Kenya unaenda na makaratadi gani? Huna passport ya kusafiria huwezi survive muda mrefu kwa pass ya karatasi so ww lipa tu deniLazima kutakuwa Na loopholes.
Wakizina kila sehemu tunaondoka.
Tunaenda hata Kenya tu hapo maisha yanasonga
Tulimchukia sana kipindi hicho huyo jamaa bila kujua kuwa kuna serikali itatoka Chato itakuja kulala mbele na watu.ππππππmnunulie balimi lite baridi
Ndo hivyo kukopa Harusi kulipa matanga.Mara deni linakua kwa 10% kwa mwaka mara kuna retention fee ya 6%. Bora kusoma/kusomesha kwa cash tu kuliko kubeba msalaba wa HESLB
Na pengine ika kusababisha kifo usiombe Jamuhuri ikupaniye au jiwe ππHahahah wanaruka naww kama mwewe, usiombe hizo penaltyπππ unaenza jikuta unadaiwa budget ya wizara 1
Hii ishu nlijua tu lazma wailete. yan tangu nafatilia ktambulisho ch nida nlikua nahisi kabisa hii ishu itakuja laziiima
na hatmae imetimia.
Haliishi 2028.Kenya unaenda na makaratadi gani? Huna passport ya kusafiria huwezi survive muda mrefu kwa pass ya karatasi so ww lipa tu deni
Mim deni langu linaisha 2028
Naenda kama LemaUtaenda Kenya kwa passport ipi, maana lazma ukabidhiwe uraia.
Tutajaa jela wote. Ngoma ikilia sana itapasuka.ha ha ha, asante ametupa mbinu mpya namna watakwepa kulipa deni la HESLB, itabidi kosa la kutolipa Deni liingizwe kwenye uhujumu uchumi ila liwe na dhamana.
Kwamba jamhuri inakutishia maisha yako πππNaenda kama Lema
Hahahah sahizi unamuona mnyamwezi sana πππ!Tulimchukia sana kipindi hicho huyo jamaa bila kujua kuwa kuna serikali itatoka Chato itakuja kulala mbele na watu.ππππππ
Dharau kwa Maghufuri?!!who the https://jamii.app/JFUserGuide is he?Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.
Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.
Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.
Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016, ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.
[Binafsi nashauri Bodi iyatake makanisa yote, watu wanaofunga ndoa pia waangaliwe kama wameanza kulipa deni, mtu anafunga ndoa kwa gharama ya sherehe milioni 50 ila halipi 100 ya Bodi, hii ni dharau kwa Magufuli]
TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabisa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha uthibitisho kwamba wameanza kulipa deni.
Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Kwa wale wote ambao ni professions , vyama vyao vihakikishe haviwapi leseni mpaka wawe wameanza kulipa deni la BODI, mfano TLS, WAKANDARASI, MADAKTARI, WAHASIBU CPA, MAREFARII, BOXING, TFF
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari unanunua umeme wa elfu 5000/= unapokea sms ya HELSB asante Kwa kulipa deni lako.
Hatari sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahaha aah, nimewaza nimejikuta nacheka tu yan badala ya kusikitika. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiwaza jinsi wanvyofyekaga kahela ka mkopo ukitia vocha tu imagine umepigika una njaa ramani hazisomi umetumiwa kahela tu ka kula, "Asante kwa kulipa deni lako la HESLB" na hapo ulikuwa hujui kama kuna mfumo huo..Sijui utalia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah wewe na wife wote ni mali ya serikali πππKwanza natka kujua kuwa wataunganishaje account zangu za benk na Nida na Sim card? Hadi nipeleke namba wazisajili au wataziunganisha tu automatically.
Kiufupi mimi sitakipa deni.
Nadaiwa milioni 90 mke wangi mili 90.
Tulianza kulipa ila kila ukienda kuangalia salio unakuta limeongezeka
Tukaacha kulipa.
Kwa hio sasa hivi vitu vyote tumeviandikisha majina ya watoto.
Ubaya ubaya tu.
Yaani meko amesoma bure ila sisi anatulmua ili akajenge kiwanja cha ndege chato.
Pumbafu sana meko
Kwanza natka kujua kuwa wataunganishaje account zangu za benk na Nida na Sim card? Hadi nipeleke namba wazisajili au wataziunganisha tu automatically.
Kiufupi mimi sitakipa deni.
Nadaiwa milioni 90 mke wangi mili 90.
Tulianza kulipa ila kila ukienda kuangalia salio unakuta limeongezeka
Tukaacha kulipa.
Kwa hio sasa hivi vitu vyote tumeviandikisha majina ya watoto.
Ubaya ubaya tu.
Yaani meko amesoma bure ila sisi anatulmua ili akajenge kiwanja cha ndege chato.
Pumbafu sana meko
Mali ya meko yaani.Hahahah wewe na wife wote ni mali ya serikali πππ
TIN tutatumia za watoto ambao hawana madeni.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] TIN ya biashara kwa mwajiri wako hii ndiyo nimemuona kacheza kama hayati Maradona, dadeki yani hapa una kibiashara chako unadaiwa kodi wanafanya ku deduct tu kule
au nasema uongo ndugu zanguni, nawapenda sana
Usisafiri kwenda nje ya nchi maisha yako yote!Nitafungua biashara kwa TIN namba ya mama yangu alieko kijijini kwisha habari Yao.