HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Wanufaika weng walikuwa walimu. Tangu 2015 baada ya ajira zao kusua sua nao wameingia mtini. Patamu hapoy
Yah walimu walikuwa wa vodafasta na walipewa mkopo 100% .
Sasa wamekosa ajira wameambiwa waanzishe viwanda vya kati, hawalipi deni
 
Kuna miamba haitalipa kabisa yaan ,,na haitatumia majina yao kwenye biashara.Kumpata MTU ambaye hayuko kwenye system ya ajira rasmi ili alipe ni kazi ngumu sana.
 
Yaani mawazo yako binafsi ndio umeandika kwenye heading kana kwamba ndio uamuzi wa bodi, acha upotoshaji
 
Sasa mfano mtu hajaajiriwa hiyo laki moja anatoa wapi?? Hiki kiwango sidhani kama kinalipika kwa mtu ambaye hana ajira, mfano kuna mtu baada ya kuhitimu kakaa more than 3 years hana ajira atalipaje??

Na jambo jingine hapa naona kama vile mawakili wamekuwa victimized tu sio kweli kwamba kila wakili anapesa, kuwadai loan board payments wakati wa kurenew certificates huo ni ukandamizaji uliopitiliza.

Wakati mwingine tusitumie mamlaka yetu kuonea wengine simply because we are in better positions than them.
Tena we muhuni stroke c ndio mpiga debe maarufu humu wa jiwe kaa kimya kabisa lofa we.
 
Mkuu

Mkuu Kama sikosei wewe uliunga mkono juhudi au nachanganya
Mpaka sasa naunga mkono,🤗🤗,sisi ma LY si mnatuona hopeless,,wakati nyinyi mnatafuta degree za mkopo,sie tuko busy kusaka faranga,halafu tuwape job ili mlipe deni
 
Tulishasema kulikuwa hamna haja ya TIN kwa watumishi, ona sasa wanaanza habari za kuunganisha.

 
Acheni kulialia lipeni pesa za Umma..

Mlikuwa mnaona raha sana pesa zikiingia mnanunua masabufa na kwenda kushinda bar
 
Tutakimbizana nao. Mpaka waanza kutu sachi mifukoni na majumbani.

Haiwezekani ulipe deni halafu mwisho wa mwaka ile retention fee 6% inaliongeza zaidi ya ilivyokuwa.
Maana yake serikali imefanya makusudi kuwafanya wananchi wake wawe vitega uchumi vya kudumu kuwa kuwapiga na deni ambalo kila ukilipa haliishi na linaongezeka.

Meko ni mpumbavu na no shetani.
Kitendo cha kulazimisha kila mtu awe register kwenye sim card na tin number yaani ni mambo ya kimkakati.

Na sasa hivi hata mabasi huweZi kukata tiketi lazima ziwe za elevtronics na heslib wana mpango wa kuunganisha tin namba za wafanyakazi, bank,NIN.

So hakuna kochomoka hapo. No escape lazima wote kulipa.

Kikubwa ni bunge litakavyompitosha jamaa awe wa maisha kwa sababu na wao wana uhakika watakuwa wa maisha
Mkuu mbona unalalama sana?? Ulivyokopa hiyo retention fee hukuiona??
 
Back
Top Bottom