuka mipaka na kumkosea heshima Rais Samia na kumkosoa kwa lugha kali, kumtweza, kumkashifu na wengine kuvuka mipaka kwa kumtukana hadi matusi ya nguoni!, this is not right!.

Angalizo la Uzalendo Uchawa Vs Uzalendo Halisi!.

Kufuatia kuibuka kwa dhana ya uchawa, kuna watu wanajiita kabisa chawa wa Mama, hivyo mtu kama mimi nikijitokeza kutaka Rais Samia aheshimiwe wote, watu wenye akili fupi hawachelewi kuniona chawa!. Mimi sio chawa na hili sio bandiko la uchawa! ni bandiko la kukumbushana heshima ya kiasili ya Kiafrika ya heshima kitu cha bure, mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, heshima kwa wote.

Declaration ya Kutosaka Uteuzi.
Kumezuka mtindo wa sisi waandishi wa habari na watu wa media, tukiusifu utawala kwa mazuri au tukisifu viongozi, tunaonekana kuwa tunasaka uteuzi, naomba niwahakikishie tena Paskali hasaki uteuzi wowote na hili Paskali aliisha mueleza mteuzi mwenyewe face to face Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

The Duality of President. heshima ya lazima ya kimamlaka!, Akosolewe kwa Staha na Asitukanwe!.
Duality ni kanuni ya mtu mmoja ku na personalities mbili kwa wakati mmoja.
Rais wa nchi ni dual personality ana personalities mbili ambazo ni duality but they exist in one!. Yaani ni mtu mmoja mwenye two personalities ambazo zina exist in one and at the same time.

Kanuni hii ya double personalities au dual personality imezungumzwa vizuri na Mwana Saikolojia mahiri wa Marekani, Dr. Segmund Freud katika kukichambua kitabu cha Dr. Jekyll and Mr. Hyde, kilichoandikwa na Dr. Robert Luis Stevenson aliyeandika pia kitabu cha Kisiwa chenye Hazina, Treasure Island, ambapo mtu mmoja mwenye double personality mchana yuko vingine na usiku yuko vingine kama watu wawili tofauti.

Hii duality ipo sana kwa binadamu wote, yaani nafsi na roho, au me & I. mambo kama ya de javu, third eye, physical body na astra body, mambo ya ying na yang, vyote hivi vinatumia kanuni ya duality.

Wanawake wengi wanalelewa kwa kuandaliwa kuwa wife materials, ili kupata mchumba hivyo katika kusaka ndoa anakuwa na one personality na akiisha pata ndoa na kuolewa, ana change na ku show her true colours!.

Jamii zetu nyingi za kiasili za Kiafrika kina watu wanaishi double life mfano mzuri ni wanga, wachawi na washirikina, ukiwaona mchana ni watu wa kawaida, lakini usiku ni watu wengine kabisa!.

Na kwenye siasa ndio usiseme!.

Persnality ya kwanza ya Rais wa nchi ni human personality, yaani rais ni binadamu, a human being kama binadamu mwingine yoyote wa kawaida anayestahili mahitaji tote ya kibinadamu, hivyo rais wetu Samia ni mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, Huyu ni human being, she has all human needs including feelings, love and compassion na ana mahitaji mengine yote ya kibinaadamu ikiwemo kupenda, kupendwa na heshima, love and dignity and can make mistakes just like any other human beings. Hivyo huyu Samia ambaye she is only a human, unaweza kumpenda au usimpende, unaweza usimkubali, unaweza kumbeza, unaweza kumtukana na kumdhalilisha au kusema chochote kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan na hakuna tatizo!. Mfano mzuri wa hili ni huyu mtu niliyemzungumzia hapa Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? bandiko kama hili liliwezekana kupandishwa kwasababu she is just a human na enzi hizo alikuwa na single personality, sasa with dual personality bandiko kama hili haliwezi kupanda.

Jee ni lazima kumpenda Rais?.
Kumpenda mtu yoyote ni person preferences, mtu yoyote anaweza kumpenda mtu mwingine yeyote, kwa sababu zozote au bila sababu, au unaweza usimpende kwa sababu zozote, au bila sababu, na hakuna kosa lolote kutompenda yeyote lakini hata ikitokea mtu fulani humpendi, bado una wajibu wa kumheshimu na kuulinda utu wake.

Hivyo watu wako huru kumpenda Rais Samia ama kutompenda, it's an option lakini kumheshimu is not an option ni wajibu ndio maana kumtukana mtu ni kosa.

Personality ya pili ya Rais Samia, ni rais wa nchi, hivyo huyu binadamu anaitwa Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwa ni rais wa nchi ana, assume kitu kinachoitwa presidential personality, huyu sasa sio mtu binadamu, ni mtu taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ndani ya JMT, hivyo rais wa nchi kwa personality yake ya urais, ni lazima aheshimiwe, utii kwa mamlaka, huwezi kumtukana, huwezi kumdhalilisha, itakuwa ni kuitukana taasisi ya urais. Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka, iwe ni mamlaka halali au haramu, una wajibu wa kutii mamlaka, ndio maana hata enzi za yule Blaza wangu, kabla hajagombea urais, toka ile 2014 nilipoambiwa ni yeye, nilileta angalizo humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli baada tuu ya kushinda nikatoa ushauri huu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na pia nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Hivyo despite all the odds heshima na utii kwa mamlaka ni jambo la wajibu!.

Rais Samia kama taasisi ya urais, huhitaji kumpenda lakini ni lazima kumheshimu!. Rais Samia kama taasisi ya urais, she is not human, hawezi kufanya makosa ndio maana hawezi kushitakiwa!.

Wito kama huu niliwahi kuutoa enzi za utawala wa JK, Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na wakati wa Magufuli pia nilishauri Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Hivyo sasa tuko na Samia, tunaweza tusimpende lakini lazima tumuheshimu na ukitokea ukosoaji, tumkosoe kwa lugha ya staha na sio kumtukana na kumdhalilisha.

Niliwahi kushauri humu kuwa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda unaweza usimpende lakini ni lazima kumheshimu.

Hitimisho
Rais Samia ni rais wetu, tumpende, tumheshimu, tumsuport, na hata ikitokea, kuna sehemu anakosea tumkosoe kwa heshima na staha.
Kwa sisi wengine ambao tunamkubali Samia kama Mama, mzazi wako, hata akukosee vipi, kamwe huwezi kumtukana!. Samia ni Mama wa Taifa, tumheshimu.

Namalizia kwa msisitizo huu

Heshima Kitu cha Bure, Rais Samia, ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe!.​

Paskali
Paskali umekula hongo ya Walodi acha kurukaruka na mi paragraph wewe .Ku declare interest eti hutaki teuzi niuongo mtupu ..nilikuheshimu sana kabla wajumbe kukata mkia pale Kawe ....Wewe shida mileage yako ipo juu sana, umechakaa hutalamba asali kamwe.
 
Me naona kama anajitusi yeye mwenyewe.. na wewe ndio naona kama unaendeleza kumtusisha Mayalla umekuwa kama Nabii tito unapinga ushoga kwa mababgo yaliyoandikwa matusi...

Ujumbe kwa raisi.. Mtu mzima nguo ikikuvuka chutama la sivyo watu watashawishika vibaya.. so unakuwa wewe ndiye mkosaji...

Acheni Watanganyika wapiganie vyao.. urithi huu ulitunzwa vizuri kisha anakuja mtu hata hatumjui kwenye Marathi anauza mali ya yatima... mjalana ... Watanzania now wanahisi wamepata False President
Utamweshimuje anayekudharau Bwana Paskali Manjaa?!
We huoni kama ni dharau kubwa sana kwa Watanzania kuwalazimisha mkataba ambao wanaona ni wa kuuza uhuru na usalama wa nchi yetu?!
Hebu saa zingine tuachage ushabiki, tutangulize uzalendo.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, hivyo kuwaelimisha wana jf na mitandao ya kijamii, kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote, lakini ni lazima aheshimiwe na wote kwasababu mtu akiishakuwa rais wa nchi, hapo hapo ana assume dual personality, yaani wanakuwa ni watu wawili in one!, hivyo rais wa nchi ni lazima aheshimiwe kwa heshima ya lazima ya kimamlaka, akosolewe kwa lugha ya staha, asitukanwe wala asitusiwe!.

Hoja hii ni kufuatia mjadala mingi kwenye mitandao ya jamii kwenye issue ya Bandari yetu na DPW, kuna watu wamevuka mipaka na kumkosea heshima Rais Samia na kumkosoa kwa lugha kali, kumtweza, kumkashifu na wengine kuvuka mipaka kwa kumtukana hadi matusi ya nguoni!, this is not right!.

Angalizo la Uzalendo Uchawa Vs Uzalendo Halisi!.

Kufuatia kuibuka kwa dhana ya uchawa, kuna watu wanajiita kabisa chawa wa Mama, hivyo mtu kama mimi nikijitokeza kutaka Rais Samia aheshimiwe wote, watu wenye akili fupi hawachelewi kuniona chawa!. Mimi sio chawa na hili sio bandiko la uchawa! ni bandiko la kukumbushana heshima ya kiasili ya Kiafrika ya heshima kitu cha bure, mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, heshima kwa wote.

Declaration ya Kutosaka Uteuzi.
Kumezuka mtindo wa sisi waandishi wa habari na watu wa media, tukiusifu utawala kwa mazuri au tukisifu viongozi, tunaonekana kuwa tunasaka uteuzi, naomba niwahakikishie tena Paskali hasaki uteuzi wowote na hili Paskali aliisha mueleza mteuzi mwenyewe face to face Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

The Duality of President. heshima ya lazima ya kimamlaka!, Akosolewe kwa Staha na Asitukanwe!.
Duality ni kanuni ya mtu mmoja ku na personalities mbili kwa wakati mmoja.
Rais wa nchi ni dual personality ana personalities mbili ambazo ni duality but they exist in one!. Yaani ni mtu mmoja mwenye two personalities ambazo zina exist in one and at the same time.

Kanuni hii ya double personalities au dual personality imezungumzwa vizuri na Mwana Saikolojia mahiri wa Marekani, Dr. Segmund Freud katika kukichambua kitabu cha Dr. Jekyll and Mr. Hyde, kilichoandikwa na Dr. Robert Luis Stevenson aliyeandika pia kitabu cha Kisiwa chenye Hazina, Treasure Island, ambapo mtu mmoja mwenye double personality mchana yuko vingine na usiku yuko vingine kama watu wawili tofauti.

Hii duality ipo sana kwa binadamu wote, yaani nafsi na roho, au me & I. mambo kama ya de javu, third eye, physical body na astra body, mambo ya ying na yang, vyote hivi vinatumia kanuni ya duality.

Wanawake wengi wanalelewa kwa kuandaliwa kuwa wife materials, ili kupata mchumba hivyo katika kusaka ndoa anakuwa na one personality na akiisha pata ndoa na kuolewa, ana change na ku show her true colours!.

Jamii zetu nyingi za kiasili za Kiafrika kina watu wanaishi double life mfano mzuri ni wanga, wachawi na washirikina, ukiwaona mchana ni watu wa kawaida, lakini usiku ni watu wengine kabisa!.

Na kwenye siasa ndio usiseme!.

Persnality ya kwanza ya Rais wa nchi ni human personality, yaani rais ni binadamu, a human being kama binadamu mwingine yoyote wa kawaida anayestahili mahitaji tote ya kibinadamu, hivyo rais wetu Samia ni mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, Huyu ni human being, she has all human needs including feelings, love and compassion na ana mahitaji mengine yote ya kibinaadamu ikiwemo kupenda, kupendwa na heshima, love and dignity and can make mistakes just like any other human beings. Hivyo huyu Samia ambaye she is only a human, unaweza kumpenda au usimpende, unaweza usimkubali, unaweza kumbeza, unaweza kumtukana na kumdhalilisha au kusema chochote kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan na hakuna tatizo!. Mfano mzuri wa hili ni huyu mtu niliyemzungumzia hapa Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? bandiko kama hili liliwezekana kupandishwa kwasababu she is just a human na enzi hizo alikuwa na single personality, sasa with dual personality bandiko kama hili haliwezi kupanda.

Jee ni lazima kumpenda Rais?.
Kumpenda mtu yoyote ni person preferences, mtu yoyote anaweza kumpenda mtu mwingine yeyote, kwa sababu zozote au bila sababu, au unaweza usimpende kwa sababu zozote, au bila sababu, na hakuna kosa lolote kutompenda yeyote lakini hata ikitokea mtu fulani humpendi, bado una wajibu wa kumheshimu na kuulinda utu wake.

Hivyo watu wako huru kumpenda Rais Samia ama kutompenda, it's an option lakini kumheshimu is not an option ni wajibu ndio maana kumtukana mtu ni kosa.

Personality ya pili ya Rais Samia, ni rais wa nchi, hivyo huyu binadamu anaitwa Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwa ni rais wa nchi ana, assume kitu kinachoitwa presidential personality, huyu sasa sio mtu binadamu, ni mtu taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ndani ya JMT, hivyo rais wa nchi kwa personality yake ya urais, ni lazima aheshimiwe, utii kwa mamlaka, huwezi kumtukana, huwezi kumdhalilisha, itakuwa ni kuitukana taasisi ya urais. Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka, iwe ni mamlaka halali au haramu, una wajibu wa kutii mamlaka, ndio maana hata enzi za yule Blaza wangu, kabla hajagombea urais, toka ile 2014 nilipoambiwa ni yeye, nilileta angalizo humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli baada tuu ya kushinda nikatoa ushauri huu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na pia nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Hivyo despite all the odds heshima na utii kwa mamlaka ni jambo la wajibu!.

Rais Samia kama taasisi ya urais, huhitaji kumpenda lakini ni lazima kumheshimu!. Rais Samia kama taasisi ya urais, she is not human, hawezi kufanya makosa ndio maana hawezi kushitakiwa!.

Wito kama huu niliwahi kuutoa enzi za utawala wa JK, Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na wakati wa Magufuli pia nilishauri Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Hivyo sasa tuko na Samia, tunaweza tusimpende lakini lazima tumuheshimu na ukitokea ukosoaji, tumkosoe kwa lugha ya staha na sio kumtukana na kumdhalilisha.

Niliwahi kushauri humu kuwa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda unaweza usimpende lakini ni lazima kumheshimu.

Hitimisho
Rais Samia ni rais wetu, tumpende, tumheshimu, tumsuport, na hata ikitokea, kuna sehemu anakosea tumkosoe kwa heshima na staha.
Kwa sisi wengine ambao tunamkubali Samia kama Mama, mzazi wako, hata akukosee vipi, kamwe huwezi kumtukana!. Samia ni Mama wa Taifa, tumheshimu.

Namalizia kwa msisitizo huu

Heshima Kitu cha Bure, Rais Samia, ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe!.​

Paskali
Heshima haiji tu, heshima inatafutwa, hakuna mtu anayeweza kumuheshimu mtu muhuni muhuni asiye na maadili au mwizi. Ukitenda matendo ya heshima utaheshimika ukitenda ya hovyo utadharauliwa. Mimi binafsi huyo uliyemtaja kamwe siwezi kumuheshimu maana hajafanya yanayostahili kuheshimiwa.
 
Anko P!
Respect is earned. Kukalia kile kiti ca patakatifu Magogoni ni synonymous na kuvalia cha Baba yetu RIP Nyerere! Kiatu cha MWALIMU! Nyerere, narudia tena. Ndo kiwango, benchmark. Mengine siandiki kwani kila mwenye kukereketwa basi achanganye na zake. Hadi kufikia kupendekezwa kuitwa MWENYEHERI alafu ati wewe unaandika nini bana kwa hawa wengine in singularis? Nchi ya Nyerere hii.
 
"Rais Samia kama taasisi ya urais siyo binadamu hawezi kufanya makosa ndiyo maana hawezi kushitakiwa"

"Rais Samia siyo malaika ni binadamu anaweza kukosea"

Tukianza na Samia kama taasisi
Ni kweli hapaswi kufanya makosa kwa kuwa ana kila nyenzo kuhakikisha kwamba anafanya mambo kwa usahihi wake

Lakini haya makosa yanatoka wapi sasa?

sisi kama wananchi hiyo inatuumiza sana
Kuona kwamba tumekupatia kila kitu ili kufanya mambo kwa usahihi lakini bado unafanya makosa jibu ni kwamba hiyo nafasi haikufai kwa sababu hatuna tena cha kukupa

Hiyo imepelekea sisi kukosoa kwa uchungu mkubwa kwa kuonyesha hisia zetu za maumivu tunayopitia kutokana na makosa yanayofanywa na hii taasisi

Rais kama binadamu
Hakuna mtanzania mwenye tatizo nae
Ukiweka tabia hasi za mtu ambazo anaweza kuwa nazo hapa Samia kama lazima anazo na haziko kwenye mijadala
Tanzania hatuna Rais toka alipotutoka Mh. Rais wetu ambaye tulimchagua kwa kishindo cha 81%. Kwa sasa tuko na mwangalizi wa nafasi ya Urais. Ndo maana hata "handling" yake kwa wananchi ni kama ya mama wa kambo kwa mtoto wake wa kambo!
Fuatilia mwenendo wa Rais Hayati JPM kwa wananchi waliompigia kura, na mwenendo wa huyu mama yetu wa kambo utagundua ninachokiongelea.
We mtu gani akina mama wa watu wanakuja wanakulilia uwasaidie matatizo yao, halafu unawaambia wasaidizi wako kwa dharau eti "mwondosheni huyo anatupigia kelele"!

Halafu eti Paskali anawalazimisha hao akina mama wamuheshimu mtu ambaye alitweza utu wao!

Hapana, hii haikubaliki.

Heshima hutangulia heshima.

Ukitudharau, tutakudharau tu.

Hata kama tunajua kwa kufanya hivyo tuna-risk maisha yetu, lakini lazima tutakudharau tu.

Kwa kumalizia, huo mkataba wa DPW, hatutaki kuendelea kuhelimishwa kwa sababu hata ambao hatukwenda shule tunajua kilichomo ndani yake kwa sababu tumesomewa na kufafanuliwa vizuri na watu zaidi ya mmoja. Hivyo kuendelea na hiyo elimu yenu kwetu ni mwendelezo wa dharau kwetu sisi wananchi, ambao kwa sasa ni yatima hadi 2025 tutakapomchagua tena Mh. Rais wa ndoto zetu Inshallah.
 
raisi mwizi tuogope kumwita mwizi. Raisi anatia saini kwenye mikataba ya kijinga tuogope kusema mikataba ya kijinga yenye rushwa ya wazi wazi.
Taifa la watu waoga waoga.

Sijawahi kumsikia raisi samia akihimiza watu kufanya kazi kwa bidii. Kwa sababu anapenda vya dezo.
 
Paschal, siyo lazima kumpenda Rais. Lakini mtu anaweza kuibomoa heshima yake mwenyewe. Kwenye maisha unaweza ukaheshimiwa kweli lakini ukija ukawadharau wale wanakuheahimu pia wao watakudharau na kukupuuza kabisa.
Jiheshimu utaheshimiwa,thamini wengine watakuthamini,wapende wengine watakupenda pia.
Kiongozi huyu ametukosea Sana Watanzania kwa MOU Ile. Paschal haifai na mtu mwenye akili timamu Tena aliyepewa mamlaka ya kuongoza nchi akakubali kusaini mkataba kama ule ni maajabu.
Zaidi ni alituona sisi hatufai, ni wajinga, ametupuuza na hatupendi Toka moyoni.
Bro,kaka. Ni aibu,ni aibu kubwa. Wengi hatukutegemea kuona hilo likifanyika lakini mwenzetu kafanya Tena tukikumbuka tumetoka kupigwa kwenye madini na gesi.
Yeye ni Binadamu na atapita lakini aitendee haki nchi yake kwani hata udongo wake ndiyo utamzika hata zikwa na udongo toka Uarabuni..
Atupende tutampenda,atuthamini tutamthamini, atujali tutamjali
Tanzania ndiyo nchi yetu ya furaha.🇹🇿
Mkuu umeandika vzr sana.
Kifupi kiongozi anayekwambia eti "nimeziba masikio, nasonga mbele", utamweshimuje?
Uzuri ni kuwa watu wanajua endapo unawapenda kwa dhati au huwapendi.
So, ni vigumu sana kwa mtu ambaye unamwonesha waziwazi kutompenda, eti hakuheshimu! We nani?!!
 
Rais alisha wahi kuwambia watanzania ni milango kwahiyo kelele zao hazito mnyima usingizi. Rais anapokuwa na maneno ya kifedhuri unatweza utu wao, kisha bwana Paschal unataka wananchi wameimbie pambio za hosana mbinguni si ndiyo? mkumbushe rais kama pwani ajazaliwa pekee yake ujivuni, ufedhuri, dharau, kwa watanzania tunamwelewa kwahiyo mkae kwa kutulia.
 
Hebu tuoneshe kwenye ile IGA ni wapi pameandikwa waarabu wataendesha baadhi ya magati, halafu mimi nikuoneshe wapi pameandikwa wataendesha bandari zetu zote Tanganyika milele..
Kwanza nikupe pole, Watanzania Watanzania wanahitaji kuelimishwa IGA ni nini na ya nini na HGA ni nini?. IGA ni makubaliano tuu yaani MoU
Mayalla hii kazi unayoifanya, kupigia debe rasilimali.za taifa kutolewa bure kwa wageni, hata kama unajipendekeza kwa mtawala ili upate chochote, mimi nakuona kabisa unajitafutia laana ya uzeeni, laana utakayokwenda kufa nayo usipotubu mapema.
Duh...!.
P
 
Hakuna uongozi mbaya kama huu wetu wa kiafrika unachukiza sana lakini swala la kumtukana kiongozi hilo halikubaliki .

Watanzania wengi wanapenda kuiga ,unakuta mtu mwengine anamtukana Rais halafu yupo nje ya nchi na uraia kabadilisha kabisa halafu na yeye yupo huku na ugali wa kwangu pakavu tia mchuzi anaiga mwisho wa siku wakiwekwa ndani wanaanza kusambaza hashtag .

Viongozi wa CCM hawajawahi kuwa bora lakini kuwe na mstari kwenye kukosoa na kuwaheshimu
Naunga mkono hoja.
P
 
Back
Top Bottom