HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Tulimchukia sana kipindi hicho huyo jamaa bila kujua kuwa kuna serikali itatoka Chato itakuja kulala mbele na watu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahah sahizi unamuona mnyamwezi sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Hii sawa tu na kukosa ticket ya basi katika hali ya kusikitika unaskia limepata ajali na amna aliyepona.
 
Dharau kwa Maghufuri?!!who the https://jamii.app/JFUserGuide is he?
Huyu anayetumia pesa ya umma kujenga miradi isiyo kipaumbele kwa Taifa zima,
Mambo mengine,yanachekesha,huyu jamaa ni kilaza kweli,ndio maana hata kizungu hakipandi,pamoja na "PHD'yake.
Wakati Mkapa anafanya uamuzi wa kujenga uwanja wa kisasa wa mpira,angeamua kuujenga songwe,au Masasi,au Tunduru,
Huyu mpuuzi,unatumia pesa ya umma,unajenga uwanja Chato,ambako wilaya nzima Haina hata timu ya mpira,
 
Hatari sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwanza natka kujua kuwa wataunganishaje account zangu za benk na Nida na Sim card? Hadi nipeleke namba wazisajili au wataziunganisha tu automatically.

Kiufupi mimi sitakipa deni.
Nadaiwa milioni 90 mke wangi mili 90.

Tulianza kulipa ila kila ukienda kuangalia salio unakuta limeongezeka

Tukaacha kulipa.
Kwa hio sasa hivi vitu vyote tumeviandikisha majina ya watoto.
Ubaya ubaya tu.

Yaani meko amesoma bure ila sisi anatulmua ili akajenge kiwanja cha ndege chato.

Pumbafu sana meko
 
Hahahah wewe na wife wote ni mali ya serikali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Soon mtajua hamjui
 
TIN tutatumia za watoto ambao hawana madeni.
Yaani ubaya ubaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…