HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Wanufaika weng walikuwa walimu. Tangu 2015 baada ya ajira zao kusua sua nao wameingia mtini. Patamu hapoy
Yah walimu walikuwa wa vodafasta na walipewa mkopo 100% .
Sasa wamekosa ajira wameambiwa waanzishe viwanda vya kati, hawalipi deni
 
Kuna miamba haitalipa kabisa yaan ,,na haitatumia majina yao kwenye biashara.Kumpata MTU ambaye hayuko kwenye system ya ajira rasmi ili alipe ni kazi ngumu sana.
 
Yaani mawazo yako binafsi ndio umeandika kwenye heading kana kwamba ndio uamuzi wa bodi, acha upotoshaji
 
By the way, mikopo ilitolewa non-biometrically, sasa unaunganishaje na vitu ambavyo ni biometric?
 
Tena we muhuni stroke c ndio mpiga debe maarufu humu wa jiwe kaa kimya kabisa lofa we.
 
Mkuu

Mkuu Kama sikosei wewe uliunga mkono juhudi au nachanganya
Mpaka sasa naunga mkono,🤗🤗,sisi ma LY si mnatuona hopeless,,wakati nyinyi mnatafuta degree za mkopo,sie tuko busy kusaka faranga,halafu tuwape job ili mlipe deni
 
Tulishasema kulikuwa hamna haja ya TIN kwa watumishi, ona sasa wanaanza habari za kuunganisha.

 
Acheni kulialia lipeni pesa za Umma..

Mlikuwa mnaona raha sana pesa zikiingia mnanunua masabufa na kwenda kushinda bar
 
Mkuu mbona unalalama sana?? Ulivyokopa hiyo retention fee hukuiona??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…